Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa utashangaa watu wa nje anaongea nao peace kabisa na wanacheka, kimbembe akirudi kwako anakubadirishia sura anakuvalia sura ya kazi😄😄Ndivyo dunia ilivyo mama. Huwa nafikiri ni mgonjwa wa akili japo haonyeshi dalili nyingine za aina hiyo huko nje. Ni mimi ninayekaa naye tu ndiye ninaye mjua.
Acha kujifunza kwa walioshindwa kwenye ndoaNilikuwa na tahadhari nioe mwakan mnanikatisha tamaa [emoji848][emoji848]
Kilichofichwa ndani ya hao wakina eva na hawa ndio maana Mungu alisema wapende lakini ishi nao kwa akili[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me
Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...
Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
I fall in love with your Comment... 😍Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me
Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...
Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
😁😄😃😀😆😅😅😆😁[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Duh hii ni zaidi ya hatari Mkuu. Pole sana kwa yalokukuta.Mimi nilimwoa mke mchawi Mwenye malengo ya kuwa na nyumba yake na baadae awe single mother . Niliishi nae kwa miaka 18 na kubarikiwa kuwa na watoto 2.
Alinipiga na kitu kizito cha kienyeji nikaugua ugonjwa wa ajabu na kuachishwa kazi, Nikaenda kulima akatuma kombola na heka 25 zote za nyanya bado week moja kuvunwa zikateketea kwa mafuriko.
Nikapatwa BP kwa Ile hasara nikaishia hospital. Nilipo rudi nyumbani aliondoka na ku niacha , akachukua Hati ya Kiwanja changu na vyombo vyote vya ndani nikabaki nalala juu ya tiles kavu.
Baada ya miezi 2 kaja kushinikiza nyumba iuzwe na ikauzwa ili apate jasho lake.
Nina mwaka wa 7 Sina mke wala hamu ya kuoa Tena.
Hahahaaa ......mwanzoni huwa mnasema hivo....kaa miaka 10 alaf tuone kama utakua unafanya kimojawapoHata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me
Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...
Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Nna miaka 6 broHahahaaa ......mwanzoni huwa mnasema hivo....kaa miaka 10 alaf tuone kama utakua unafanya kimojawapo
stop pretending to be innocent...Kuna watu ni visirani by nature Yani too much hungry kwa kila jambo Yani haeleweki eleweki
Tafuta kipato ila usisahua majukum kama mke, mwanaume atafute kipato pia asisahu majukumu kama mume. Tatizo wengi wanadhani kipato inaondoa gender role au wajibu kama mme au mkeBeing a woman isn't easy..ukikaa nyumbani utaitwa golikipa hata ukifanya majukumu yote utatafitiwa sababu
Ukienda kutafuta 'msaidiane' ukirudi bado utatafitiwa sababu na kuonekana less of a woman, ukisema umechoka unaambiwa kipato kinakupa jeuri