Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Tuliwahi kualikwa South Afrika, HQ ya Kampuni niliyokua naifanyia kazi miaka hiyo. Mkurugenzi wa kitengo chetu mdada wa kizungu(kikaburu) alitualika dinner nyumbani kwake

Tulimkuta mumewe home na ndiye alikua anashughulika kutuandalia. Alikua anachoma nyama while mkewe anapiga story na sisi. Mpaka jamaa alipo maliza kuandaa kila kitu ndio akaenda kuoga na kubadili nguo kuja kutu join

Kibongobongo isingewezekana aisee. Hata mimi ingeniwia vigumu kwakweli
Kwa babecue wanawake wengi hawawezagi hata mimi ningechoma mwenyewe hio nyama
 
Hii ni sawa na ile “when you start dating with women who actually like you, you will realize that women have bus fare to get to you at anytime you want them with no excuse”

Umeongea kwa uchungu sana extro[emoji23] heri ya mwaka mpya
 
Mlizungumza jinsi ya kulea familia na mgawanyiko wa majuku kabla ya ndoa. Sababu u-busy wake haukuanza ndani ya ndoa.

Ndoa nyingi zina feli sababu watu wanashindwa kuwa na mazungumzo muhimu kabla ya ndoa.

Hata ndani ya ndoa yaani mawasiliano hakuna kwa watu wengi sana sijui kwa nini!
 
Usichokielewa ni kuwa unapoolewa na kwenda kwenye mji mwengine hayo ya babaako na familia yenu unayaacha huko huko kwenu!

You have to adapt to your mans lifestyle and mode of operations. Inaitwa kuratibiana.
Sitakubali aishi kama mlemavu kama zigo.

Kama anaishi kilemavu nitamsaidia kumuelekeza namna nzuri ya kuishi.

Tupige vita ulemavu aisee,tena ulemavu wa kujifanyisha.
 
Huyo mke ana akili Kama za mahouse girl ninaokutanaga nao mie, Sasa hivi tumeamua sisi wenyewe na watoto wetu tukamate majukumu ya housegirl na tukibanwa sana tutafute mtu anakuja kufanya usafi hiyo siku Mara moja moja Basi kesi inaisha.
Sijajua connection kubwa Kati ya housegirl na ujinga aisee, au sie tunagundu nao? Wengi wao hawajielewi na ukiwaelekeza wanaona wanaonewa na kuteswa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii ni 100% kuna watu anafanya ujinga akielekezwa anaona anaonewa nadhani ni negativities zimejaza ubongo

Hata kwa wanaume, Kuna jambo anaweza kuwa anakutendea halipendezi unamwambia kwa upendo tu,

Kinatakachofata hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unafikiri tunakataa basi wala hatukatai! Ila tu ukubali kuwa hutokaa uione hata mia yangu na nikihitaji pesa lazima unipe na kila kitu kinachonihusu mimi watoto pamoja na nyumba utagharamia wewe bila kuulizia mshahara wangu napeleka wapi!
Mia yako mm ya kazi gani?

Sijakuoa kwasababu nina shida ya pesa, pesa yangu ninayo, nimeoa mke, majumu ya mke lazima utimize nami nitatimiza yangu 10000% siwez oa mke alafu niendelee na maisha ya ubachela.. Hakuna kitu kama hicho ABADANI
 
Ila cha ajabu mama yako ana binti mvivu ambaye hata kutumwa glasi ya maji na mumewe anajionea kero 😅
Sasa huyo mama mkwe mchapa kazi ndiye mama ya kijana unayemwita mwamba.
Mwanaume anaishi hataki kugusa kazi yoyote ya ndani aisee ile familia ina maajabu.
 
Back
Top Bottom