Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Clubhouse
Okay lazima wawachukie waafrika kwa sababu waafrika wakiendaga US huwaga wanakichafua kinoma noma .. Kwanza wanasoma sana na wanazitumia fursa vizuri. Vyuo vingi vya Marekani wanafunzi kutoka Africa ndio wanafanya vizuri. Hawa wanugu shule hawataki kazi hawataki halafu mwisho wa siku wanaanza kuwalaumu immigrants
 
Rejea message yangu ya kwanza,Kuna sehemu nimesifia mmrekani?nimekushauri kujikita kwenye matatizo ya nchi yako kuliko kuparamia wenzio wenye social services za kueleweka......sijaelewa kilichokupanikisha hapo Nini tumia hiyo Exposure uliyonayo vizuri
Hata huko marekani social services ni mbovu tu kama huku Tanzania.
No kwavile tu hayasemwi ya kwao
 
Bila hao African American kufanya revolution,sisi wengine tusingekanyaga Huko America so ni jasho na damu zao , Marcus Garvey,Martin Luther,Malcom X etc Hilo ajue
What about Uk Germany Sweden Denmanrk Finland China etc ? Nani alifanya struggle ili wewe mwafrika uende?
Hii hoja huwaga haina mashiko
 
Yaani nchi yako inapumulia mashine uko busy na Marekani are you serious?Shule zako tu zile unazisifiaga hazina vitabu Wala walimu unashindana wamarekani...maajabu!
Nyie mafisi ya kijani ccm ndio mmesababisha hayo yote.
 
Wa tofauti nakuona wewe,At 21century bado unawaita black American ni illegal migrant?hivi unajua walichopitia Hadi kuwa hapo walipo?hutaki kuwaheshimu wao at least heshimu hustle zao
ur very slow madam. Sidhani kama Uzi wangu umeuelewa aisee.
 
Okay lazima wawachukie waafrika kwa sababu waafrika wakiendaga US huwaga wanakichafua kinoma noma .. Kwanza wanasoma sana na wanazitumia fursa vizuri. Vyuo vingi vya Marekani wanafunzi kutoka Africa ndio wanafanya vizuri. Hawa wanugu shule hawataki kazi hawataki halafu mwisho wa siku wanaanza kuwalaumu immigrant
What about Uk Germany Sweden Denmanrk Finland China etc ? Nani alifanya struggle ili wewe mwafrika

What about Uk Germany Sweden Denmanrk Finland China etc ? Nani alifanya struggle ili wewe mwafrika uende?
Hii hoja huwaga haina mashiko
Go and Read history vizuri wewe,Racism ya mzungu ilikuwa worldwide,Heshimu watu kama Martin Luther king ,acha kujiona Ujinga up wanamchango mkubwa sana juu ya heshima na kukubalika Duniani watu weusi,hao ndio champion mpka Akina Nelson Mandela wakaamka pia
 
At 21century bado unawaita black American ni illegal migrants?
Vipi kuhusu wayahudi wanao Itwa wahamiaji haramu Israel wakati babu zao wapo tangu enzi za king David miaka elfu 7 iliyopita?
 
Go and Read history vizuri wewe,Racism ya mzungu ilikuwa worldwide,Heshimu watu kama Martin Luther king ,acha kujiona Ujinga up wanamchango mkubwa sana juu ya heshima na kukubalika Duniani watu weusi,hao ndio champion mpka Akina Nelson Mandela wakaamka pia
Adhabu yako sintokujibu tena
 
Go and Read history vizuri wewe,Racism ya mzungu ilikuwa worldwide,Heshimu watu kama Martin Luther king ,acha kujiona Ujinga up wanamchango mkubwa sana juu ya heshima na kukubalika Duniani watu weusi,hao ndio champion mpka Akina Nelson Mandela wakaamka pia
Wanaleta ujuaji usio na sababu,,eti wao ndio wanaakili kuliko Malcolm x
 
Wanaleta ujuaji usio na sababu,,eti wao ndio wanaakili kuliko Malcolm x
Baba ako na Malcolm X nani ana akili kumshinda mwenzake?

Kama una amini Malcolm X ana akili kushinda baba ako basi there is no hope to your future.

Anyways kwa kukusaidia tu huyo Malcolm X anaweza kuwa maarufu kushinda baba ako lakini hiyo haimaanishi kwamba ana akili kuzidi baba ako.
 
Adhabu yako sintokujibu tena
Attitude/ mentality ya mtu mweusi American ndio tatizo wengi ni sababu ya past experiences, education kwao sio kipaumbele wengi wanajikita kwenye Sports/ Music - kasome Dr Ben Carson books like Gifted Hands au Think Big,......Eti 50 cent is avarage guy wewe ni brah brah mwenzio an brand World wide akifa jina lake litaishi wewe je? Umefanyia nini Tanzania na Elimu Yako? Bull shit tu
 
Back
Top Bottom