econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mbowe na genge lake wanaharibu upinzani wa Tanzania. Enzi za kina Slaa angalau walikuwa wakijenga hoja za kutetemesha nchi ila siku hizi imekuwa tofauti. CCM inahitaji chama cha upinzani kilicho imara na sio hiki chama cha Mbowe.
Mbona Slaa karudi CHADEMA. Una jingine.