Wana CHADEMA wamsaliti na kumgomea kabisa Mbowe kuandamana mpaka ajikuta akikamatwa akiwa mwenyewe na waandishi wa habari tu
My Take
Poleni sana Machadema vibaraka wa Mabeberu.

Mumechokwa kipindi kibaya Cha kuelekea Uchaguzi [emoji23][emoji23]

Kajipangeni upya,this time kiki imebuma,mumewaangusha Waliowatuma [emoji2957][emoji2957]

Mwisho, Watanzania sio manyumbu
Hiki kituko, unakikuta Tanzania tu! Mtu umemfungia mlango na makufuli, halafu unatamba kuwa huyo mtu AMESHINDWA KUINGIA ndani!!!?
Kwa tafsiri yako na wengine wenye akili kama yako, unashangaa, ni kwa nini hao jamaa wasio na siraha, walishindwaje kupambana na askari waliokuwa na siraha kila kona!
Usifananishe maandamano ya wapinzani wa CCM na siasa za kuujaza uwanja wa Benjamin Mkapa za Simba na Yanga!
 
Jana walijitokeza watu wasiozidi hamsini katika matembezi ya hisani ya Chadema. Nilimsikia Salim Kikeke, mnazi mkubwa wa Chadema aliyejipanga kuisaidia iingie madarakani, akimuuliza Mbwawe, Mwenyekiti wa CDM, kwamba watu wako wapi, Mbowe akajibu hata mimi siwaoni.

Hakika chama cha demokrasia na maandamano kimeshuka umaarufu, na wananchi hawakielewi kabisa
Vipi mbona mnahangaika sana
Jana walijitokeza watu wasiozidi hamsini katika matembezi ya hisani ya Chadema. Nilimsikia Salim Kikeke, mnazi mkubwa wa Chadema aliyejipanga kuisaidia iingie madarakani, akimuuliza Mbwawe, Mwenyekiti wa CDM, kwamba watu wako wapi, Mbowe akajibu hata mimi siwaoni.

Hakika chama cha demokrasia na maandamano kimeshuka umaarufu, na wananchi hawakielewi kabisa

View: https://x.com/PMadeleka/status/1838151241513492684?t=sRH4CFm6uOCZmFGaFnl0KQ&s=19
 
Jana walijitokeza watu wasiozidi hamsini katika matembezi ya hisani ya Chadema. Nilimsikia Salim Kikeke, mnazi mkubwa wa Chadema aliyejipanga kuisaidia iingie madarakani, akimuuliza Mbwawe, Mwenyekiti wa CDM, kwamba watu wako wapi, Mbowe akajibu hata mimi siwaoni.

Hakika chama cha demokrasia na maandamano kimeshuka umaarufu, na wananchi hawakielewi kabisa
Vipi mbona mnahangaika sana
Jana walijitokeza watu wasiozidi hamsini katika matembezi ya hisani ya Chadema. Nilimsikia Salim Kikeke, mnazi mkubwa wa Chadema aliyejipanga kuisaidia iingie madarakani, akimuuliza Mbwawe, Mwenyekiti wa CDM, kwamba watu wako wapi, Mbowe akajibu hata mimi siwaoni.

Hakika chama cha demokrasia na maandamano kimeshuka umaarufu, na wananchi hawakielewi kabisa

View: https://x.com/PMadeleka/status/1838151241513492684?t=sRH4CFm6uOCZmFGaFnl0KQ&s=19
 
Najua kuwa unajua tofauti ya KUJIELEWA na UOGA ila kwakuwa umeamua kuwa mnafki na kuwa na mlengo wa kisiasa ndomana umeandika ulichoandika

Watanzania ni WAELEWA kweli na wanajua kinachoendelea katika Nchi yao ila wanashindwa kuchukua hatua kwa sababu ni WAOGA

na kwa sababu serikali inajua inaongoza watu wa namna gani (WAOGA) ndomana tangia Juzi wamejaza jeshi barabarani ili kuwatia hofu washindwe kutimiza hazma zao

Mkitaka siku ingine muamini kuwa ni kweli watanzania ni WAELEWA basi yaitishwe maandamo kisha lisitumike jeshi kuzuia muone kama watu hawatojaa barabarani

Hao chadema walitoa watu wengi sana barabarani kuandamana kipindi cha Kikwete kwa sababu Sera ya uongozi kipindi hicho ilikuwa tofauti na ilivo hii miaka 7

Kipindi cha Kikwete tuliona wanafunzi wa vyuo wakiandamana,walimu wakiandamana,manesi wakiandamana, wafanyakazi wa shirika la reli wakiandamana na wengine wengi

Tanzania ni Nchi ya Amani, Amani gani ambayo unaiongelea wewe? Ya kutokana na kuuwana? Amani ya kupoteza Uhuru wa kujieleza? Amani ya kukuta usifie tu upande mmoja kama vitabu vya DINI?

Kwahiyo kabla hujaita watanzania waelewa kinafki na kisiasa tambua Kwanza sababu zinazofanya wasiandamane, je ni kweli hawana sababu za wao kuandamana au hawana huo Uhuru wa kuandamana?

Maana tulishuudia kipindi wanao Uhuru wa kuandamana walikuwa wanaandamana kudai haki yao kikatiba na mahitaji yao mengi yalisikilizwa
 
Najua kuwa unajua tofauti ya KUJIELEWA na UOGA ila kwakuwa umeamua kuwa mnafki na kuwa na mlengo wa kisiasa ndomana umeandika ulichoandika

Watanzania ni WAELEWA kweli na wanajua kinachoendelea katika Nchi yao ila wanashindwa kuchukua hatua kwa sababu ni WAOGA

na kwa sababu serikali inajua inaongoza watu wa namna gani (WAOGA) ndomana tangia Juzi wamejaza jeshi barabarani ili kuwatia hofu washindwe kutimiza hazma zao

Mkitaka siku ingine muamini kuwa ni kweli watanzania ni WAELEWA basi yaitishwe maandamo kisha lisitumike jeshi kuzuia muone kama watu hawatojaa barabarani

Hao chadema walitoa watu wengi sana barabarani kuandamana kipindi cha Kikwete kwa sababu Sera ya uongozi kipindi hicho ilikuwa tofauti na ilivo hii miaka 7

Kipindi cha Kikwete tuliona wanafunzi wa vyuo wakiandamana,walimu wakiandamana,manesi wakiandamana, wafanyakazi wa shirika la reli wakiandamana na wengine wengi

Tanzania ni Nchi ya Amani, Amani gani ambayo unaiongelea wewe? Ya kutokana na kuuwana? Amani ya kupoteza Uhuru wa kujieleza? Amani ya kukuta usifie tu upande mmoja kama vitabu vya DINI?

Kwahiyo kabla hujaita watanzania waelewa kinafki na kisiasa tambua Kwanza sababu zinazofanya wasiandamane, je ni kweli hawana sababu za wao kuandamana au hawana huo Uhuru wa kuandamana?

Maana tulishuudia kipindi wanao Uhuru wa kuandamana walikuwa wanaandamana kudai haki yao kikatiba na mahitaji yao mengi yalisikilizwa
Wewe andamana ya wanafunzi, manesi unaifahamu, wako strategic hawavunji amani, na hata wakiomba kibali wanapewa, strikes sio tatizo shida inapokua strike na lockout hii wanafanya wapuuzi Chadema, hawa ni mitama na ngwara tu.
Na swala maandamano yaitishwe kusiwe na jeshi ni uongo, CRDB marathon tu, polisi wanakuwepo, mkusanyiko wowote. Ila anny risk lazma waingie road.
Mara watanzania waoga, hao manesi na wanafunzi wanaoandamana ni warusi au wagiriki. Kawaambie waandamane, people don't settle for less hata ulaya, ukiona maandamano ujue kuna awareness kubwa imejengwa. Na watu wanafnya jambo lao thats it.
 
Jana walijitokeza watu wasiozidi hamsini katika matembezi ya hisani ya Chadema. Nilimsikia Salim Kikeke, mnazi mkubwa wa Chadema aliyejipanga kuisaidia iingie madarakani, akimuuliza Mbwawe, Mwenyekiti wa CDM, kwamba watu wako wapi, Mbowe akajibu hata mimi siwaoni.

Hakika chama cha demokrasia na maandamano kimeshuka umaarufu, na wananchi hawakielewi kabisa
Hivi we jinga kweli. Hujui kuwa polisi walitumia nguvu nyingi kuzuia. Uwe unatumia akiri, hivi mtu aliyefiwa/kupotelea na ndugu yake anakuelewaje? Uliona babake mdogo na soka anavyolia?
 
Jana tarehe 23/09/2024 kila mtu alishuhudia zaidi ya mzee mbowe na binti yake hakuna aliye poteza muda kushiriki upuuzi walio upanga.

Wananchi kila kona waliendelea na shuguli zao za kujitafutia riziki

Hili ni funzo tosha kwa Chadema kuwa watanzania wanajielewa kamwe hatuwezi kutumiwa kwenye maandamano ya kuchafua Amani ya Nchi yetu,

Familia zao zimeshiba hawana shida wana mihela bank, hata wakikamatwa na kuwekwa ndani watoto watakula. kamwe hatuwezi kutumiwa na wanasiasa walafi.

Amani ya Taifa letu ni muhimu zaidi kuliko Chadema.

Wananchi wenzangu kamwe tusikubali kutumiwa na wahuni kuvuruga amani yetu.
TANZANIA KWANZA VYAMA BADAE.
Kama wanajielewa kwa nini mliweka mapolisi na bunduki za risasi za moto hebu ondoa umaku wako
 
Jana tarehe 23/09/2024 kila mtu alishuhudia zaidi ya mzee mbowe na binti yake hakuna aliye poteza muda kushiriki upuuzi walio upanga.

Wananchi kila kona waliendelea na shuguli zao za kujitafutia riziki

Hili ni funzo tosha kwa Chadema kuwa watanzania wanajielewa kamwe hatuwezi kutumiwa kwenye maandamano ya kuchafua Amani ya Nchi yetu,

Familia zao zimeshiba hawana shida wana mihela bank, hata wakikamatwa na kuwekwa ndani watoto watakula. kamwe hatuwezi kutumiwa na wanasiasa walafi.

Amani ya Taifa letu ni muhimu zaidi kuliko Chadema.

Wananchi wenzangu kamwe tusikubali kutumiwa na wahuni kuvuruga amani yetu.
TANZANIA KWANZA VYAMA BADAE.
Uoga sio kujiewa mkuu
 
Hao walioweza kuingia barabarani jana 23 Sept, na vile vitisho , haki wajengewe mnara wao na majina na picha ziwekwe pale mnazi mmoja na pale kilele cha mlima Kilimanjaro
 
Aliyeandika hii mada ni mkojo uliokosea njia.

Unaandika yote haya huku ukijua kuna watu(watanzania) wametekwa, wamepotezwa na kuuwawa utakuwa na akili kweli?

Hata hivyo, unadhani nani yupo kwenye upande wa waliopotezq...its the gov't kupitia jeshi lake, wamepoteza.
 
My Take
Poleni sana Machadema vibaraka wa Mabeberu.

Mumechokwa kipindi kibaya Cha kuelekea Uchaguzi 😂😂

Kajipangeni upya,this time kiki imebuma,mumewaangusha Waliowatuma 🤪🤪

Mwisho, Watanzania sio manyumbu👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DASWBoEKBlE/?igsh=MXZnYm0wbnZ2emFuOQ==

Wewe ni mjinga
Chadema wamefanikiwa kuonyesha jinsi serikalibna Fisiemu wanavyo iogopa angalia.
Polisi wameletwa kutoka mikoa kadha wakiwa wamesheheni silaha za kivita washwasha mbwa farasi na magari tele huu ni uoga wa wazi (wengine wamevaa bullet proof vest na helmets 😁).
Kuachiwa kwa viongozi haraka haraka ni nini zaidi ya ukunguru.
 
Kuna watu wako brain washed mpaka inatisha yaani maandamano yamepangwa kufanyika Dsm polisi wamerespond kwa siraha na nguvu kubwaa hadi Simiyu huko bado unasema utumbo huu au kwako power nini
 
Back
Top Bottom