Sisiter unakutana na wanaume gani kwani? Yani mimi ili uwaokoe hao kaka zako mabandidu inabidi usiwaambie tu, maana ulimwambia kisha wakaniletea kibesi wafanya ndoo mpaka pale nitakapoamua vinginevyo. Nisipofanya hivyo nikaamua kwenda kibandidu pia,mtawakuta kwenye magunia kisha muanze kuisingizia serikali.
Lazima mipaka iwepo bwana, wewe ukinichoka beba mizigo yako naenda kwa hao kaka zako au kiitishwe kikao ili tuzungumze vizuri tatizo liishe, ila eti waje kunifanyia vurugu kwangu aiseeh😲. Kwamfano nikufumanie alafu waje kunipigia kelele?
Nashukuru sana Mungu kanipatia mwanamke anaetoka kwenye familia isiyo na longolongo, na kwanza hao mashemeji zangu wananiheshimu sana saaaaaanaaaa.