Kwani si umeambiwa kiingereza kitatumika kama somo. Halafu mkuu inaonekana wewe mind yako inakwambia Sasa hivi ni mwaka 1985. Yani bado unawaza tu kuhusu interview?Mimi nauliza na naombeni mnijibu, usahili wa ajira iwe sekta binafsi ama serikalini zinafanywa Kwa kutumia lugha ya malkia na tunaambiwa kwenye mtaala mpya kwenye shule za serikali lugha ya kingereza itakuwa kama somo na sio lugha ya kufundishia je wanawaandaa watoto wetu waje kuongea Nini kwenye sahili za kazi huko mbeleni?
Mzazi aHakuna watu walio athiriwa na mtaala Mpya wa Elimu Tanzania kama wamiliki wa shule za EMs .
Kwa sababu ya mtaala huo hata wale wazazi walio kuwa vichwa ngumu kuwatoa watoto Wao Ems kuwarejesha Kayumba Sasa wameanza kufanya hivyo Kwa kasi ya ajabu.
Jijini Dar es salaam pekee Kuna mafuriko ya wazazi kwenye shule za Kayumba wakiomba nafasi za kuwahamishia watoto Wao shule za Kayumba wakiwatoa Ems...
Ukitaka kuamini hilo fanya utafiti shule za Kayumba uliza walimu wakuu idadi ya watoto ambao wamepokelewa kutoka Ems kwenda Kayumba.
Classmate wangu ni mwalimu wa shule ya msingi wanayo soma wanangu anasema hadi Januari 10 kulikuwa na wanafunzi Zaidi ya mia wa madarasa tofauti tofauti ambao wameenda kuombewa nafasi za wazazi Wao. Na Teacher Big anawapiga laki laki kuwapa nafasi .
Mimi huwa namwambia mwanangu, wewe nenda shule kainjoi maisha, moments na kutengeneza connections na watu muhimu.Kwanza hakuna umuhimu wa elimu, sio English Medium wala kayumba wote kwa asilimia kubwa wanapoteza muda mwingi wa maisha yao kujifunza vitu ambavyo havina mchango wowote kwenye maisha yao bora watoto wangejivunza kilimo, ufugaji na ujasiriamali
Kuna mahali unaumia ukiona mtu anahangaika kusomesha EMs? Kama ndivyo, nini kinafanya uumie mtu mwingine kusomesha watoto anapojisikia?
Vipi wale wanaotumia $15m kupeleka watoto nje kusoma?
Hii Sio ideology ya mwafrika. Your problem is my problem.Mkuu, haya mambo ni very personal. Sijui kwa nini mnaumia.
π€£π€£π€£π€£Yupo private au Government?Mimi huwa namwambia mwanangu, wewe nenda shule kainjoi maisha, moments na kutengeneza connections na watu muhimu.
Kipindi unachotakiwa kuinjoi zaidi ni mapumziko.
Ukifeli ama kufaulu sitakujaji sana, ila hakikisha hujawa wa mwisho, atleast nyuma yako kuwe na watu kadhaa wanakufuata.
GAVOO!!!π€£π€£π€£π€£Yupo private au Government?
Unatumia elimu hyo hyo kufany critismKwanza hakuna umuhimu wa elimu, sio English Medium wala kayumba wote kwa asilimia kubwa wanapoteza muda mwingi wa maisha yao kujifunza vitu ambavyo havina mchango wowote kwenye maisha yao bora watoto wangejivunza kilimo, ufugaji na ujasiriamali
Swali zuri.Mtaala mpya unaathiri vipi hizo shule za EMs?
Hicho ni kisingizio cha watu waliofilisika kwasababu ukweli huwezi kupeleka mtoto shule ambayo Darasa wapo 200
Usiige kunya kwa Tembo utachanika msambaMpk nimuone mtoto wa mwigulu kaenda kayumba kutoka feza na mjukuu wa CHURA nae akitoka IST pamoja na wajukuu wa mkwele.
KAZI ni kipimo cha UTU
Swali zuri sana.Kwani EM na Kayumba wanatumia mitaala tofauti zaidi ya EM kutumia kiingereza tu kwenye masomo yote mbali na kiswahili?
Upload na ile video yenye title" Mzazi hela ya karo bora mnunulie mwanao mashamba"
Mtoa mada aje ajifunze kwenye comment yako hii.Hakuna namna ambayo Mitaala iliyoboreshwa itaathiri shule za English medium... Sana sana English medium schools zina nafasi kubwa ya kutekeleza Mitaala iliyoboreshwa kuliko Shule za serikali...
Ukisoma vizuri mabadiriko ya Mitaala iliyoboreshwa Shule za sekondari ndizo zimeonekana kutakiwa kutekeleza Mitaala ya Ufundi au Elimu ya jumla kwa vitendo zaidi...
Tafuteni sababu nyingine za kushindwa kuwalipia ada na kuwahamishia watoto wenu Shule za kata...
Tuko sawa π€£π€£πππMimi huwa namwambia mwanangu, wewe nenda shule kainjoi maisha, moments na kutengeneza connections na watu muhimu.
Kipindi unachotakiwa kuinjoi zaidi ni mapumziko.
Ukifeli ama kufaulu sitakujaji sana, ila hakikisha hujawa wa mwisho, atleast nyuma yako kuwe na watu kadhaa wanakufuata.
Mtaala uliopita shule ya msingi kingereza kilikuwa somo na sekondari kilikuwa cha kufundishia na still kwenye interview watu Wana struggle sembuse hii ya sasa?Kwani si umeambiwa kiingereza kitatumika kama somo. Halafu mkuu inaonekana wewe mind yako inakwambia Sasa hivi ni mwaka 1985. Yani bado unawaza tu kuhusu interview?
Wake up bro