Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Oohh kumbe huwa unajua kuelewa sasa unavyojifanyaga unajitoa ufahamu? Hata sisi kutusaidia kazi siyo kila siku bali ni pale ambapo unaona kabisa hapa mkeo kazidiwa na siyo mpangiane zamu eti leo mimi kesho wewe uwe unaelewa basi!
Sasa we tatizo lako unalazimisha sio kwamba nini wewe unataka iwe zamu😅 wewe unataka ukilipa king’amuzi baba akate uno adeki! Utoto huo
 
Hahahahahah tatizo jengine hilo[emoji28] dharau na karma ni kama chai na sukari! How can you judge a book by its cover? Try me!!!
Aahh wapi siwezi kupoteza muda wangu na rasilimali zangu kwa jambo la kubet! Inatakiwa niwe na uhakika kabisa!
 
Aahh wapi siwezi kupoteza muda wangu na rasilimali zangu kwa jambo la kubet! Inatakiwa niwe na uhakika kabisa!
Aliekwambia unabeti nani? Sijasahau ulichoongea mwaka jana😅 japo najua umesahau jambo lenyewe.
 
Mke kusaidia ni option mbona hilo huelewi. Sihitaji anisaide kama hataki anaacha tu na hamna kitu kitaharibika. Nimekupa mfano tu ili uone kuna watu wanaweza wakafanya mambo na wala ikawa sio ishu yani[emoji28]!

Element ya uvivu na ubinafsi inakutafuna sana na ndio maana hata pakti ya chumvi ya jero inaweza ikakukosesha raha week nzima. Watu wako wanaoweza kutoa millions na wala wasiwaze na hio ni willingly. Wewe huwezi ni tatizo lako binafsi.
Sasa kwanini uniite mbinafsi kwa kutofanya jambo ambalo siyo jukumu langu? Hata mimi nawafahamu wanaume wanaofanya hizo kazi na wameoa so hata wewe ujue kuwa wapo wanaofanya hizo kazi kwa moyo na bado wake zao wanawaheshimu na wala hawawapangii zamu!
 
Sasa kwanini uniite mbinafsi kwa kutofanya jambo ambalo siyo jukumu langu? Hata mimi nawafahamu wanaume wanaofanya hizo kazi na wameoa so hata wewe ujue kuwa wapo wanaofanya hizo kazi kwa moyo na bado wake zao wanawaheshimu na wala hawawapangii zamu!
Sijakuita mbinafsi kwa kushindwa kufanya hilo bali kwa kutaka kuhalalisha kwako kana kwamba wanaofanya ni mazoba kama ambavyo uliwaita hapo awali! Hizo kazi zinafanyika hata mie nikijiskia naweza mpikia wife ila sio swala la kuwa ni lazima nifanye hivyo.
 
Kuweni michepuko tu tutazaa na kuoa wenye akili ambao msio na akili mnawaona mazoba
Wenye akili ndiyo hao ambao hawajasoma hivyo waoeni tu! Tuliosoma hatuna akili wala msijisumbue hata kujifanya sijui mnawaweka kwenye uchumba miaka mitatu eti ili kuwapima mtaishia kuigiziwa bure halafu mje kulalamika kuwa oo wanawake kwenye uchumba wanakuwaga wife materials ila wakiingia kwenye ndoa wanabadilika ghafla teh wanawake wote tuliosoma baba yetu ni mmoja take it from me!
 
Sasa we tatizo lako unalazimisha sio kwamba nini wewe unataka iwe zamu[emoji28] wewe unataka ukilipa king’amuzi baba akate uno adeki! Utoto huo
Yaani unavyokuongelea huko kudeki utafikiri ni kitu cha ajabu sana! Hivi nikuulize kwani wewe kudeki huwezi?
 
Aliekwambia unabeti nani? Sijasahau ulichoongea mwaka jana[emoji28] japo najua umesahau jambo lenyewe.
Siyo mbaya tukikumbushana. Watu tushazeeka saa hizi hatuwezi kukumbuka hadi hizi story za kuchangamsha genge tunazopiga humu.
 
Sijakuita mbinafsi kwa kushindwa kufanya hilo bali kwa kutaka kuhalalisha kwako kana kwamba wanaofanya ni mazoba kama ambavyo uliwaita hapo awali! Hizo kazi zinafanyika hata mie nikijiskia naweza mpikia wife ila sio swala la kuwa ni lazima nifanye hivyo.
Sasa si ni kama wewe tu unavyowaona wanaume wenzio wanaowasaidia wake zao hizo kazi kuwa ni mazoba au kama mnavyowaita wenyewe eti mume bwege! Wewe kufanya hizo kazi siyo lazima jamani hivi unafikiri mkeo atakuja atakuambia kabisa kuwa eti nisaidie kupika au kuosha vyombo hawezi kusema ila anategemea tu siku moja moja uguswe ujiongeze!
 
Hapo kwenye kupiga ungejisumbua! Na pengine mimi ndiyo ningekuwa nakunyuka wewe sasa haya mambo wala siyo ya kukariri ndiyo maana wengine huwa tunajiweka pembeni tunaogopa tusije umiza watoto wa wanawake wenzetu bure!
Hakuna mwanamke hapa,

Ni Jianaume lililopewa Uke Na Matiti mawili
 
Atajijua mwenyewe ila nachotaka kusema kazi za ndani kama nafanya kazi ni lazima tusaidiane asee....usitarajie ntafanya mikazi yote daily we umeshikilia remote na simu uko jf[emoji848]

Back to my son...huyo mwanamke asimfanyishe hizo kazi mbele za watu au na mimi nisione maana ntampa vitasa huyo bitch[emoji57][emoji57]

NB
Haya mambo ya kusaidiana na mwanaume kazi ni btn me n my man hakuna kiumbe yeyote nje atashuhudia, wakija wageni of course siwezi mtuma mbele yao huo ni ukosefu wa heshima

Twin kama ni ukosefu wa heshima kwanini umtume hata mkiwa wenyewe??
 
Sitaki kusema nimekosea, ila nakiri kuna muda sisi wanaume tunataka na sisi tuwe kama wanawake sasa.
Nilipooa baada ya mwaka nikagundua kumbe kule kulazimisha niheshimiwe ndio naharibu zaid.
Sasa nikuambie mimi napika na kufua mpaka kuogesha watoto tena kwa furaha kabisa...Wajua kwanini?? Mwanamke naye ni binadamu, anachoka, ana mambo kichwani saa nyingine yanabaki kuwa ya kwao mioyoni mwao. Sasa najiuliza mfano mke wangu kutwa nzima kazini kwake kapata matatizo au hata kwao labda kuna matatizo, sasa hizo nguvu za kunifanyia kila kitu atazitoa wapi achili yale ya kitandani?
Sasa ukitaka wanawake wasikusumbue fanya yale ambayo hayataacha upungukiwe na nguvu za kiume.
Mimi mke wangu amefika hatua ananishauri hata nioe mke wa pili mbona vitu vya kijinga sisumbuani naye kabisa.
Utaratibu unajulikana wa ndoa, sasa mimi kuanza kumfunda anifulie na kinipikia ni kujitafutia ugomvi tu.
Mimi hata arudi kesho sitamuuliza yeye kama ana akili atasema, mbona kitendo cha yeye mfano kufanya vitu bila mimi kujua maana yake anatafuta ugomvi na mimi, sasa mimi nampuuza na simuulizi na nitampikia ale kabisa, ukisema atanidharau kwani hajui shughuli yangu tukilala? Sasa kama anatafuta ugomvi hanipati.
 
Kuna point zinachekesha sana kwenye huu uzi.

Mkishasikia tu mwanamke anafanya kazi, tayari mnasema anahusika kwenye mambo ya uchumi wa familia, hehehehe!

Babilai, anaweza kufanya kazi na usione hata shilingi mia kwenye matumizi ya familia. And ofcourse sio lazima umuulize maana as a man, ni majukumu yako kuwa provider. Ila shida kubwa ni moja....!!!!

Kama mwanamke hachangii chochote kwenye uchumi wa familia at least awe submissive. Kwa sababu akiwa na kiburi equation haiwezi kubalance kamwe. Mwanaume huwezi kujitoa ku provide kila kitu kwenye familia halafu mwanamke hataki ku bow! You women, it will never work..!!

Ila Mwanaume kama na wewe umekubali Mama awe anachangia pesa ya kula hapo ndani na gharama zingine kama ada za watoto unamuachia alipe, My Friend, usije kulalamika huku. Hatutakusaidia kitu. Hapo umesha sign 50/50 rule automatically. Kwaiyo zamu yako ya kuosha vyombo ikifika nenda tu kaoshe, tena ving'ae.

Poleni wote mliokosea kuoa/kuolewa. By the way sisi ni Binadamu bhana, kukosea ni kawaida.Tujipange upya : )

Cheers!

Makofiiiii
 
Khaa kwahiyo ukiwa Mbeya hiyo hela huwezi kutuma? Ndiyo muone raha ya kulazimisha mtu afanye majukumu yake hata kama haiwezekani kwa muda huo yaani that is exactly how women feel pale mumeo anapokuambia "mimi hata kama unafanya kazi na unarudi usiku majukumu yako lazima ufanye"!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe jamaa mbinafsi sana! Kwa hali hiyo hata wanawake mtawaona wabinafsi tu ningekuwa mimi natimiza majukumu yangu yote sitataka uguse hata kijiko ila haki ya nani hutakaa uione hata mia yangu yaani shida yoyote ikitokea ndani ya nyumba utapigiwa simu hata kama uko hospitali umelazwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom