Waliofariki ajali Morogoro wapo Wanandoa

Waliofariki ajali Morogoro wapo Wanandoa

120 kwa public transport? Hebu nitajie hata nchi za dunia ya kwanza zinazoruhusu huo ujinga. Au umeandika kuonesha nawewe umo
Relax mkuu,hii ni debate na hayo ni mawazo yake, na pia elewa nchi yetu haina max speed limit kwenye freeways zetu,tuna vibao vya 50km,means usizidi hapo na kuna 50km vyenye misitari inamaanisha unaweza kwenda 300km/hr!!!!,hii ni craze country, nenda Zambia kila sehemu wana speed limits, hivyo hivyo Botswana ambao wana mpaka 120, ila buses, heavy vehicles mwisho 80km/h,tunahitaji honest traffic officer's wawepo barabarani,sio wala rushwa
 
Relax mkuu,hii ni debate na hayo ni mawazo yake, na pia elewa nchi yetu haina max speed limit kwenye freeways zetu,tuna vibao vya 50km,means usizidi hapo na kuna 50km vyenye misitari inamaanisha unaweza kwenda 300km/hr!!!!,hii ni craze country, nenda Zambia kila sehemu wana speed limits, hivyo hivyo Botswana ambao wana mpaka 120, ila buses, heavy vehicles mwisho 80km/h,tunahitaji honest traffic officer's wawepo barabarani,sio wala rushwa
Na teknolojia yote hii bado unahitaji maafisa masurufu wanaowaza kupata pesa za dhuluma barabarani?
 
Mkuu umeitendea haki uzi huu,yes Speed kills ILA Kuna sababu nyingi ambazo zinachangia ajali kuliko Speed pekee, iyovi ile pass barabara ni finyu, kona nyingi na Kuna ushenzi wa matuta mengi tu, namba 3 hapo juu ni muhimu, ni LAZIMA kwanza utambue fast na slow corners, breaking point ya kila corner (usiingie kwenye corner na heavy break, uta loose control ya gari),iyovi pass ipanuliwe,ondoa uchafu wa matuta yote, weka alama kubwa na zinazoonekana, all heavy vehicles kuanzia saa 2200hrs ziwe parked
Asilimia kubwa ya ajali za Tanzania ni uzembe wa madereva na wengi kutojua sheria. Haya mengine ni kweli yanachangia sana...... lakini uzembe ni chanzo kikuu.
 
mmmmm mkuu utakua haupo fair,hii IT imeanzia Dar!,je ni rocket science kujua hao abiria walipandia wapi?,check points ngapi imepitia hadi iyovi pass?,hii IT imepita hadi ile check point matata sana pale sanga sanga!,binafsi yangu kwenye T1, check point ile ni matata sana, na sasa kimezuka kingine pale ipogolo ukishalipita tu lile daraja!
Mkuu unajua umbali uliopo kati ya check point ya Mikumi na Iyovi gari lilipopatia ajali?
 
Matatizo yote ni sisi wenyewe tunachangia,Serikali iruhusu mabasi kusafiri muda wowote-kuepusha watu kitumia usafiri bimafsi na IT cars-zinazomaliza watu.
 
Kwa barabara za TZ kukwepa ajali Ni 40%
1. Barabara finyu (head on collision) Ni sekunde tu.
2. Ubovu wa vyombo wa usafiri.
3. Madereva wasio na uzoefu wa kuendesha muda mrefu.
4. Alama za barabarani hazionekani ama zimeondolewa makusudi (wizi) bila mamlaka kurudishia.
5. Huduma finyu za uokoaji (barabara kuu na hospitali) unaweza kuwa majeruhi, ukafia hospitali kwa kukosa huduma ya dharura au ukapata huduma hafifu ukafia nyumbani kutokana na athari za ajali na huduma za ovyo ulizopata hospitalini
NB: kuishi TZ chances ya kufa kwa ajali au uzbe hospitalini Ni 90%
Taarifa ya polisi inasemaje kuhusu chanzo cha ajali?

Ni barabara finyu?
Ni ubovu wa gari?
Ni dereva kukosa uzoefu?
Ni alama za barabarani hazionekani au hazipo?
Ni ukosefu wa huduma za uokoaji?

Ifike mahali tukubali uzembe wetu ni mkubwa tunapotumia barabara hasa tunapojifanya tuna haraka.
 
Hizo IT haziruhusiwi kupakia abiria. Ila watu kujidai Wana haraka haya ndio matokeo yake.
Ujue tunapanda sababu ya dharura. Ila shughuli yake si ya kitoto.

Kuanzia pale Oilcom Polisi wanabana sana, ukivuka Ruvu tu huko pote ni mwendo wa 2000 kila checkpoint.

Polisi waamue weka ngumu wataacha kubeba.

Kuna siku jamaa Iyovi anakimbiza 140 abiria wengine hawaongei kitu ikabidi niongee ndo spidi ikapunguzwa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom