Sometimes maapuuza tu
Mtu unasainiwa assignment hata kushiriki hushiriki kufanya kama ni ya group kama ni individual unasubiri mikeka na ukikosa mikeka unaenda stationary unajibanza wakisepa kwakua kazi ime kuwa saved unaenda mpa hela unamwambia itoe hii iliotoka kutolewa
Unafanyiwa quiz nyengine unazi miss wana wanakataa maana umezidi kuwafanya lofa
Kama PROf ni mtata au DEPARTMENt ya watu wasio na utani upo ghetto kitumbowazi unacheza fifa text inaingia oyaa wanahesabu namba au quiz mda huohuo unapanda pikipiki tu unafika umechelewa unajaza registration number tu maana bora hivyo kuliko kutokusanya
Utokei class unatuma registration number yako kwenye sms mwamba akujazie kwenye attendance sheet
Husomi hata ratiba za test unazisahau unasoma leo usiku kesho test au unasoma asubuhi unaanza kumuuliza wana kwenye simu oyaa PROf ame cover mpaka wapi
Hujui ratiba ya vipindi una kazi ya kuuliza tu baada ya hichi tuna kipindi gani kama kipindi ni saa nane saa nne ukitoka ndio hurudi tena mpka kesho
Wikiendi yako inaanzia Ijumaa kwa maana vipindi vya Ijumaa unaviua hutokei kabisa tukutane Jumatatu
Nitaendelea......