u
najidanganya!! Asipopatikana alioyefaulu usaili nafasi zitatangazwa tena!!
Kwanini wasifanye hivyo Sasa.. Maana unaweza Kuta mkoa mzima umefailMkoa wa kimkakati akuna mana majibu ya written interview, watayaunganisha ya nchi nzima then watakata kwenye pass mark wanayoona kuwa watakuwa wamepata idadi kadhaa ya watakaoenda nao oral.
pasi na kujari mkoa Fulani wamepita wengi mkoa fulan wachache hizi sio ajira za afisa utendaji mitaa Kila halmashauri na matokeo yake.
Daah comment ya hovyo kabisa kuwahi kuisoma Jf. 🤠🤠Wanaosimamia usaili watasimulia mengi mana wahitimu wa ualimu tz hii ni vilaza zaidi ya vilaza.
Ualimu ni laanaJamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.
Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa 11,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Mikoa ya kimkakati Kwa àmbao watataka kupita kwenda round ya Oral NI:
1. Mtwara
2. Lindi
3. Ruvuma
4. Rukwa
5. Katavi
6. Kagera
7. Njombe.
8. Kigoma
Watakaoenda Oral Marks ndîo zitawabeba. Utachaguliwa Mkoa wowote.
Leo ndîo mwisho wa kuthibitisha mikoa àmbayo utakuwa comfortable nayo.
Mwalimu yupi analipwa laki 3Mbuzi wewe.. Lipa mishahara na mazngira mazuri thn urud hapa, unamlipa mtu laki 3 ushuzi hata kama mimi nikihudhuria class kwa wiki mara 3.
Kimeumana huku. Sasa hivi kila mtu ni mtakwimu, bila shaka ni mwalimu wa Economics au Georgraphy huyo.Kwani wewe mwalimu hizi takwimu unazitoa wapi? Yaani kila siku unakuja na mapya kuhusu haya mambo ya saili za kada ya ualimu na afya!
Unafaidika nini kila wakati kutaja mikoa ambayo ina watu wengi walioomba wakati huna takwimu sahihi? Au unataka watu wabadilishe mikoa ili hiyo mikoa unayotaja ubaki mwenyewe? Hilo halipo subiri ugombanie goli na wenzio!Unashangaza sana!
Acha kuwapa taharuki watu,huna hata chembe ya taarifa.
Nafasi moja kugombaniwa na watu 18 mbona kawaida sana umewahi kujiuliza sekta binafsi, inapotokea kampuni imetangaza nafasi moja ya Meneja inaombwa ama kugombaniwa na watu wangapi?Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.
Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa 11,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Mikoa ya kimkakati Kwa àmbao watataka kupita kwenda round ya Oral NI:
1. Mtwara
2. Lindi
3. Ruvuma
4. Rukwa
5. Katavi
6. Kagera
7. Njombe.
8. Kigoma
Watakaoenda Oral Marks ndîo zitawabeba. Utachaguliwa Mkoa wowote.
Leo ndîo mwisho wa kuthibitisha mikoa àmbayo utakuwa comfortable nayo.
NI vywasiKuna jitu Eti leo Linanipigia Nilisaidie namna ya Ku Confirm mkoa,
Namuuliza umesahau? Anasema mtu wa Stationery ndio alinifungulia kila kitu, nilimsaidia ila nimemshangaa sana, mwambie tiktok na Snapchat sasa
Mwingine ka upload Vyeti, Profile picha na CV akajua ndio ashaomba kazi anasubiri interview.
Kuna mijitu ni mizembe sana, Binti wa Miaka 28 Una smartphone, Email yako hujui, Password ndio usiulize, Namba aliyotumia kufungulia anakuambia hajui aliyemfungulia alitumia ipi.
Hii nchi wasomi wapumbavu ni wengi mno,
Hao wote ni Degree
Ndivyo ilivyo kwenye fani zingine pia,si mlikuwa mnawacheka? Hakuna Mwalimu kanjania tenaJamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.
Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa 11,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Mikoa ya kimkakati Kwa àmbao watataka kupita kwenda round ya Oral NI:
1. Mtwara
2. Lindi
3. Ruvuma
4. Rukwa
5. Katavi
6. Kagera
7. Njombe.
8. Kigoma
Watakaoenda Oral Marks ndîo zitawabeba. Utachaguliwa Mkoa wowote.
Leo ndîo mwisho wa kuthibitisha mikoa àmbayo utakuwa comfortable nayo.
Harafu huyu ndio anatakiwa kuwa Mwalimu wa Watoto Wetu.Hovyo kabisa na Bora walivyoleta interview.Tofautisha hela na namba mwalimu.
Ulipwe zaidi ya hapo Kwa Elimu Yako ya cheti? Yaani umepata div III na kacheti Kako unataka ulipwe bei gani? Si ubakie mtaani uone motoMbuzi wewe.. Lipa mishahara na mazngira mazuri thn urud hapa, unamlipa mtu laki 3 ushuzi hata kama mimi nikihudhuria class kwa wiki mara 3.
Yah wajue hayoBora uwaeleze wajue mapema kuwa kuna viwangi vya ufaulu maana utumishi hawajali mmekuja wangapi kwenye kituo bali wanajali ufaulu tuu..asichojua kuwa hata kituo chote cha usaili mnaweza feli wote….! Halafu swala la mkoa ni mapendekezo yako tuu na hii si sandakalawe bali ni kufaulu kwanza kwa hiyo atakaye faulu ajiandae kwenda popote!
Na unatakiwa uwe ishu zaidi ,wanapenda huko wawe wale wenye div 1 au 2.Daaa kazi kweli na ualimu sasa ivi umeshakuwa ishu
Kitaifa mkuuSwali langu ni je, cutting point ya oral ili kupata kazi itachukuliwa kimkoa husika au kitaifa ?
Kazi ni za watanganyika sio za mikoa morogoro wakifeli njombe wapo waliofaulu ishu ni kupata cream Bora tutachukua wa njombe waliokosa vituo tutawapangia kazi morogoroKwanini wasifanye hivyo Sasa.. Maana unaweza Kuta mkoa mzima umefail
Ni kweli 😂Waalimu kazi wanayo aisee 😂
Vipanga bongo hii? Labda pasiwe na connection. Hizo div zenyewe tu ni za kimkakati...Na unatakiwa uwe ishu zaidi ,wanapenda huko wawe wale wenye div 1 au 2.
Div 1 iwe points 7-14 ,Kuanzia 15-20 iwe II sio kama ilivyo Sasa ma points meengi..
Walimu wanatakiwa wale vipanga tuu ndipo Sasa serikali ibadilishe scale za malipo Yao.
Scale ya malipo kwa watumishi wa umma haina tofauti kulingana na madaraja yao ya kazi na viwango vyao vya elimu.Na unatakiwa uwe ishu zaidi ,wanapenda huko wawe wale wenye div 1 au 2.
Div 1 iwe points 7-14 ,Kuanzia 15-20 iwe II sio kama ilivyo Sasa ma points meengi..
Walimu wanatakiwa wale vipanga tuu ndipo Sasa serikali ibadilishe scale za malipo Yao.
Wapo wengi tuu mojawapo ni Mimi japo sio Mwalimu but ingekuwa better terms ningekuwa Mwalimu.Vipanga bongo hii? Labda pasiwe na connection. Hizo div zenyewe tu ni za kimkakati...
Walimu wamepewa tena nafasi ya ku comfirm employer. Waitumie vizuri chance waliyopewa.Hapo watakao ajiriwa ni wale watakao kubari kusaidia ccm kuiba kura. Yaani wale wenye kadi za ccm zote ndio watakao ajiriwa. Dawa ni kuondowa shetani ccm ili tujenge nchi kwenye misingi ya haki.