WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Me Cko Tunduru Mkuu Ila Nna Mtandao Mpana Kule Tunduru Wa Walimu Kubadilishana
 
Mkuu y-n hebu kuwa serouse bac maana mimi nina shida kweli hebu nipm bac if u mean what you say.
 
Mkuu y-n hebu kuwa
serouse bac maana mimi nina shida kweli hebu nipm bac if u mean what you
say.

kwani wewe unahisi sipo serious?
nani ampm mwenzake,ni mimi,au wewe?by the way,kadri unavochelewa wewe ndivyo naye mipango yake inavozidi kukaa safi.
Jamaa anataka arudi afundishe kuna shule moja anadai ipo ndanda,ukiitoa ndanda h/school,kule madeko.
 
Mimi ni mwalimu ninae fundisha wilayani kilosa mkoani morogoro natafuta mtu anaye toka wilayani mbozi mkoani mbeya.0757021255
 
Mimi ni mwalimu ninae fundisha wilayani kilosa mkoani morogoro natafuta mtu anaye toka wilayani mbozi mkoani mbeya.no 0757021255
 
Wakuu!
mwl wa sekondar ktoka kanda ya kati au kanda ya pwan aje mtwara nami niende aliko.
 
Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi elimu msingi.

mimi nipo wilaya ya kilindi mkoani Tanga. napendelea kwa aliyeko mikoa ya Iringa, Mbeya, Pwani, na Ruvuma.

aliye tayari anitaarifu kupitia hapa. PM kwangu au andika hapa chini.
 
Habari zenu wanaukumbi?.Ndugu zangu mimi ni mwalimu wa sekondari kutoka wilaya ya Ukerewe.Nahitaji kubadilishana kituo na mwalimu kutoka Mbeya katika Wilaya ya Mbeya mjini au Mbeya vijijini.kwa mawasiliano zaidi piga namba 0762369619/ 0714620133.
 
Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi elimu msingi.

mimi nipo wilaya ya kilindi mkoani Tanga. napendelea kwa aliyeko mikoa ya Iringa, Mbeya, Pwani, na Ruvuma.

aliye tayari anitaarifu kupitia hapa. PM kwangu au andika hapa chini.

Nipo Rukwa hapa wilaya ya sumbawanga nataka niende kwetu korogwe hapo kilindi patanifaa sanaaa
 
Back
Top Bottom