Ila Elimu kubwa inaongeza thaman ya mtu, huyu mwenye Elimu kubwa anakuwa na kaheshima kidogo[emoji1] migogoro ipo kwasabu ya kudharauriana
Inaumaga sana hyo, halafu nawanakuwaga wakali kwasabu hawajiamini. Mashuleni Kuna vijana wamesoma Ila wanapgwa figisu tu๐ญ Ila Moto huwa wanauona kazi huwawia ngumu sanaKwenye Halmashauri kuna ujinga mkubwa sana at mtu mwenye diploma anaongoza mtu mwenye masters na anamuona kama adui
Kwani anamkagua kucha?Ndo maana migogoro haiishi huko, kuongoza ni uzoefu kazini na maarifa (Elimu) mwalimu mwenye dip. Amkague mwalimu mwenye PhD ya curriculum development, ww unavyoona atakuwa na amani au atakagua kwa ufanisi?
Na nyny mnao kuja na mameseji marefu mnakuwaga vilaza balaa.๐คฃ Nyie ndo wazee wakuhonga Ila uzuri wake nasikia Moto huwa mnauonaKwani anamkagua kucha?
Yaani wewe ndio una hiyo sijui elimu kubwa ukaongoze watu?
Labda ng'ombe.
Watu wakiongozwa na kiongozi anayejua uongozi hata akiwa na elimu ya chini kabisa atawaongoza hao wenye elimu kubwa vizuri tu.
Sasa wewe peleka makaratasi yako eti una elimu kubwa ila hujui kuongoza ujionee aibu yake.
Muda woote una watangazia watu wewe ndiye mwenye elimu kubwa,mara mshahara mkubwa kuliko wote pale ndio kuongoza?
Umenena vyema kabisa.Hoja yako ina mashiko. Ingawa wakati fulani tukubali pia uongozi ni karama. Unaweza ukamkuta mtu ana elimu kubwa lakini hata familia yake tu nyumbani hawezi kuongoza.
Ni nomaaFikiria mtu mwenye PhD uandae report ya kitaalamu halafu mkuu wa idara mwenye diploma akaifanyie approval, hii ni kuidhalilisha elimu, ndo maana haishangazi daktari feki mwenye elimu ya la saba kutumwa kwenda kutoa ufafanuzi wa vifungu vya mkataba wa bandari mbele ya wanahabari.
Yaan mtu ukomae na desa la bachelor miaka 3 had 5, afu anakuja wa Diploma akague? Hivi huo ujasiri wa kukagua anautoa wapii??Ila Elimu kubwa inaongeza thaman ya mtu, huyu mwenye Elimu kubwa anakuwa na kaheshima kidogo[emoji1] migogoro ipo kwasabu ya kudharauriana
Uongoo bhana, wanahonga, au ukute ile posho ya ualimu mkuu wanachukua wa juu huko huko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazee walikua wana sinzia ofisini na wana potezea sana (ma disminder)
Uliyosema ni kweli kabisa.Na nyny mnao kuja na mameseji marefu mnakuwaga vilaza balaa.๐คฃ Nyie ndo wazee wakuhonga Ila uzuri wake nasikia Moto huwa mnauona
Kabisaa!Yaan mtu ukomae na desa la bachelor miaka 3 had 5, afu anakuja wa Diploma akague? Hivi huo ujasiri wa kukagua anautoa wapii??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye Degree au Masters imemshinda, anikague mie nn sasa? Si uchuroo huu, ndo maana Elimu inadharaurika hivyo.
Uongoo bhana, wanahonga, au ukute ile posho ya ualimu mkuu wanachukua wa juu huko huko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo atakuwa mkuu wa idara mwenye diploma, ame base zaidi kwenye uchawa na ndumba๐Na nyny mnao kuja na mameseji marefu mnakuwaga vilaza balaa.๐คฃ Nyie ndo wazee wakuhonga Ila uzuri wake nasikia Moto huwa mnauona
Hawagawani wanachukua huko huko wa juu, yeye anatamba akiwa mkuu wa shule, bas hafundishi ndo raha yake hiyoWatakuwa wanagawana [emoji1][emoji1]
Kheeeh mbna kawaida sanaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ualimu mkuu pia watu wanautaka mpaka kuonga?[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Aisee! Akishindiliwa swali moja tu na staff members povu mpka halmashaur ๐คฃHawagawani wanachukua huko huko wa juu, yeye anatamba akiwa mkuu wa shule, bas hafundishi ndo raha yake hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]