Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Heheheheh nikwambie kitu karma, naomba don’t ever think of getting married please wala kuzaa naomba usizae sio kwa ubaya bali tu itakusaidia sana. Una mentality ngumu sana sababu hutakaa kwenye ndoa for more than a year hata ukiamua tu kuolewa incase utapata mwanaume shababi! Unless una joke ila kama haya unayoandika yanatoka rohoni nakuonea imani sana.

Ndoa itakayodumu kwako ni ya kumlea mwanaume kama ben 10 au kama shilole anavyolelea wanaume vile. I doubt kama hilo utaliweza ndio maana nasema bora usihangaike na mambo ya ndoa.

Just nenda kwa vituo vya watoto yatima fata taratibu get a child anza kumtunza kama mwanao don’t waste nguvu zako ama mayai ya mwanaume kuzaa mtoto ambaye mtakuja kumpa shida tu.
Tatizo hutaki kuukubali ukweli wewe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sitaki kusema nimekosea, ila nakiri kuna muda sisi wanaume tunataka na sisi tuwe kama wanawake sasa.
Nilipooa baada ya mwaka nikagundua kumbe kule kulazimisha niheshimiwe ndio naharibu zaid.
Sasa nikuambie mimi napika na kufua mpaka kuogesha watoto tena kwa furaha kabisa...Wajua kwanini?? Mwanamke naye ni binadamu, anachoka, ana mambo kichwani saa nyingine yanabaki kuwa ya kwao mioyoni mwao. Sasa najiuliza mfano mke wangu kutwa nzima kazini kwake kapata matatizo au hata kwao labda kuna matatizo, sasa hizo nguvu za kunifanyia kila kitu atazitoa wapi achili yale ya kitandani?
Sasa ukitaka wanawake wasikusumbue fanya yale ambayo hayataacha upungukiwe na nguvu za kiume.
Mimi mke wangu amefika hatua ananishauri hata nioe mke wa pili mbona vitu vya kijinga sisumbuani naye kabisa.
Utaratibu unajulikana wa ndoa, sasa mimi kuanza kumfunda anifulie na kinipikia ni kujitafutia ugomvi tu.
Mimi hata arudi kesho sitamuuliza yeye kama ana akili atasema, mbona kitendo cha yeye mfano kufanya vitu bila mimi kujua maana yake anatafuta ugomvi na mimi, sasa mimi nampuuza na simuulizi na nitampikia ale kabisa, ukisema atanidharau kwani hajui shughuli yangu tukilala? Sasa kama anatafuta ugomvi hanipati.

Mwanaume wa hivi simtaki kwa kweli....yaani nirudi asubuhi ukae kimya? Mwanaume Bwege hapana kwa kweli.
 
Wewe unapenda ligi! Ishi mwenyewe tu kwa usalama wako na afya yako maana ukipata mume mwenye calibre ya Magufuli atakutoa meno mapema sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanaume wa hivi simtaki kwa kweli....yaani nirudi asubuhi ukae kimya? Mwanaume Bwege hapana kwa kweli.
Yaani uende nisipopajua nikuulize?? Bwege ni yule anayehoji kila kitu, wewe ukiwa na akili timamu utasema mwenyewe bila kuulizwa kwakuwa utaratibu ulitakiwa kuaga, sasa kama umeamua kuvunja utaratibu maana yake unatafuta vita ambayo nikijiingiza huko nitafungwa kifungo cha miasha gerezani
 
Na kuliko kuolewa na mwanaume mzigo haki ya nani bora niwe single mother hata wa watoto kumi! Na hao watu watakaonisema wahakikishe nao wakifa wanaenda mbinguni!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaona ulivyo na tatizo? Kwahio mwanaume akafunue ma hotpot wewe ukiwa jamii forums sio! Aisee mtoto wangu siwezi kubali aoe utopolo wa mwanamke ni lazma alete wachumba niwakague kwa siri na kisha ntamwambia huyo ndie oa.
Kheeeeeh huyo mtoto wako atakua hajielewi bas, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani uende nisipopajua nikuulize?? Bwege ni yule anayehoji kila kitu, wewe ukiwa na akili timamu utasema mwenyewe bila kuulizwa kwakuwa utaratibu ulitakiwa kuaga, sasa kama umeamua kuvunja utaratibu maana yake unatafuta vita ambayo nikijiingiza huko nitafungwa kifungo cha miasha gerezani

Bwege ni yule anaekaa kimya hata mke akikosea anaona sawa, Mke anarudi asubuhi yeye usiku kucha alikua busy kubembeleza watoto!!!

Binafsi hapana aisee
 
Extrovert bhana hivi ni kadhia gani ambazo wewe unakutana nazo kazini ambazo mke wako hakutani nazo! Kama ni kufokewa na boss kama mtoto mdogo naye anafokewa kama ni kubakiza viporo vya kazi ili akamalizie nyumbani naye anabakiza naye ana stress za kazi kama zote yaani!

Sasa kinachofanya mwanamke awe na muda wa ziada kufanya na majukumu ya nyumbani ambao wewe huo muda unasema huna ni kipi hasa? Yaani mnatoka wote asubuhi mnarudi wote usiku kuna kazi za kupika na kuosha vyombo zinawasubiria mnashindwa kuingia jikoni huyu akashika hiki huyu kile mshunghulikie huo msosi chap uive ili mle?

Bila shaka hata wewe hujakaa muda mrefu kwenye ndoa kiasi cha kugundua kuwa mwanamke anapohitaji msaada kutoka kwako lengo lake siyo kukukomoa kama unavyobwata hapa! Wewe kama unaona mkeo hafai kusaidiwa majukumu yake kwa kuita eti hizo ni kazi za kike sijui na upumbavu gani basi wewe hufai kuwa mume na tarajia lolote kutoka kwa huyo 'mkeo' unayempamba hapa siku zote muda ni mwalimu mzuri!
Watu wanamtazama tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sikulazimishi utoe hela yako bali utapoguswa na jambo utatoa tu sio lazma uombwe. Ndo nimetoa mfano in a state of emergency kama mtoto kuumwa baba simu haipatikani yuko porini au mgodini. Utaacha mtoto afe?
Halafu kingine wewe una mentality kwamba sababu unafanya kazi zako bila mume kukuingilia basi hata yeye anatakiwa afanye kila kitu mwenyewe tu.

Yani kwa akili yako naona ile aina ya wanawake ambao kazini anaenda ila kulipia king’amuzi cha tv anayoangalia tamthilia hawezi kujiongeza hata mara moja moja. Akilipa utaskia nimekukopesha hio hela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndoa ni kama biashara mwanaume uneinvest hela(matunzo ya familia)
Mwanamke unaleta mahaba hapo ndani,inafanyika batter trade
Na hakuna mtu anataka hasara
Nipate upendo kadiri ya hela niliyoleta na mwanamke apate matunzo(hela)
Kadiri ya mahaba anayoleta

Fair share
Sio umeleta mahaba ya sh 100 unataka attention(matunzo)
Ya 1000 ,mizani ya wapi hiyo?
And vice versa is true ,
Matunzo yakiwa ya kusuasua unapewa mahaba ya 100

Hesabu zikikataa basi mnagawana mbao
 
Hapo kwenye kupiga ungejisumbua! Na pengine mimi ndiyo ningekuwa nakunyuka wewe sasa haya mambo wala siyo ya kukariri ndiyo maana wengine huwa tunajiweka pembeni tunaogopa tusije umiza watoto wa wanawake wenzetu bure!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mommah utaniua kwa kucheka.
 
Back
Top Bottom