Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Hapo umenena nimekuelewa.Huyo Samia mwenyewe ni muumini wa wizi wa kura, na anategemea wizi wa kura ili kurudi ikulu 2025.
Ndiyo maana wajuvi wa mambo tunamhurumia na tunaona amewaondoa mabingwa wa wizi ambao wangemsaidia.
Kwa kura halali Samia anaweza kubwagwa hata na Hashimu Rungwe.
Kwani wana nini; misiwakuze kuliko stahiki zao.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
hakuna kitu kama hicho, alichofanya Nape alikuwa anaenda kusababisha fujo hapa nchini kwa ile kauli yake, majira haya ni ya uchaguzi afu mtu anakuja na kauli kama ile na hapo kenya vijana walichachamaa unafikiri vijana wa Gen Tz nao wakichoka hawawezi kufanya kama ya kenya? imagine mnaenda kupiga kura na ccm walio madarakani wamewaahidi kuwaibia nani hataenda mtaani?Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nape hajatumbuliwa kwasabb ya kauli yake, Kuna sababu nyingine tofauti kabisa. Kama ingelikuwa ni kauli yake, je, Makamba kasema nini?hakuna kitu kama hicho, alichofanya Nape alikuwa anaenda kusababisha fujo hapa nchini kwa ile kauli yake,
Tuanze na wewe, je utampa kura yako mwaka 2025?Rais Samia
Nape kafanya vizuri kwenye mawasiliano labda ni kwa vile unapersonal hatrate.Kati ya Mawaziri wa hovyo Makamba, Nape & Mwigulu labda na yule wa mipango wanaweza kushika nafasi ya kwanza.
Hata nikiwa kaburini siwezi kumpa kura kilaza huyu.Tuanze na wewe, je utampa kura yako mwaka 2025?
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nimekaa pale! Samia akitoboa 2025 niite huhuhuu!Hakuna atakayekaa pembeni halafu akasababisha mambo yasimame. Tanzania ina watu mil 60. Ina maana bila wao tutakwama? Akili za kitoto kabisa 😂 😂 😂 😂
Endeleeni kujidanganya tu
Nimekaa pale! Samia akitoboa 2025 niite huhuhuu!
Huyu jiwe ndiyo usimtaje kabisa, alikuwa mpumbavu, mshamba, mjinga na limbukeni. Bora amekufa.Tulimsema JPM kama hajui alichokuwa anafanya
Bora tutulie kwanzahaina jinsi wale ndio wezi wenyewe wa kura wataitwa tuu. ccm ndio ileile.
Bado una maumivu makaliNimekaa pale! Samia akitoboa 2025 niite huhuhuu!
Hongera zako "kwa huo moyo wako wa shukrani..."Mkuu, mimi nina moyo wa shukrani na kuthamini kinachofanyika kwa nia njema hata kama ni kidogo.
Kweli, yapo mengi yanayohitajika kufanyiwa marekebisho au hata kufumuliwa upya lakini kuna ubaya gani kupongeza jitihada? Yani kwa sababu kaharibu mengi basi akifanya mema hata kwa uchache asipongezwe?
Hizi pongezi huenda zikamtia moyo wa kufanya makubwa zaidi. Kama tunavyomkosoa akiteleza tumpongeze akifanya vyema pia.
Naam, anastahili pongezi katika hili.
Nilisema hapo juu, hata katika maumivu, kila mtu huhisi maumivu hao kivyake; na hata unapotumia 'panadol' kutuliza maumivu hayo; panadol hiyo hiyo inaweza isikidhi maumivu anayo hisi mwingine.Hizi pongezi huenda zikamtia moyo wa kufanya makubwa zaidi. Kama tunavyomkosoa akiteleza tumpongeze akifanya vyema pia.
Haaaaa wanafikiri hii inchi ni getto lao!! Huenda mtoa hii post ni mionhoni mwao au chawa wao..... Yaani bila wao nchi haienda au chama hakisongi?!!!Mawazo ya 'Kipuuzi' kama haya ndio huwa yanafanya January Makamba na Bumunda Nauye wahisi wanastahili kila kitu kwenye hii nchi. Shenzi sana
Upo sawa kichwani???Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kwa sababu wajuzi wa kuiba kura kawaondoa nini!Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Umenena Vema, waende hata CHADEMA tu hapo karibu, maana TLP mbali sana.Umeambiwa hivi wahamie TLP tuone kama hizo mbinu zao zitafanya kazi.