Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Shikamoo mnyaki [emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa dada hawa wanaume wa jf bila mikwara hamuendi sawa! Wakiishiwaga hoja wanaleta personal attacks mara nitakupiga mara sijui nitakufanya nini acha tu twende nao hivyo hivyo!
 
Hahaaa dada hawa wanaume wa jf bila mikwara hawaendi! Wakiishiwaga hoja wanaleta personal attacks mara nitakupiga mara sijui nitakufanya nini acha tu twende nao hivyo hivyo!
Kipigo kiko pale pale tu
 
NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.

Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo anavyokipika!

Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.

Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Dah!...fix your marriage boss
 
Kuna vitu utakuta humu tunasema ila kiuhalisia hatuko hivyo!!!

Binafsi Mume wangu maji ya kunywa nampa na Chakula namtengea na ikiwezekana akiwa anakula nakaa pembeni nampa kampani ya story!!!

Mimi ninachokataa nimetoka kazini nianze sijui kupika hapo atasubiri sana

Unataka ampikie nani sasa?
IMG_6254.jpg
 
Very funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
Hapo ndiyo ulipo kosea haya mambo ya mahusiano yana class,kuna watu wanaishi na wake zao kwasababu ya class wakati wanakutana kumsomesha ni kupaisha class lazima akuache tu au akutese.wewe unamua mwana mke form 4 unamsomesha mpaka chuo pengine ungemkuta na degree wala asinge kukubali sasa unamsomesha iweje
 
Hapo ndiyo ulipo kosea haya mambo ya mahusiano yana class,kuna watu wanaishi na wake zao kwasababu ya class wakati wanakutana kumsomesha ni kupaisha class lazima akuache tu au akutese.wewe unamua mwana mke form 4 unamsomesha mpaka chuo pengine ungemkuta na degree wala asinge kukubali sasa unamsomesha iweje
Acha wivu mkuu
 
Hahahha wasema tu huko kuchoka mbona imekuwa swala sana
Kazi wengi ni za ofisini 3asubuhi mpaka 11 jioni kakalia kiti,akiinuka saa saba lunch break nyama na viepe,akifika home 12 au moja jioni anadai amechoka anakula na kupumzika hamna hata mazoezi,ndiyo maana baadhi wana matako plus matumbo ya ajabuajabu shauri ta minyama uzembe na uvivu kisingizio tulishika mimba na kuzaa.
 
Back
Top Bottom