Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

Siyo mke wa Mkurya,itakuwa ni binti wa Mkurya ndo chanzo. Kuna maeneo ya kuruka utakavyo pindi upendo kujifanya kijogoo lkn siyo TARIME.
 
Mbeya kuna kipindi zilikua zinatembea Nondo tu na mapanga.
Sa tatu lazima mjifungie?
Likizo niko huko nikaleta zarau Nikaenda kula ubwii kagrosari jirani e bana wale wauaji hawa hapa sa tatu.
Walinikosakosa ila tulitimuana sana hapo.
Hawajui hata niliwaachaje, nikarudi home mzima
 
[emoji1787]
 
Havoc.....
 
[emoji1787][emoji1787]
 
Mimi ni mhanga wa matukio hayo....

Kwa kuonewa tu.....

Kipindi nimemaliza chuo kikuu sina ramani nikawa ninazunguka na mkokoteni ninanunua "scrappers"....

Kama kawaida ya shughuli hizo unavaa "kikazikazi"...makwapa wazi n.k....(jamaa kumbe nilikuja kujua aliibiwa vitu vyake na mtu mrefu anayefanana nami)[emoji1787]

Siku moja ya mapumziko napita mtaani maeneo ya Kivule nikiwa sina KOKOTENI wala nini nilishtukia napigwa KWANJA la mgongo na kichwani baada ya kumpita na kumsalimia tena kwa bashasha huyo mwamba "45years" hivi....ni mwanajeshi yuko kambi moja huko Mbagala.....

Jamaa ni Mkurya na huwa anaonea watu sana mitaani....ana matukio mengi ya hivyo....niligeuka nikamuuliza kosa langu....jamaa akaniambia nikae chini.....

Nikamuambia siwezi kukaa chini....nilighadhibika yaani MSOMI ninayejitambua ninayebangaiza maisha napigwa tu kwa kuwa ni LOFA....namshukuru Mungu toka utoto nimeishi katika mazoezi ya sanaa "zetu zile"....kilichotokea ni historia.....nilikanda ile mikando iitwayo "KIBAMVUA"....tulipotenganishwa mjeshi hoi akawa anasema atanitafuta na kikosi cha Jeshi nikamuambia awalete halafu nione kama HATONISAHAU NA FAMILIA YAKE(amejenga na anaishi mtaani).....

Siku hizi akiniona ananiita mdogo wake kwa heshima[emoji1787]....ameniachia alama naye nimemuachia za kutosha za kwenda nazo kaburini.....

Ushamba, ushamba, ushamba tu wa baadhi ya watu....

#YetzerHatov[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…