Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

GOD loves us even more than angels he gave emotions ,we can sex,taste food ,do whatever but said do good and nt evil because i gave you mind to fight evil because am who wil be forever

Aren't you contradicting yourself? Previously you mentioned that the Kingdom of God is "never in sinful place." But here you say that God has given us the will to do whatever we want on this planet Earth which is part of God's Kingdom. We have the choice to do evil or good.
 

we have the choice to do good and evil so as he wants to see whether you trust on him or what ..God created earth and for us by his wish and had a kingdom before.
 
Nyie watu, hivi huwa mnachukua muda hata kidogo lakini kuresearch hizi story au ukiona imekufurahisha nafsi tu unaikopi na kuipaste, THE FKIN HOAX HAS BEEN ON THE NET FOR QUIET SOME YEARS NOW!!! uvugizi, hebu shughulisha hicho kichwa chako bana, LABDA KAMA LENGO LAKO NI KUPOTOSHA TU.
 
Last edited by a moderator:
Can you prove that?

Nikwamba kama huamini amini unachoamini ila forget about GOD ,You want to avoid GOD In order to prove if he exists thats the first ,if you know he doesnt exists why do you want to prove you know why is because you are finding the truth because you just knw what you know ukifahamu people why hawataki kufa utapata majibu
 

Huyo Mungu nahisi yuko complex zaidi ya laws of physics, lakini mwanzo wake yeye HAUPO! Clever Pagans!
 
tatizo la Mungu ni mwoga . Kama anajiamini aje hapa ajitetee. personally namchukia Mungu maana a
natumiwa na wadhaifu kutawala wenye uwezo. Go to hell God!
 

:a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13:
 
Mungu aliumbwa na Warumi ili wamtumie kutawala dunia. Na bahati mbaya wanaoamini uwepo wa Mungu hawasomi hata hivyo vitabu vya dini kama bibilia na Qurani. Kwenye hivyo vitabu, kuna mafumbo mengi (lost symbols?), ambayo watu wanoakaririshwa vifungu hawawezi kuelewa.

Kwa mfano, kwenye agano jipya, Mtume Yesu anasema, huwezi kuingia ufalme wa mbigu , kama hujawa kama mtoto. Na wote tunajua kwamba siku zote mtoto anaweza hatumii akili za kufundishwa kuamua jambo lake, yaani kinachomwongoza mtoto ni matamanio yake tu, yaani will power! Sasa i wapi busara ya binadamu kumwogopa Mungu, kama yeye mwenyewe anajifananisha na mtoto mdogo?
 
Hayo ni maandiko matakatifu sio kitabu cha physics you need high spiritual sense and help from whom you beliv to understand what it means go test your IQ at www.tickle.com
 
Mkuu@pasco, umeongea vizuri, lakini mwisho umeingia woga kwa kumfagilia Mungu dhidi ya shetani. Swali hapa ni Je nani aliumba mwingine? Is satan self made, and if not was he made by God? Na kama alitengezwa na Mungu, alitengenezwa for wahta purpose? Na kama alitengenezwa aharibu ulimwengu, why are we makining a ----ing noise kumpinga shetani makanisani na misikitini kumsaidia Mungu asituharibu?
 

wataelewa tu@mkuu
 
Na hata kama uchawi upo kweli, that does not prove mungu yupo.

Arthur C. Clarke said "Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic.
Kama science doesnt prove Mungu yupo huku uchawi ni evidence ya whats written in the bible since uchawi wenyewe umeandikwa, na kuona hilo bado unabisha kua uchawi waweza kua science ambayo ni advanced zaidi, basi that simply shows science obeys religion, na kwa kujaribu kusema uchawi ni advanced science sawa na prediction yangu kua utasema uchawi ni science, umejionyesha wazi, wewe napoteza muda na wewe.

Tafuta evidence sasa uprove maana naona wewe hadi einstein anaekubali uwepo wa Mungu umemshinda..
 
in a serious case prove using ur thnkng capability si flani kasema or what we umesemaje?
 

Mkuu Pasco, alicho eleza Rapture man ndiyo hasa dini zinavyomuelezea Mungu. Kwamba yeye ni mjuzi wa yote. Na kwakuwa yeye ni mjuzi wa yote, alijua kabla hajamuumba shetana kuwa shetani atakuja kumuasi, na ili mpango wakewa kumleta Yesu utimie, shetani hakuwa uwezo wa kukwepa uasi, ili neno litimie.

Mwisho wa siku watu wanaenda kutiwa kiberiti kwa mpango wa huyo huyo Mungu mwenye "upendo mkuu" na si shetani. Kwa kuwa yeye ndiye mjuzi na mpangaji wa yote.
(bado hatumjui mungu)
 


Huyo Mungu mwenye uwezo mkuu lakini anafanya kazi, anachoka na kuhitaji kupumzika na kustarehe ndiye anafanya niseme, "hatumjui mungu bado", tena maelezo hayo tunaa mbiwa ni maneno yake mwenye. Kweli Mungu hajasingiziwa hapa? Stefano Mtangoo mjuu kuu wa babu yetu mzee Mtangoo hebu weka mambo sawa hapa.
 
we have the choice to do good and evil so as he wants to see whether you trust on him or what ..God created earth and for us by his wish and had a kingdom before.

Why "his" wish and not "her" or "its" wish?
 
tatizo la Mungu ni mwoga . Kama anajiamini aje hapa ajitetee. personally namchukia Mungu maana a
natumiwa na wadhaifu kutawala wenye uwezo. Go to hell God!

ha ha ha ha.....mkuuu ur so funny hivi umeshilikisha ubongo kweli kabla hujapost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…