Waliosambaza taarifa potofu dhidi ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango kukiona cha mtema kuni. Waziri Nape atoa maelekezo

Naombeni muweke picha 2 za Nape hapa:-
1. Akiwa anaenda kumuomba radhi jiwe baada ya sauti yake kunaswa.
2. Jamaa aliyetumwa na Makonda makalio makubwa akichomoa bastola kutaka kumtoa utumbo Nape
 
Naombeni muweke picha 2 za Nape hapa:-
1. Akiwa anaenda kumuomba radhi jiwe baada ya sauti yake kunaswa.
2. Jamaa aliyetumwa na Makonda makalio makubwa akichomoa bastola kutaka kumtoa utumbo Nape
2. Jamaa kutoka ktk Genge la "Watu wasiojulikana" akifanya yake.
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa kweli siyo vizuri kuzusha uwongo kuhusu mtu fulani. Kama hakuna taarifa kanuni inayotumika ni ku'suspend' judgement. Kwa upande mwingine, kutotoa taarifa kuhusu jambo fulani ambalo watu wako entitled kujua husababisha baadhi ya watu waanze ku'speculate' kwa sababu the human mind "desires to know".
 
Serikali kushindwa wajibu wake wa uwazi na kutoa taarifa ya viongozi,sasa inataka kufanya "drama"!"eti kumshughulikia aliyezusha maneno.

Naona jamii imeiwajibisha Serikali kutoa taarifa,na ndio maana wamejipanga na kufanya mzushiwaji atoke hadharani.
 
Kuna siku naye atalalal jela, it is a matter of time! Huyu kinde wa Div 0, zake zinahesabika. Watu walikuwa wanahoji yuko wapi? Is that a crime?
 
Div 0 eti ni waziri? yakafue vypi kwa mama huko.

 
Walioba mabilioni kwenye vipuri vya ndege mnawapa keki
 
Huku bosi wake rais Samia anasema tuwe jasiri kuhoji!
 
Wewe ndiye baba wa familia ukipotea bila kuiaga familia tunayohaki ya kusema umeikimbia familia au huenda umetekwa na nyumba ndogo.
 
Nape atawaweza watoto wa mjini kina Kigogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…