Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Ila nchi ina wanafiki sana, yan watu waliocomment huu uzi ni wengi kuliko waliofika kwenye maandamo 😂😂😂😂 wakati jana watu wote wanasema tunaenda, hakuna cha viongozi sijui kina Maria na wenzake, kusema kweli

Mimi binafsi siafiki kufanya maandamano kiholela holela, kama unapinga mkataba nenda mahakamani, ukatafute point nzuri ushinde, tukichekea maandamano tutavunja amani kizembe sanaa
Tusiporuhusu watu kuandamana kwa amani ndio tutavunja amani kwa kuwaaminisha kuwa njia pekee ni maandamano ya fujo. Tunaua nzi kwa risasi.

Amandla...
 
Vijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.

Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari wamekamatwa eneo la Mnazi Moja.


========

WALIOANDAMANA WAISHIA MIKONONI MWA POLISI

Taarifa za awali zinaeleza kuwa vijana waliokuwa wameandamana kupinga Mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Mmoja kuelekea Ikulu ya Magogoni Dar es salaam wamekamatwa na Jeshi la PolisiTaarifa zaidi zitawajia endelea kutufatilia

View attachment 2662138
we ulitegemea nini, tena waminywe pumbu km ni me vya kutosha, wapumbavu kabisa wamelipwa na mafisadi ya mwendazake. Wengine pale ni wezi wanatafuta namna ya kutekeleza nia yao
 
Hatuna haki ya kikatiba ya kufanya maanadamano hiyo ndy tafasir ya nguv kubwa iliyoonekan kwa jeshi la polis kuzuia maandamano ila ipo siku tutaelewana tu
 
Tukiondoa uoga, kujipendekeza na unafiki,tunaweza kuionesha serikali kuwa Tanzania hii siyo ile ya Nyerere.

Hii ni Tanzania iliyochangamka, ni Tanzania inayojua nini inahitaji.

Cha msingi ni kuwa na umoja,
(Unit is power) na dhamira ya kweli.

Nguvu ya umma ni zaidi ya risasi na mabomu.
jitokeze wewe, kunguru wa pemba
 
Back
Top Bottom