Waliomlazimisha Samia Suluhu kuwa Makamu na hatimaye Rais, walifanya makosa sana

Wasio na mshahara wana sehemu tofauti za kununua mahitaji yao tofauti na wenye mishahara? Nadhani kuzuia inflation isiongezeke ndiyo sahihi zaidi kuliko kuongezea watu fulani mshahara..
Hayo ni maoni yako, na yale ni maoni yangu.
Inflation haijazidi wala kufika 23.3% ya mshahara iliyoongezwa na Samia Suluhu Hassan kiasi kwamba ifanye ongezeko la mshahara huo lisiwe na thamani
 
Kwa hiyo wakilala hadi saa nane ndio uibe kura halafu useme kiongozi aliyepatikana ni mapenzi ya Mungu..! mshahara wenu upo, wakati huo ndio utatia akili kichwani, sasa hivi akili haipo kichwani ipo kwenye tumbo.
Kilio kama hiki wamelia watu mpaka wakaondoka duniani huwa hakisaidii chochote kama hauamki na kuwa mstari wa mbele kubadilisha maisha yako.

SSH yupo Oman anatafuta wawekezaji, watakuja na kutajirika wakituacha tukizeeka na malalamiko yetu yasiyo na kichwa wala miguu.
 
Hayo ni maoni yako, na yale ni maoni yangu.
Inflation haijazidi wala kufika 23.3% ya mshahara iliyoongezwa na Samia Suluhu Hassan kiasi kwamba ifanye ongezeko la mshahara huo lisiwe na thamani
Ni vyema kwa kiongozi kutenda yale yanayoleta nafuu kwa watu wote..akidhibiti ongezeko la bei linagusa watu wote kuliko kuongeza mshahara kwa kundi fulani uamuzi unaosababisha ugumu zaidi wa maisha kwa wale wasio na mshahara..kiongozi haamui vile tu anataka kukufurahisha wewe ili uje kumsifia hapa.
 
Anafanya biashara ya wanyama kama kawaida
 
Hakuna kilio hapa, huu ndio ujumbe unapaswa kuusikia kila siku..hakuna mahali maskini wa fikra alitawala milele, ni suala la muda tu.
 
Hakuna kilio hapa, huu ndio ujumbe unapaswa kuusikia kila siku..hakuna mahali maskini wa fikra alitawala milele, ni suala la muda tu.
Wewe tajiri wa fikra utapotea tu kama upepo wa bahari unavyovuma, nii suala la muda pia.
 
Una uhakika kulikuwepo kulazimisha? Ina maana kuna ushahidi alikataa cheo na akalazimishwa?
 
Watu wana chuki binafsi tu na mama huo ndiyo ukweli , ukiwaambia walete hoja wote mitini
 
Ulitakiwa kuainisha mapungufu yake ili tujiridhishe badala ya kuandika maneno ya wivu.
 
Kwa hiyo kosa ni la nan? Maana wakati ni makamu wa Rais hakuna aliyemlonda ukiwamo wewe
 
Hakika
 
Hata mwenda... hakua na sifa wala uwezo wa kua rais sema timu Lowasa ndio walimuweka kwa hasira ya kukatwa mtu wao, matokeo yake badala ya kutuletea rais bora wakatuletea takataka ituongoze
Babako ndio alikuwa na sifa?
 
Wewe tajiri wa fikra utapotea tu kama upepo wa bahari unavyovuma, nii suala la muda pia.
Hakuna binadamu ameumbwa afurahie umaskini unaotokana na uduni wa kufikiri kama wako..ndio maana nakupa hii taarifa unachokifurahia hakitadumu..mgonjwa wa akili ndiye anaweza tetea kiwango cha kufikiri duni kama hiki..wote tungefikiri kama wewe na kuridhika na uduni sidhani leo hii ungekuwa umevaa nguo ulizovaa, binadamu bila kujali muda tunahitaji vitu bora zaidi..
 
Wewe mzima wa akili mbona unalialia tu humu JF?. Mbona hakuna cha maana unachofanya kubadilisha hali yako ya sasa ili iwe nzuri?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…