Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.

Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo anavyokipika!

Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.

Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Camarade hii mbona ni mambo madogo? Ukinunuwa kuku sokoni wanachinja na kumtengeneza kila kitu gharama yake ni buku tu.

Na ukinunuwa samaki buchani au sokoni pia wanakuandalia kila kitu, wewe nyumbani kuosha tu.

Unakwama wapi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka nusu niangushe cm, mbna sasa hujanipamba vizuri naweee, hebu ongezea nyama nyama niuzike haraka bhana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani na wewe una ndoa !?
 
Huo huo unyago wa kutaka mwanamke kuvumilia usaliti na unyanyasaji kwenye ndoa? No thank you oeni hao hao wanawake wapumbavu!
Unyago urudi na wewe ndio lazima uwe first selection.

Umekuwa brainwashed na beijing agendas na hawa modern feminists.

Ndio wengi wenu kwenye mambo yake viuno gogo [emoji2]

Unyago urudiwe urudiwe
 
Hapana mchezo kabisa[emoji28] unawaambiaje mademu wanaokaza shingo kwa waume zao
Ujue malezi na mazingira tunatofautiana kabisaa!sisi wengine tumekuzwa kiafrika zaidi kua mke ni msaidizi wa mume aka Katibu na baba ni Chairperson,sasa msimamzi wa majukumu ni mama!baba anapaswa kuhakikisha mambo yameenda sawa in terms of kujenga,kulla,kuvaa,kunywa kusomesha n.k.Mama jukumu lake kumake sure nyumba inakaa vzr,wanasemaga heshima ya ni mke ila anaetambua majukumu yake,ambayo ni kuhakikisha nyumba inakua nzuri,watoto wanaenda shule kwa wakati ,panaliwa kwa wakati, kilichopo kinapikwa vzr,kufu na kuhakikisha Mme anapendeza!
Shida iliyopo tunafeli mwanaume anashindana na mwanamke,na mwanamke anashindana na mwanaume,hapo ndo tatizo lilipo!



Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Degree ya sheria inamaana mwanamke kajiandaa kuwa mwanasheria, sasa kwann aache sheria akalee mwanaume?

Labda kama akikosa hiyo nafasi ya kupractise law, ila ni ngumu sana mtu aache carrier yake ili akuandalie maji ya kuoga.

Ukitaka uhakika wa kulelewa nenda kaoe mwanamke wa kawaida ambaye maisha kwake ni kuwa na mume na kulea watoto ila ukitaka mwanamke mpambanaji mwenye carrier yake basi achana na mambo ya kuandaliwa maji.
Nimecheka kwasauti kubwa chumbani kwangu,Ila kuna ukweli katika maneno yako haya ,tukubali tusikubali wakuu,kupanga nikuchagua,Kua namwanamke housemaid au Kua na mwanamke mpambanaji!nakote unaweza ukapata mahaba au usipate
 
Matukio tunapigwa ila kwani wanachelewa kujutia sasa?
Chezea kuogeshwa ww....maana huko huko juu kwa juu unamgenyesha hadi mnakulana kabla ya kumaliza kuoga
Ila nakadoria cjui ww kabila gani maana loh,si kwamahaba hayo,ashukuriwe mjomba aliyekupata wewe,unafanya naziada kwamwaname anaejitambua akikutana naww haweki ajizi,Ur very few of Ur kind kwakweli yaani daah
 
Degree ya sheria inamaana mwanamke kajiandaa kuwa mwanasheria, sasa kwann aache sheria akalee mwanaume?

Labda kama akikosa hiyo nafasi ya kupractise law, ila ni ngumu sana mtu aache carrier yake ili akuandalie maji ya kuoga.

Ukitaka uhakika wa kulelewa nenda kaoe mwanamke wa kawaida ambaye maisha kwake ni kuwa na mume na kulea watoto ila ukitaka mwanamke mpambanaji mwenye carrier yake basi achana na mambo ya kuandaliwa maji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Utakuwa na bucha nzuri sana. Wanatutengenezea kiasi kwamba ukifika unaweka tu kwenye sufuria, weka maji, chumvi, chochea moto, halafu unakula? Hauhitaji hata kuosha, wala kutoa magamba 2-3 yaliyobaki kwenye samaki. Basi una bahati sana.

Mbona hata kupika watu wa bucha wanaweza? Ni buku 1 tu. Ukifika nyumbani wewe ni kula tu. Wewe unakwama wapi?
Camarade hii mbona ni mambo madogo? Ukinunuwa kuku sokoni wanachinja na kumtengeneza kila kitu gharama yake ni buku tu.

Na ukinunuwa samaki buchani au sokoni pia wanakuandalia kila kitu, wewe nyumbani kuosha tu.

Unakwama wapi?
 
Ujue malezi na mazingira tunatofautiana kabisaa!sisi wengine tumekuzwa kiafrika zaidi kua mke ni msaidizi wa mume aka Katibu na baba ni Chairperson,sasa msimamzi wa majukumu ni mama!baba anapaswa kuhakikisha mambo yameenda sawa in terms of kujenga,kulla,kuvaa,kunywa kusomesha n.k.Mama jukumu lake kumake sure nyumba inakaa vzr,wanasemaga heshima ya ni mke ila anaetambua majukumu yake,ambayo ni kuhakikisha nyumba inakua nzuri,watoto wanaenda shule kwa wakati ,panaliwa kwa wakati, kilichopo kinapikwa vzr,kufu na kuhakikisha Mme anapendeza!
Shida iliyopo tunafeli mwanaume anashindana na mwanamke,na mwanamke anashindana na mwanaume,hapo ndo tatizo lilipo!



Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sasa si unaona wenzio wanataka mwanaume aanze kushughulika na household badala ya strategic activities
 
Back
Top Bottom