Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Da Shunie naomba uwe House Girl wangu tafadhali, tutakuwa maraiki wazuri tu, I promise YouNdio wanaume zetu hawa
Nikifikiriaga hivi kuhusu house girl tumbo linakata kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da Shunie naomba uwe House Girl wangu tafadhali, tutakuwa maraiki wazuri tu, I promise YouNdio wanaume zetu hawa
Nikifikiriaga hivi kuhusu house girl tumbo linakata kabisa
Dawa ni kuweka house girl anakuzidi umri...weka wa 50+ dadadeq ..Yaani mtu unamchukua kwa uzuri akusaidie anakuwa mke mwenzio mimi sitaki kabisa kusikia kuweka house girl
Usisahau hao Watoto ni ndugu wa Watoto wako!!!Asante mbona nishakoma kitambo. Ila na wao wamekoma maana wanakomaaga na mimba zao na kulea watoto wao bila usaidizi. Sijawahi kuonana nao tangu niwafukuze kwangu, wanapambana huko vijijini
Uzuri hilo halinistui kama anaendelea hivo ni kwa kificho sana wala halinipi shida kabisa. Anayepata shida ni yeye. Miye ninaendelea kuishi bila stress wala pressure yoyote ukizingatia kila kitu ninacho mume yupo, nyumba nzuri, magari mazuri, mashamba na takataka zozote zinazowatesa watu kuzitafuta. Miye nimebarikiwa sivyo kama unavozani. Hizo ni changamoto ambazo kila mtu ana zakeHivi wewe unatufaham wanaume au unatusikia ?! Ipo hivi haujawakomoa kivile na ambavyo huwaoni nakuhakikishia hali zao sio mbaya kama unavyodhani.
Ukisafiri mume anawatokelezea anawapa mahitaji na ofcourse anapiga pump na ooh ANAPIGA PUMP LA MAANA maana kamiss muda mrefu. Wanaume tunatabia ya kukumbushia binafsi hakuna mwanamke eti nilipiga mashine tulivyoachana sikupiga tena, hata tupotezane vipi hua mzuka unakuja wa ladha ya kitumbua cha fulani, hapo lazima kitafutwe nikitafune sawa sawa ndo nafsi itulie.
Ndio watawasiliana badaeUsisahau hao Watoto ni ndugu wa Watoto wako!!!
Mna maana nyie mnachoangalia tu ni kichwa chenu cha chini kinavyowapelekaDawa ni kuweka house girl anakuzidi umri...weka wa 50+ dadadeq ..
ha ha ha haMna maana nyie mnachoangalia tu ni kichwa chenu cha nini kinavyowapeleka
He he sio wewe ninayekujuaBabe njoo kwangu, mimi siwezi kibisa hata kumtamani housegirl
Khaaaa!! Mimi nina tabia njema mpaka shetani anakimbiaHe he sio wewe ninayekujua
Tena uuaji, mwsho mtiliane sumu lol.Ushare usijue sio ushare na mtu ndani ya nyumba hiyo ni zaidi ya dharau
Ukishamuoa na yeye anakuwa wa kawaida tena zaidi ya mkeo. Halafu unaendelea kugonga hg uliyemuwekeaHg ni watamu mno,asikwaambie mtu tena wengine wanaround about kama mlima kilimanjaro sasa unamuachaje kwa mfano,tena mda unamla masikio yote nje
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mwisho wake huwa mbaya. Bora uwe unasikia tu sio kuishi nyumba mojaTena uuaji, mwsho mtiliane sumu lol.
Afu hao wanaume wana tabia mbaya San, wanawapa mimba hg af wanawarudisha kwao, huu ni uonevu khaaah.Baada tu ya Miezi 6 ndani ya ndoa nilisafiri kwa wiki 2 . Niliporudi mume kansmbia nimpe nauli hg arudi kwao ufanisi umeshuka. Badae nikaambiwa namajirani kuwa hg yu mjamzito
Wa pili pia nilisafiri na watatu vilevile. Na wote hao nilipomuuliza mr alikubali kuwa ni kweli.
Na huyo hb mbna atapita nae, ata imagine as hg lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa utaweza kumudu majuku yote ya nyumbani kupika, kufua, usafi, na n.k basi fanya mpango wa house boy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hutaki hg wee? LolUnamtafuna house girl..kujisahau hadi mimba...wa kwanza wa pili watatu..wanaume shikamooni.
Mimi house girl hapana sina kifua cha kuhimili hekaheka za namna hiyo.
Hapa ndo mnakosea mnafukuza hg na mimba ya boss, mnawarudisha vijijn wanahangaika wazazi wa binti, kna mwingne alirudishiwa iv iv had bint alipojifungua lol.Asante mbona nishakoma kitambo. Ila na wao wamekoma maana wanakomaaga na mimba zao na kulea watoto wao bila usaidizi. Sijawahi kuonana nao tangu niwafukuze kwangu, wanapambana huko vijijini
Haswaaaaah lolKweli kabisa mwisho wake huwa mbaya. Bora uwe unasikia tu sio kuishi nyumba moja