Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Mimi nilimwoa mke mchawi Mwenye malengo ya kuwa na nyumba yake na baadae awe single mother . Niliishi nae kwa miaka 18 na kubarikiwa kuwa na watoto 2.
Alinipiga na kitu kizito cha kienyeji nikaugua ugonjwa wa ajabu na kuachishwa kazi, Nikaenda kulima akatuma kombola na heka 25 zote za nyanya bado week moja kuvunwa zikateketea kwa mafuriko. Nikapatwa BP kwa Ile hasara nikaishia hospital. Nilipo rudi nyumbani aliondoka na ku niacha , akachukua Hati ya Kiwanja changu na vyombo vyote vya ndani nikabaki nalala juu ya tiles kavu.
Baada ya miezi 2 kaja kushinikiza nyumba iuzwe na ikauzwa ili apate jasho lake.
Nina mwaka wa 7 Sina mke wala hamu ya kuoa Tena.
Aisee kwa hali hii uliyopitaia!
Tulia tu sahvi hakuna namna,mtafute Mungu tu hata hivyo Mungu kakutetea km umepigwa hayo makombora na bado u hai,mshukuru Mungu!

Mchawi hana sabb ss nyanya zako ungepata si na yeye angepata hela? [emoji119]Yesu tusaidie,tupe macho ya kuona
 
Dada ako ana moyo[emoji119]
Huyo ni mwanaune asiyejua majukumu yake! Hakuna mtu hapo
Familia nzima inajua hakuna mtu hapo kabisa.................... sasa ufanye je? na ndio hivyo ameshakuwa shemela ila hapana kwa kweli mimi hata unipe na nyongeza ile sampuli ni big nooo
 
Aisee kwa hali hii uliyopitaia!
Tulia tu sahvi hakuna namna,mtafute Mungu tu hata hivyo Mungu kakutetea km umepigwa hayo makombora na bado u hai,mshukuru Mungu!

Mchawi hana sabb ss nyanya zako ungepata si na yeye angepata hela? [emoji119]Yesu tusaidie,tupe macho ya kuona
Asante, Nashukuru.
Ujiulze ni kwa nini mchawi anamloga mtoto wake Mwenyewe na ndie anayemletea mkate Wa siku!
Nina Mungu wangu ambaye anenipigania hadi hivi Leo. Amen.
 
Very funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
Muombe aache kazi, mfungulie biashara ambayo haito mkeep busy sana.
Uzuri wewe upo financially stable mtakua na amani na furaha.
 
Aisee. Pole sana, Hali ya kuota mapembe huwa inatokea kwa wanawake wachepukaji na kupelekea kuanza dharau kwa waume zao na kupelekea kuangusha ndoa zao.

Msingefikia hatua ya Talaka nina hakika mke wako angekuja kujirudi na kubadilika na kuwa mke baada ya kufikia umri fulani. Maana wanawake na watoto ndio wanaathirika sana mnapotengana
Hii ni kweli, usikute hakuwai kukupenda sema kwasababu ulikua unamsomesha, unamuhangaikie apate maisha ndio maana alikubali kuwa na wewe. Sasahiv ana pesa yake, ana elimu yake ana variety of choices tofauti na mwanzo. Japo mtu anayesahau alipotoka ni rahisi kupotea huko anapo kwenda.
 
NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.

Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo anavyokipika!

Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.

Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Aisee pole sana
 
Kabisaa,nakazia
Mwanaume inatakiwa unkuwa na sauti ndani,mkali kiasi unapoona vitu haviendi sawa, unavimba una control yaani! Mi mwanaume ambae hawezi kuni-control simtaki,simwezi!
Lzm ujue niko wapi na nafanya nn,
Lkn pia sio ukali usio na sbb,no!
Na pamoja na hayo aweze kubembeleza pia inapotakiwa,awe romantic ndio maisha,na ndo wanawake wanavyotaka ukiwa mpole wanawake tuna midomo tunakupanda kichwani, tunakuona fala.
Then kaa Kwenye nafasi yako km baba,mwanaune uone km mwanamke atafurukuta au kuleta ujinga!
Bila kusahau na kipigo kidogo
 
Asa kaka,mwanaume huyo haulizi,hataki kujua unaenda wapi wala unarudi saa ngapi?yaani yeye kila kitu hewala tu!then mke amwambie aongeze mwingine yeye hewala tu!we unahisi hiyo sawa!?
Saa ingine mdada ht hachepuki walau umuulize kidogo!wanawake sisi ni km mwanafunzi ujue!
We unaona yuko sawa huyo kaka!ht kutaka kujue mkewe anaenda wapi hana mda,ht kama mtu mzima hivi siku kapata ajali ghafla unapigiwa simu hujui mwenzio yu wapi!!
Kuna wakat mapito yetu yanatufanya tutunge sheria humo humo, kwa Lawyers wanajua vizur chanzo cha sheria ni nini... Ninachoona hapa hujaelewa au unahangaishwa na mapito yako.

Nani anatakiwa kutoa taarifa kati ya anayetoka na aliyeachwa nyuma? Maisha yana Principles zake, Kwanza mke hawezi kutoka bila kuaga au kuomba ruhusa.. Sizungumzii mtu mwenye uke aliyeamua kujirahisha na kwenda kuishi kwa mtu mwenye uume.

Mimi nimeoa mke na sio mtu mwenye uke tu, kwahiyo hayo unayotaka aulizwe haitatokea kwakuwa anajua utaratibu ukoje kama mke.
Na siku ukiona mtu katoka bila kuaga au kutoa taarifa anasubiri aulizwe basi ujue ameamua kuleta shari....Kila anayevunja utaratibu ujue amepuuza huo utaratibu, Sasa dawa yake ni kutumia sheria na sio nguvu na makelele.
 
Mimi nilimwoa mke mchawi Mwenye malengo ya kuwa na nyumba yake na baadae awe single mother . Niliishi nae kwa miaka 18 na kubarikiwa kuwa na watoto 2.

Alinipiga na kitu kizito cha kienyeji nikaugua ugonjwa wa ajabu na kuachishwa kazi, Nikaenda kulima akatuma kombola na heka 25 zote za nyanya bado week moja kuvunwa zikateketea kwa mafuriko.

Nikapatwa BP kwa Ile hasara nikaishia hospital. Nilipo rudi nyumbani aliondoka na ku niacha , akachukua Hati ya Kiwanja changu na vyombo vyote vya ndani nikabaki nalala juu ya tiles kavu.

Baada ya miezi 2 kaja kushinikiza nyumba iuzwe na ikauzwa ili apate jasho lake.

Nina mwaka wa 7 Sina mke wala hamu ya kuoa Tena.
Aiseee... Pole sana.
 
Me pia siwezi kumgombeza mtu maana nikiwa na hasira siwezagi kujieleza watu tumetofautiana personalities Kama mke unaondoka huja niaga na ukalala nje bila kutoa taharifa jua kwangu umetangaza Vita maana najua ata nikikuuliza utanidanganya na Niki panic naweza ata kukuchoma visu mwili mzima ..

Kama unadhani kukaa kimya nikua boya ujue kuna mawili nikifanya maamuzi either nikupe talaka au nikujerui vibaya ..

Msome mtu unaeishi nae alivyo then cheza nae kwa steps ..



Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app

Basi Baba yameisha[emoji3][emoji3]
 
Mimi nilimwoa mke mchawi Mwenye malengo ya kuwa na nyumba yake na baadae awe single mother . Niliishi nae kwa miaka 18 na kubarikiwa kuwa na watoto 2.

Alinipiga na kitu kizito cha kienyeji nikaugua ugonjwa wa ajabu na kuachishwa kazi, Nikaenda kulima akatuma kombola na heka 25 zote za nyanya bado week moja kuvunwa zikateketea kwa mafuriko.

Nikapatwa BP kwa Ile hasara nikaishia hospital. Nilipo rudi nyumbani aliondoka na ku niacha , akachukua Hati ya Kiwanja changu na vyombo vyote vya ndani nikabaki nalala juu ya tiles kavu.

Baada ya miezi 2 kaja kushinikiza nyumba iuzwe na ikauzwa ili apate jasho lake.

Nina mwaka wa 7 Sina mke wala hamu ya kuoa Tena.
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana anaweza kuishi na ww miaka hata 20 bila kukupenda ila ww hujui kama hakupendi yupo kimkakati hana wasiwasi kwasababu siku zote wanaamini mwanaume anatangulia kufa ila pole sana mkuu.
 
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana anaweza kuishi na ww miaka hata 20 bila kukupenda ila ww hujui kama hakupendi yupo kimkakati hana wasiwasi kwasababu siku zote wanaamini mwanaume anatangulia kufa ila pole sana mkuu.
Khaaaa
 
Mimi nilimwoa mke mchawi Mwenye malengo ya kuwa na nyumba yake na baadae awe single mother . Niliishi nae kwa miaka 18 na kubarikiwa kuwa na watoto 2.

Alinipiga na kitu kizito cha kienyeji nikaugua ugonjwa wa ajabu na kuachishwa kazi, Nikaenda kulima akatuma kombola na heka 25 zote za nyanya bado week moja kuvunwa zikateketea kwa mafuriko.
Aisee. Pole sana rafiki.
 
Mimi nilimwoa mke mchawi Mwenye malengo ya kuwa na nyumba yake na baadae awe single mother . Niliishi nae kwa miaka 18 na kubarikiwa kuwa na watoto 2.

Alinipiga na kitu kizito cha kienyeji nikaugua ugonjwa wa ajabu na kuachishwa kazi, Nikaenda kulima akatuma kombola na heka 25 zote za nyanya bado week moja kuvunwa zikateketea kwa mafuriko.

Nikapatwa BP kwa Ile hasara nikaishia hospital. Nilipo rudi nyumbani aliondoka na ku niacha , akachukua Hati ya Kiwanja changu na vyombo vyote vya ndani nikabaki nalala juu ya tiles kavu.

Baada ya miezi 2 kaja kushinikiza nyumba iuzwe na ikauzwa ili apate jasho lake.

Nina mwaka wa 7 Sina mke wala hamu ya kuoa Tena.
boss emu idadavue kidgo hii vijana tupate somo kamili..
 
Mimi nilimwoa mke mchawi Mwenye malengo ya kuwa na nyumba yake na baadae awe single mother . Niliishi nae kwa miaka 18 na kubarikiwa kuwa na watoto 2.

Alinipiga na kitu kizito cha kienyeji nikaugua ugonjwa wa ajabu na kuachishwa kazi, Nikaenda kulima akatuma kombola na heka 25 zote za nyanya bado week moja kuvunwa zikateketea kwa mafuriko.

Nikapatwa BP kwa Ile hasara nikaishia hospital. Nilipo rudi nyumbani aliondoka na ku niacha , akachukua Hati ya Kiwanja changu na vyombo vyote vya ndani nikabaki nalala juu ya tiles kavu.

Baada ya miezi 2 kaja kushinikiza nyumba iuzwe na ikauzwa ili apate jasho lake.

Nina mwaka wa 7 Sina mke wala hamu ya kuoa Tena.
Mkiu,tunaomba thread ya maisha yako ya ndoa,tafadhali.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom