WanaCHADEMA wengi hatupendi namna Mbowe alivyolamba asali ila hatuna namna maana hatuna maamuzi

WanaCHADEMA wengi hatupendi namna Mbowe alivyolamba asali ila hatuna namna maana hatuna maamuzi

Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Mbona unadhalilisha kwa huu ujinga unaouonesha? Tangu lini wewe umekuwa CHADEMA?

Wewe inaonekana ni tapeli mjinga wa kudumu (mjinga wa kudumu = mpumbavu, juha). Wenye akili timamu hukosoa au kutetea hoja zao kwa kuweka wazi misimamo na uwanachama wao wa vyama vya siasa au mahaba yao au mapenzi yao kwa vyama vyao. Mtu bwege, kwa sababu anaona hana uwezo wa kutetea hoja yake huku akisimama kwenye mlengo wake wa kisiasa ndiyo huamua kuwa juha, kama ufanyavyo.
 
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Hata Chacha Wangwe aliejaribu kumpinga mwenyekiti wake leo hatunae tena.
Ni nani anaetaka kufa kabla ya wakati wake mkuu?
 
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Wewe ni Mpuuzi tu
 
Jipige na jiambie kuwa ww ni kubwa pumbavu
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
 
Nakupuuza
Kwahiyo mkuu hapa Tanzania tumtegemee Mh. Mbowe tu ndo atupiganie? Kule Bungeni waliopo wabunge wengi vile hawawezi kufanya kazi ya kuwatetea wananchi?

Au unadhani Mh. Mbowe yeye hachoki kuwatetea wananchi ambao ni sawa na maiti. Wewe Kama mwananchi unatakaiwa utambue haki zako na wajibu wa serikali yako kwanza kabla ya kumtegemea mtu yeyeto kuja kusimama kwa niaba yako.
 
Kwahiyo mkuu hapa Tanzania tumtegemee Mh. Mbowe tu ndo atupiganie? Kule Bungeni waliopo wabunge wengi vile hawawezi kufanya kazi ya kuwatetea wananchi?

Au unadhani Mh. Mbowe yeye hachoki kuwatetea wananchi ambao ni sawa na maiti. Wewe Kama mwananchi unatakaiwa utambue haki zako na wajibu wa serikali yako kwanza kabla ya kumtegemea mtu yeyeto kuja kusimama kwa niaba yako.
Usimuite maiti.Huwa hakawii kuzira na kupuuza.Shem wangu namjua tutabia twake.
 
Back
Top Bottom