DOKEZO Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

DOKEZO Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni sawa na kulipwa chips kavu, mshikaki mmoja na mirinda nyeusi ya bariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiidi
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.

Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.

Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=

Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.

Hawa walimu si juzijuzi tu walimchangia mama fomu ya uraisi! Wamewaona Wana pesa za kutosha hivyo hawana "ulazima" wa kuwalipa posho stahiki. Wakazane zaidi kusifu na kumwabudu mama labda posho wataongezewa.
 
Wale watu walikua wanatia huruma
Umenikumbusha Kuna siku kulikuwa na off kazini ya dharula hivo tukaenda kusaini tukarud mara tukaanza kupigiwa kuwa kwakuwa ni off ya ghafla na ni sikuya kazi Kuna mkutano wa CCM tuende huko 😃😃

Nikamwambia mm ni Chadema nikalala zangu 😂😂😂😂
 
Umenikumbusha Kuna siku kulikuwa na off kazini ya dharula hivo tukaenda kusaini tukarud mara tukaanza kupigiwa kuwa kwakuwa ni off ya ghafla na ni sikuya kazi Kuna mkutano wa CCM tuende huko 😃😃

Nikamwambia mm ni Chadema nikalala zangu 😂😂😂😂
Ngoja ukutane na boss kichaaa mpenda sifa mbona utaenda na utavaaa dera la kijani na njano
 
Kuna semina ilikuwaa ni elf 70 Kwa siku na Ilikuwa siku 6 ilisimamiwa na wizara na watoaji semina walitoka Baraza haikupita halmashauri ndio unafuu kidogo sijasikia Tena 😃😃😃
Basi hiyo seminar mlilipwa kama Perdiem, ambayo Kwa viwango vipya ingekuwa ni shilingi 80,000 hadi 250,000 kulingana na ngazi ya mshahara na Mji mnapofanyia kikao

By the way, hongereni.

Sisi Wakulima kupata hizo Posho ni hadi tuuze mazao yetu Kwa Wadosi 🤗
 
Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.

Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.

Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=

Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.

Mkoa flani pembezoni mwa nchi walipewa semina siku mbili kwa malipo ya jumla ya tsh9000/= nasikia hawakuani. Ni aibu sana kwa serikari!
 
Aisee kaka yangu aligoma kabisa kwenda butimba kusomea ualimu na hapo ni miaka ya 90 akasema ualimu sitaki akazamia zanzibar sasa hivi ana maisha baaab kubwa waalimu walioenda kusoma mwenye maendeleo sana ana pikipiki hadi huruma!!
 
Hii ni dharau ya hali ya juu.

Waalimu wana chama chao cha CWT na nadhani watakuwa wanakatwa makato kila mshahara.

Unfortunately CWT ni tawi la CCM. Ni mbwa koko na tawi la upigaji tu wala hawana muda na hao waalimu.
 
Kwa jinsi mfumo wa Kleptokrasia ulivyojikita katika kila sekta, yawezekana kumetolewa kiasi cha kutosha na kimepigwa tayari.
Nilikuwa sijui jina ka huu mfumo. Lakini kwa TZ hii, nahisi anayepata hela inayostahili labda ni rais tu. Kupunguziana pesa ndio habari ya mjini. Kiongozi akupe heka yote kabisa bili kuminywa ni hakuna tu!
 
Training ya 75k kwa siku labda ifanyike ofisini kwetu muda wa kazi ndio nauhuduria kikamilifu.

Kama nje ya kituo lazima nilipwe full perdiem.

Elfu 3 bora nikose ujuzi.
Hta sisi walituita Training tukiwa off wakisema watatulipa 115,000/ per day tuligoma tukawaambia hiyo iwe posho tu na tulipwe overtime kulingana na basc saraly zetu wakakubali...Na hapo msosi wa maana juu yao usafiri wa kwenda na kurudi kama kawaida na mwisho saa10 tu.Huwa nawaonea huruma sana waaalimu nykati kama hizi lakini kwenye uchaguzi wanabadrika sana kisa kapewa 50k tu wanasaidiana kuiba kura.

Waalimu wanamchngo mkubwa sana wa kuzorotesha maendeleo ya nchi kwa ujumla!! wakipewa yale mashati ya uchaguzi wanavaa hadi kanisani
 
Back
Top Bottom