Hahahaha dah, vice versa is true. Ila turudi kwenye uhalisia. Kuna mambo yawe normalized na yasifanywe kama vile ni hisani... partner wako kumnunulia boxer sijui vests blah blah. Isiwe part ya zawadi asilani.. yaan iwe ni kama jukumu la kawaida kbs. Hakuna raha kama mwanaume wako akiwa msafi ndani hata wadangaji wakaona boxer za jamaa wanaappreciate mke wake yuko njema. Tena boxer ziwe nyeupe haswa. Zikiwa coloured basi iwe lite coloured. Siyo ikoleeee. Mf. Light pink ama blue.. siyo unampelekea mwenzako boxer ya kijani imekoleaaaa. Kwa wenye exposure jamani tufanye hivyo. Na nyie wanaume zetu mujifunze kuappreciate. Mwanaume akiwa msafi na nadhifu inapendeza sana. Sasa nikufumanie utajua kama mimi ni mchagga toleo jipya ama la zamani[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using
JamiiForums mobile app