Msambichaka Mkinga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 1,649
- 2,911
Watu wengi wenye akili kidogo huongea kwa sauti kubwa.Huyu jamaa hivi hawezagi kuongea bila kupayuka kwa sauti maana nimepunguza lkn bado iko juu anyways labda kwa kufanya hivyo ndio kumemfikisha hapo alipo
Huyu jamaa ni wa hovyo kiasi ambacho hastahili kabisa kutumia hilo jina la Baba wa taifa.!Huyu jamaa hivi hawezagi kuongea bila kupayuka kwa sauti maana nimepunguza lkn bado iko juu anyways labda kwa kufanya hivyo ndio kumemfikisha hapo alipo
Niliwahi kusikia jamaa anaipondea elimu na watu waliosoma sana eti hawana umaarufu kama wake.Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.
Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.
Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?
View attachment 2347775
Ahahahahahah! Walitengeneza uongo uliojitenga na ukweliWao walisema, utafiti unaonyesha Watanzania waliowengi wamefurahishwa na Tozo, sasa kwa nini tena wanahangaika?
Kwahiyo inaonesha Data zilipikwa?
Mbona Mwigu boy ana Sauti ya kawaida? Kwa Nappee umepatiaWatu wengi wenye akili kidogo huongea kwa sauti kubwa.
AiseeKuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.
Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.
Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?
View attachment 2347775
Tozo haihitaji kupigwa debe bali inajipigia..Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.
Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.
Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?
View attachment 2347775
You're arguing with a wrong person! Hold on a bit! Tafuta wa size YakoTozo haihitaji kupigwa debe,
Tozo haihitaji kupigwa debe bali inajipigia..
Waliposema imejenga zaidi ya vituo vya afya 234 mkaanza kuhoji viko wapi? Mkawekewa Orodha vilipo sasa baada ya kuaibika mumeanza kitafuta excuses za kijinga..
Tozo zinaonekqna zenyewe kwenye afya,elimu,maji na barabara za Tarura Wala haihitaji kupigiwa debe.
Ujumbe umekufikia baada ya aibuYou're arguing with a wrong person! Hold on a bit! Tafuta wa size Yako
Pumbavu kweli, okay unataka nikujibu? Okay, kama TOZO inajipigia debe yenyewe, so aliyemtuma Steve ni Nani? Usiwe mjinga kiasi jicho.Ujumbe umekufikia baada ya aibu
Nenda pale Makuburi Ubungo External, si kile ni Kituo kimojawapo mlichokiorodhesha? Nenda kaangalie kama ni Kituo au ni majengo Tena ndio kwanza Yako kwenye finishing, nyie mmelist kama kituo Cha AFYA. Wacha niishie hapaTozo haihitaji kupigwa debe,
Tozo haihitaji kupigwa debe bali inajipigia..
Waliposema imejenga zaidi ya vituo vya afya 234 mkaanza kuhoji viko wapi? Mkawekewa Orodha vilipo sasa baada ya kuaibika mumeanza kitafuta excuses za kijinga..
Tozo zinaonekqna zenyewe kwenye afya,elimu,maji na barabara za Tarura Wala haihitaji kupigiwa debe.
Sasa sio kituo? Kwani nani kakuambia vituo vyote vimekamilika? Unajua idadi ya majengo yanayohitajika kwenye kituo Cha afya?Nenda pale Makuburi Ubungo External, si kile ni Kituo kimojawapo mlichokiorodhesha? Nenda kaangalie kama ni Kituo au ni majengo Tena ndio kwanza Yako kwenye finishing, nyie mmelist kama kituo Cha AFYA. Wacha niishie hapa
Acha ujinga basi, soma mmepost Nini? Ina maana kabla ya Hapo hakukua na vituo vya Afya? Je hakuna source nyingine Hadi TOZO? NDIO mwisho wa creativity ya kupata fund za ujenzi? Usijitie ujuaji, vituo vilikua vinajengwa miaka yote, nothing newSasa sio kituo? Kwani nani kakuambia vituo vyote vimekamilika? Unajua idadi ya majengo yanayohitajika kwenye kituo Cha afya?
Swala ujenzi unafanyika au haufanyiki? Pili ni kituo kipya au cha Zamani?
Mwisho mwaka huu huu maelfu ya Vijana wanaenda kupata Kazi kwenye hivyo hivyo vituo..
Ndio maana kwenye bajeti ya mwaka huu wanamalizia vituo vya afya na kuleta vifaa tiba na wataalamu vinaaza Kazi..
Mwaka ujao ujenzi unaanza tena wa vingine hadi vyote 570 vikamilike by 2025..
Unazungumzia ujenzi? Umesahau ulichopost hapo juu? Hey bring back your brain 🧠Swala ujenzi unafanyika au haufanyiki? Pili ni kituo kipya au cha Zamani?
Umemfikia KWa aibu ipi? Mnajificha kwenye kichaka kwamba tozo zimejenga vituo vya afya ,sijui zahanati ,sijui shule , mwafikili watanzania wajinga , leteni data hapaUjumbe umekufikia baada ya aibu