GREAT INVESTOR
Senior Member
- Nov 13, 2018
- 128
- 297
Nahisi wamemloga jamaa asee, niko tayar kumpa mtu hata m5 akiniambia jamaa yuko wap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NaamNdio yule wa Dodoma?
Aulizwe Bashite.Kuna jamaa alipotea alikua na mke na watoto...
Mpaka leo hajulikani alipo 20 years aisee...ndugu wamehangaika kila mahali
Hivi karibuni anakuja Mungu saidia June tu hapo 🤰🤱Asante zimefika
fanya fanya basi nipate aunt na mimi
Niliiona kwenye taarifa ya habari, mama yake nilimuonea huruma sana. Alikuwa ametokea mtera nahisiNaam
Hivi kumbe mchumba ni analyse 🤣🤣🤣🤣 nimecheka sanamchumba soma hii😂
Mbaya mno unausikia kabisa utumbo unavyoruka ruka, akili haiezi kuwa sawa sasa ukiwaza mama/ndg wa hao waliopotea jumla walipitia hali ganiPole sana, niliwah kupitia changamoto hii kama masaa 4 hivi.... Huwa sipendi kukumbuka, ukichaa niliuona live ni mbaya sana ndugu au mtoto kupotea ghafla. Poleni sana mliwahi au mnaopitia changamoto hii.
Hata bila ujobless watakuandama tu, wakiona kuna Jambo linakufungukia waanze chokochoko, wapo sahihi kupotea ila akamuone mama yake then apoteeNdugu huwa na maneno sana hasa unapokuwa jobless huwa wanaongea maneno mengi sana ya kukudharau na sometimes wazazi nao wanasapoti huo ujinga. Ndyo maana raia kama DALALI MKUU wanaamua kujilipua na kuwapotezea mazima.
Safi sana aunt tunae na wife tunae bado ndoa😃😃😃Hivi karibuni anakuja Mungu saidia June tu hapo 🤰🤱
Hilo ni mwa majibu tulibaki nayo kichwani ingawa hatukuproveMAMBA
Hahahaaa, nilikuwa na doubt wakati na mention mwaka, nilijua wahusika mpo humu mtanisahihisha. Ahsante mkuu kwa kunyoosha historia.Bila shaka we ni Nsumba boy. Kama ni hivyo basi ulikuwa form 3 maana kipindi hicho hapakuwa na form 2. Tukio la Nsumba lilikuwa 2010 siku ya uchaguzi mkuu
Inasikitisha Sana alikuwa mtu Mmoja mpole Sana hatukujua kama ni polisi mpaka siku alilipopotea baada ya askari wenzake kuja na kubomoa kwake na kukuta sale za polisiNiliiona kwenye taarifa ya habari, mama yake nilimuonea huruma sana. Alikuwa ametokea mtera nahisi
Ooh! So sadBraza alipotelewa na mtoto, wa kiume akiwa na 5 years. Mpaka leo ni zaid ya 17 years hajawah patikana wala kujulikana alipo
Kaushaaa kijana 😅😅😅😅Hivi kumbe mchumba ni analyse 🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana
Haka ka Demi katakua ni ka last born nako 😄😄Heeee Demi!!! Serious??? Yani watu baki ndo wakupoteze?? Nlidhani ndugu...
Ni nani sasa???
Sawa, nipo kuhesabu siku. July sio mbali 😎😎Hilo lishapita😂