Zero 2 Hero
JF-Expert Member
- Dec 16, 2012
- 532
- 1,072
Tatizo lako unafikiri kila aliyeko hapa yupo kupondea ama kusifia. Nilichokifanya hapo ni kutoa sababu za watunga sera.Nimesoma hiyo NB yako nimesikitika saana!! Yaani unaweka simenti nyingi kweye kozi za mwisho za matofali wakati foundation umejenga kwa matope ukiogopa gharama??
Mtu mwenye akili timamu (sina maneno mbadala) hawezi kufanya hivi!!
Tanzania tuko na WANAFIKI WENGI KWA SABABU YA ELIMU MBOVU
Kwa wingi wenu msimpe Mwenyezi Mungu mzigo. Mpaka mmeajiliwa ashawasaidia, tokeni maghetoni mkapambane mpate Teaching Allowance!! CWT wale ni wezi na wanawadanganyaJamani jamani sie walimu! Mungu atusaidie.
B1 ni mwalm gan? yan madarasa yake.. nataka nijueWalimu wa chekechea ndo anapaswa kulipwa hela nyingi kuliko hata professor wa chuo kikuu
Wewe ni Robot la matope kweli ,iweje mbunge alipwe kwa siku moja laki 3 na Mwl basic iwe laki4 kwa mwezi!Kwani wao ndio wanajilipa hiyo mishahara? Tumia akili kufikiri. Hiyo inatokana na hali ya uchumi wa nchi yetu. Hakuna anayemdharau mwalimu labda mpumbavu km wewe. Sisi tunawapenda na kuwaheshimu
Alafu siku za uchaguzi wao wanasimamia wizi wa kula wacha walipwe hata 80,000 kwa mweziBaada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?
HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650
Source
Tanzania (MISHAHARA) Salary Scale Range 2022/2023 | Check Here
Latest Education and Ajira Portal: Cheki Nafasi za Kazi 2025, Ajira Mpya Tanzania, Interview Tips, Scholarships, NECTA Past Papers, MATOKEO, SELECTIONwww.ajiraleo.com
Ila MWALIMU Huyo anapanda madaraja kwa Kasi kulinganisha na Askari formIv,Huu ujinga (sina nendo mbadala) ndo mnauotumia kuwadanganyia walimu (alianza Rais Mkapa kwa kufuta Teaching allowance) eti kada flani wanalipwa kiasi kidogo kuliko nyinyi!!
Twende sawa
Tuseme Askari anayeanza kazi analipwa mshahara wa Tsh 400,000/= baada ya makato anabaki na 360,000 let say,
Baada ya hapo katikati ya mwezi anapewa laki 3 isiyo na makato kama posho, laki 1 ya vinywaji na anakaa line police. Utamfananisha na mwalimu sijui C hapo juu??
Njoo na hesabu sio siasa.
#Hatuwakejeli walimu, wananyonywa
Binafsi sijui but nahisi ni walimu wanaoanza ajira maana ndo mshahara wa kwanza!!B1 ni mwalm gan? yan madarasa yake.. nataka nijue
Acha Uongo, laki5 ni salary ya Sajenti,Askari Magereza anayeanza kazi na elimu ya form4 analipwa:
Msha ha ra= 516,000 basic
Posho ya chakula 300,000
Posho vinywaji 100000
Mazingira magumu 86,000
Pango la nyumba 86000
Ujuzi 86,000 kama anao
Umeme na maji bure punde wanaanza kulipwa keshi.
Bima bure
Ume quote mtu mwingine afu ukanitaja mimi!! Sasa sijaelewa, unaniuliza mimi ulonitaja au huyo ulom quote??Wewe ni Robot la matope kweli ,iweje mbunge alipwe kwa siku moja laki 3 na Mwl basic iwe laki4 kwa mwezi!
Madaraja ya Kigamboni??Ila MWALIMU Huyo anapanda madaraja kwa Kasi kulinganisha na Askari formIv,
Wewe ni askari wa kikosi chochote?? Usipende ubishi wa vitu usivyo na uelewa navyo!! Easy, mtafute askari alo karibu yako muulize, hii ni kweli? Afu njoo ufute comment yakoAcha Uongo, laki5 ni salary ya Sajenti,
Hizo Posho ulizozitaja ni Uongo, Posho iliyopo ni hiyo laki3 tu, hizo nyingine hamna acheni kudanganyana
Chukua Askari formIv (Mambo ya ndani) na MWALIMU wa degree walioanza kazi 2010, linganisha kipato Chao, utakuta MWALIMU wa degree analipwa 1.5m, wakati Askari ndio kwanza ni Koplo means amepanda Cheo KimojaMadaraja ya Kigamboni??
Teach as you earn! Hio ndio principle kwa taarifa yako. Unadhani wanafundisha kama inavyopaswa. Wengine wanawapa daftari waandike notes kisha wanaenda ofisini kupiga soga.Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?
HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650
Source
Tanzania (MISHAHARA) Salary Scale Range 2022/2023 | Check Here
Latest Education and Ajira Portal: Cheki Nafasi za Kazi 2025, Ajira Mpya Tanzania, Interview Tips, Scholarships, NECTA Past Papers, MATOKEO, SELECTIONwww.ajiraleo.com
-Mimi sio Askari ila Mimi ni CPA(T)Wewe ni askari wa kikosi chochote?? Usipende ubishi wa vitu usivyo na uelewa navyo!! Easy, mtafute askari alo karibu yako muulize, hii ni kweli? Afu njoo ufute comment yako
Balensiaga, yaani mtu mwenye degree anafanya kazi miaka 13 bado ana mshahara wa 1.5M unaona ni maajabu??Chukua Askari formIv (Mambo ya ndani) na MWALIMU wa degree walioanza kazi 2010, linganisha kipato Chao, utakuta MWALIMU wa degree analipwa 1.5m, wakati Askari ndio kwanza ni Koplo means amepanda Cheo Kimoja
Mnakimbia kusema ukweli ndio tatizo hiliUnakoelea ndugu Malaria utafungua chuo cha magaidi ndugu yetu!! Punguza unaa kwenye dini. Mbona ndugu yako katika imani Faiza Four 10 kabadilika??
Wewe ni Muslim kwa sababu ulizaliwa na waislam tu basi
Anataka watoto wake wawe jasiri kama masai wakaue Simba.We una ujasiri ktk nini. Na hao wakenya wana ujasiri wa kufanya nini. Acha sifa za kijinga
Hahahahaha!! Mi naongea nina uwezo wa kuona kila mshahara wa mtumishi ukinibishia nakuona mwehu! Sajenti wa Magereza ana 645,000 basic salary ,100,000 vinywaji,pango 95,000,ration allowance 300,000/,Bima bure hachangii, hardiship allowance 95,000,maji na umeme soon wanaanza kulipwa keshi,Ujuzi 95,000 kama anaoAcha Uongo, laki5 ni salary ya Sajenti,
Hizo Posho ulizozitaja ni Uongo, Posho iliyopo ni hiyo laki3 tu, hizo nyingine hamna acheni kudanganyana
Ukweli gani?? Umetumwa na waziri wa elimu na Tamisemi ututoe kwenye reli?? LIPENI WALIMU TEACHING ALLOWANCEMnakimbia kusema ukweli ndio tatizo hili