THEBADDEST
JF-Expert Member
- Dec 22, 2019
- 247
- 137
[emoji537]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abdool Kanisa ndilo lilimkamata?Si uwafungulie kesi wewe mahakamani maana serikali yenu na kanisa lake wameshindwa?
Kwanini aliwakataza Abdool?Endelea kumpinga Yesu
Mathayo 16: 20
Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu ye yote ya kwamba yeye ndiye Kristo.
Hali ya maisha kwa Wazanzibari weusi ilikuwaje?
Alikuwa waziri wa mambo ya ndani au waziri wa ulinzi?Kamuulize Lukuvi
Matthayo 16:15-20Weka wewe labda kiswahili kimeanza kukupiga chenga
Maswali hayajibiwi hivyo jombaPunguza ujinga mkuu
Matthayo 16:15-20
Akawaambia, Nanyi mwaninena mimi ni kuwa nani? 16 Simon Petro akajibu akasema, wewe ndiwe Kristo Mwana wa Mungu aliye hai. 17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simon Bar-Yona, kwa kuwa mwili na damu havikufunuliwa hili; bali Baba yangu aliye mbinguni. 18 Nami nakuambia, wewe ndiwe petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa lang; wala milango ya kuzimu haitalishinda. 19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni na lolote utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni 20 Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote ya kwamba yeye ndiye Kristo!
tuko pamoja Abdool?
Mbona Aya zinajieleza we abdool ubishi mwingine wakipuuzi.Sasa aliwaambia kitu gani hapo mwisho na wewe unafanya nini? Au kiswahili kinaanza kukupa shida?
Mbona Aya zinajieleza we abdool ubishi mwingine wakipuuzi.
Yesu alikuwa kwenye mission na hapa ilikuwa ndio kwanza inaanza aliwaambia vile ili kuficha identity.
.
ndio maana hata alivyokuwa akiponya watu alikuwa anawaambia wasimwambie mtu yeyote.
tumiaga akili sometime maabdool sijui mkoje mtume wenu akili alikuwa hana na nyie pia khaa
Nchi ya Sultan, Waarabu si walifurumishwa wale?Zanzibar ilikuwa inatambulika duniani kama nchi kabla babu zako hawajajua kuvaa nguo zitokanazo na pamba.
Cha muhimu ilikuwa nchi wakati wewe kwenu mlikuwa mnaishi kwenye mapangoNchi ya Sultan, Waarabu si walifurumishwa wale?
Una maanisha Rais wa Zanzibar anaweza kutangaza vita na nchi nyingine, bila ridhaa ya Rais mwenye Jamhuri yake?. JWTZ,Polisi,na uamiaji ni mambo ya Muungano.Hayo majeshi mengine ni kama mkurugenzi wa jiji,manispaa,au halmashauri anavyomiliki mgambo wake.Kuna mkuu wa mkoa anaitwa Rais na ana vikosi vyake vya ulinzi?
Una maanisha Rais wa Zanzibar anaweza kutangaza vita na nchi nyingine, bila ridhaa ya Rais mwenye Jamhuri yake?. JWTZ,Polisi,na uamiaji ni mambo ya Muungano.Hayo majeshi mengine ni kama mkurugenzi wa jiji,manispaa,au halmashauri anavyomiliki mgambo wake.
Hukumbuki Mapinduzi mliyofanya mwaka 1964 kuondoa Serikali ya Kiarabu? Mkawafurusha Wengine na Wengine mkawauaMwalabu gani alifurumishwa?