Wanachama UN wapiga kura mzozo wa Urusi - Ukraine


Kwahiyo..!?
 

Je China ni ndumilakuwili??
Kwanini Eritria imejitoa ufahamu hivyo
 
Mzee kichwa cha habari ni cha uongo
35 zimepiga kura lakini zikawa neutral. Wewe ni mbumbumbu.
 
Safi sana, kuna vitaifa vichache vimeogopa, ila wengi wameunga mkono, anguko la Urusi limefika muda wake, Putin aliingia kwenye kumi na nane, na bado atakoma.
 
Safi sana, kuna vitaifa vichache vimeogopa, ila wengi wameunga mkono, anguko la Urusi limefika muda wake, Putin aliingia kwenye kumi na nane, na bado atakoma.
Vimeogopa au vimekataa kuwa bendera fuata upepo?
 

Hiyo spirit ingeendela kwa angalau miongo 2 au 3. Mtazamo wetu ungebadilika sana kuelekea jinsi tunavyojiona. Tunajiona dhaifu, maskini, vipofu na duni ndiyo maana "wale" wanafaidika na mtazamo huo. Ukiwa na mtazamo wa kujiamini, nani atakuamini. Ukijiona dhaifu nani atakufanya hodari. Ukijiona duni, nani atakuona unafaa na uko vizuri. Ukijidharau na atakuheshimu. Kila kitu kinaanza na wewe.

Akina china wanaweza, ni baada ya kuwa na mtazamo chanya kujielekea. Siku zote wanasema kwani wao waweze wana nini na sisi tushindwe tuna nini. Hawako kama watoto wa mama huyu ambao wanabaguliwa kule kwenye vita. Ambao mtazamo ni sisi ni wanyonge. Sisi ni wakushindwa tu siku zote.

Kila kitu kinaanza na wewe. Chukua hatua. Hayati JKNyerere aliwahi kusema, "hatubishi kwamba nyie mmepiga hatua ya kimaendeleo kutuzidi, lkn hilo haliwezi kuwa sababu ya kupuuza utu wetu na haki zetu". Hatuna pesa kama nyie, lkn tuna utu kama ninyi. That is dignity. Kujitambua utu wetu.
 
Wanafiki utawajua tu. Hakuna adui mbaya kama rafiki anayeshindwa kukutetea wakati unataabishwa. Anakuchekea mkiwa kwenye furaha, hasa anapokuwa na shida. Siku unasemwa vibaya, ama unashambuliwa na adui kwa namna yoyote anabunda!. Ni hatari sana kuwa na rafiki wa namna hiyo.
 

Unasomeka mkuu. Tuliokimbia kura tuna ujasiri gani uliobakia?



Au kwani Ndugai alikuwa kipi kakosea?

Zama za kina Nyerere kwenye usukani hazipo tena.
 
Mbona Marekani anapoanzisha matimbwili yake huwa hawapigi Kura..? Sisi tupo neutral hatutaki kuegamia sehemu moja wasituchoshe.
Ukapiga usipige wewe huzidishi chochote na hizo nchi ambazo hazikufungamana upande wowote zote kwa jumla tunasema ni vibaraka wa russia wacha tuone nguvu ya nchi 141
 
Ukapiga usipige wewe huzidishi chochote na hizo nchi ambazo hazikufungamana upande wowote zote kwa jumla tunasema ni vibaraka wa russia wacha tuone nguvu ya nchi 141
Tulia wewe
 
Ukapiga usipige wewe huzidishi chochote na hizo nchi ambazo hazikufungamana upande wowote zote kwa jumla tunasema ni vibaraka wa russia wacha tuone nguvu ya nchi 141
Tatizo wewe ni mshamba. Hilo azimio siyo la kisheria. Halina action plan yoyote. Baada ya kupiga kura ndio imeishia hapo mzee.

Hilo ni azimio la kuiomba Russia iache kuwapiga Ukraine. Unajua ombi linaweza kukubaliwa au kukataliwa.
 
Vita vyao sisi hatufungamani na upande wowote ule. Non Alignment Movement (NAM) asili yetu toka zamani
 
Tatizo wewe ni mshamba. Hilo azimio siyo la kisheria. Halina action plan yoyote. Baada ya kupiga kura ndio imeishia hapo mzee.

Hilo ni azimio la kuiomba Russia iache kuwapiga Ukraine. Unajua ombi linaweza kukubaliwa au kukataliwa.
Mshamba mmako, Narudia lengo la hiyo kura ni kujuwa mnafiki ni nani na nani kama nchi yako ulipiga kuisaport russia jiandae na vikwazo respectively
 
Mshamba mmako, Narudia lengo la hiyo kura ni kujuwa mnafiki ni nani na nani kama nchi yako ulipiga kuisaport russia jiandae na vikwazo respectively
Jina tu ulilotumia linaonesha wewe low thinker. Je, una umri wa miaka mingapi!?
Wamewekewa vikwazo Zimbabwe na jamaa wanadunda tu. Wewe ni mshamba. Umuwekee vikwazo kwa kupiga kura!?!!

YOU ARE STUPID
 
Jina tu ulilotumia linaonesha wewe low thinker. Je, una umri wa miaka mingapi!?
Wamewekewa vikwazo Zimbabwe na jamaa wanadunda tu. Wewe ni mshamba. Umuwekee vikwazo kwa kupiga kura!?!!

YOU ARE STUPID
Waulize zimbabwe bei ya chapati 1 ni shilingi ngapi, lazima watakwambia ni shilingi elfu nane kwa chapati moja., tunasubiri hayo pia kwa russia baada ya mwezi toka sasa
 
Waulize zimbabwe bei ya chapati 1 ni shilingi ngapi, lazima watakwambia ni shilingi elfu nane kwa chapati moja., tunasubiri hayo pia kwa russia baada ya mwezi toka sasa
Mzee kwa maelezo haya wewe umezaliwa miaka ya 1990s wewe bado kinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…