LGE2024 Wana JF mmejiandikisha? hizi ni faida za kujiandikisha kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kwenye kuimarisha democrasia siamini kwa kuwa upo uoga mwingi wa kupoteza nafasi zinazo aminiwa ni za chama fulani au za watu fulani kwa manufaa ya kundi fulani kwa malengo ya wachache wa taifa hili.Hivyo ipo haja ya mabadiliko makubwa kuondoa dhana hii ,vinginevyo hili ni bomu linalo subiri muda wake.
 
Inawezekana uoni .....letme remind you

Suala la amani

Ujenzi wa miundombinu

Uboreshaji wa elimu

Uboreshaji wa kilimo

All this ni faida za viongozi Bora waliochaguliwa



Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Miaka 63 ya Uhuru tunaongelea tiny and petty things. Elimu imeboreshwa kivipi? Adui ujinga ndiye ameesclate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…