Wanadiplomasia Wabobezi wameanza kupotea na ni adimu sana Tanzania miaka hii ya karibuni

Wanadiplomasia Wabobezi wameanza kupotea na ni adimu sana Tanzania miaka hii ya karibuni

View attachment 2770500
John Malecela

View attachment 2770491
Salim Ahmed Salim
View attachment 2770506
Mrisho Kikwete
View attachment 2770494
Balozi Mahiga
View attachment 2770515
Liberata Mulamula

View attachment 2770813
Balozi Asha Rose Migiro( kunradhi balozi)

View attachment 2771229
Prof Anna Tibaijuka( kunradhi Prof)

Kuna wakati Tanzania tulikuwa na hazina kubwa ya wanadiplomasia waliokubuhu kutetea maslahi ya nchi na Afrika kwa ujumla.

Kizazi hicho sasa kimeanza kutoweka kwa kasi.

Wana Diplomasia wanaoteuliwa sasa kuwa Mabalozi ni wale waliostaafu kazini na kiukweli hawana nguzu za kuendesha diplomasia kikamilifu.

Tulikuwa na Career Diplomats, Diplomats waliokulia, kufundishwa na kutekeleza kazi za kidiplomasia kwa weledi mkubwa.

Walikuwa wana uwezo wa kudiffuse diplomatic tiffs ktiya nchi na nchi, na kati ya nchi yetu na nchi nyingine duniani.

Hili limenijia kichwani baada ya sherehe ya juzi kumuenzi Dr Salim Ahmed Salim , mwana Diplomasia aliyebobea na kujulikana duniani pote.

Je leo tunaweza kupata mwana diplomasia mwenye CV utendaji na kuthubutu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa UN auo Umoja wa Afrika?

Serikali ingefaa kuliona hili kwa uzito wake.
Kwenye hii orodha yako mkuu Hayati Balozi Mahiga na Dk. Salim Ahmed Salim ndio wanadiplomasia wa kweli wa viwango vya juu kabisa kutoka Tanzania lkn Mkuu kwanini umemsahau Mzee Mkapa?.
 
Siku hizi ukiwa Karibu na Watawala tu unapewa Ubalozi. Kikubwa usiwe kinyume nao..
Generalization...

Si kweli....

Mentality ya ajabu kabisa....nafasi zote za uteuzi ni kwa ajili ya kutumikia mawazo ya watawala....sasa unaanzaje kuwa nao kinyume ilihali wao* wana taarifa nyingi zaidi yako?!!!

Kwenda kinyume nao ni aina fulani ya UCHIZI.....[emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Umeongea sahihi tunahitaji Bunge kuridhia baadhi ya teuzi za Rais. Lakini shida ya Bunge letu wanajikomba kwa Rais. Bunge la Tanzania halina uwezo wa kukataa anachopendekeza Rais.

Shida inakuja Rais ndo mwenyekiti wa Chama, atakae pinga ataadhibiwa. Hivyo hata Rais ateuwe na kupeleka Bungeni mtu asiyefaa, bunge litasema NDIYOOO!

Tanzania tunatakiwa kuunda mfumo mpwa wa nchi na hata wakitumishi. Nchi sikuhizi haiandai watu kama zamani. Yaani kwasasa ukiwa chawa tu haijalishi unasifa gani basi unateuliwa.

Zamani watu walipikwa. Nakumbuka hata usalama wa Taifa uliweza kufatilia watu toka wanavyokuwa shuleni hadi chuo. Na kisha kuwaandaa hawa watu hata wao bila kujua kama wanaandaliwa.

Taifa limekosa watu ambao ni makini, ukimtazama unaona utofauti, unaona uzalendo, kujituma, upevu wa uongozi, hekima na ujasiri, usikivu na unyenyekevu ndani yake. Hawa watu waweza kuwepo lakini hawapo kwenye system au mfumo.

Nyerere alifanya kazi na hata watu waliompinga, na aliwasikiliza. Lakini leo ukiongea hoja ikaonesha huko kinyume na Rais basi wewe unafurushwa, hata hoja yako iwe na umakini utaondolewa tu.

Utawala wetu unataka chawa, vijana watakao sifia hata ujinga.
Hakuna Rais asiyefanya kazi na wanaompinga......

Mabunge yote duniani huendeshwa kwa ADA NA KAWAIDA ya siasa za nchi yao.....

Kutaka kuyafananisha mabunge ya nchi zote nao huo ni UCHIZI.....

Siasa za Tanzania zinaendana na msingi wa taifa hili....unatakaje tuendeshe siasa kwa msingi wa KENYA ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sa hivi Tanzania kuna kizazi cha Hovyo karibu kila idara.

Wengi wa watu ni Machawa, wanachoweza ni kusifu na kuabudu.

Sasa kwa kizazi hiki sidhani kama kuna mwana diplomasia Nguli, Anaweza kutokea.

Type ya watu kama
Lucas mwashambwa,ndio wame jazana kila sehemu kazi yao kuu, Ni kusifia hata makosa ya viongozi.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kumtoa mkoloni ni kwepesi kuliko kuleta maendeleo mkoloni akiondoka
Wapigania uhuru walifanya makosa makubwa sana kupigania uhuru wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Mkoloni ange endelea kutawala sa hivi tungekuwa First world countries.

Yani, Kungekuwa hakuna tofauti ya Berlin Germany na Dar es salaam Tanzania.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Jidu, Jidu La Mabambasi , naunga mkono hoja, Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa

Ni kweli, naunga mkono hoja, wengine wanateuliwa ubalozi na kupostiwa nje ili tuu kupunguza kelele!, wengine wanapostiwa nje kuondoa kiwingu, wale ma DGIS!.

Hili nimelizungumza hapa Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?

Hatuna!. Labda yule dogo kule Asia

The good one aliyepo ni Balozi Mulamula, ndio hivyo tena, alipoondolewa hatukuelezwa sababu, as if uteuzi wa a carrier diplomats ni hisani ya rais aliyepo madarakani!. It's not!. Mabalozi wa kuteuliwa kwa hisani ya rais, yes waendelee kuteuliwa lakini mabalozi wa carrier diplomats waendelee kupikwa, huwezi kuwatetegea mabalozi hisani tuu na kuwaondoa carrier diplomats kwa majungu majungu!. Nimeuliza hapa Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
Ankali P nitofautiane nawe kidogo....

Umezungumzia teuzi za kupunguza kiwingu*....

Niliwahi kumsikia mh.William Lukuvi akiizungumzia SIRI yake ya kiuongozi kuwa amedumu* kwa sababu ya HULKA yake ya kukaa kimya...*

Siuchukulii kuwa ni udhaifu bali ndio UHALISIA.....

Mathalani mtu amepata kuwa katika nafasi kubwa ya kuijua nchi vyema* inakuwaje "akibaki ndani" anashindwa "kutotengeneza hicho kiwingu"?!!!

Hapa nadhani ni mapungufu ya hao watu(tamaa zaidi)......

Hakuna asiyejua unapokuwa unalitumikia taifa basi unamtumikia "Rais" na "political wishes and motives zake"....

Kuna haja gani kutumia nguvu ya kuwatunuku "ubalozi" huko nje eti kwa kigezo hicho nilichokidadavua hapo juu?!!!

Nijuacho hao watu waliopata kutuhudumia raia katika nafasi nyeti huwa wana uwezo mkubwa sana katika mawanda ya KIDIPLOMASIA kwani muda wote wa utumishi wao wamekupa wakipata "briefings" za kiendeleacho huko ughaibuni....hawa ni bora watusaidie huko.....

Ubarikiwe ankali P ,amen[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona hivyo mambo yamekuwa juu chini, aka. yamekorogana........kwa kimombo tunasema 'amang'ana gasarikire' au kwa kilugha chetu kule nyamongo tunasema 'Things fall apart'
 
Wapigania uhuru walifanya makosa makubwa sana kupigania uhuru wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Mkoloni ange endelea kutawala sa hivi tungekuwa First world countries.

Yani, Kungekuwa hakuna tofauti ya Berlin Germany na Dar es salaam Tanzania.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mawazo ya kitumwa kabisa....

Inaonekana hujui ni nini maana ya UHURU.....

Tuko huru na tunafanya mambo yetu....

Tatizo tunapenda kuyaangalia maisha ya ukwasi wa wanasiasa na viongozi.....duniani kote hao ndio wanaoishi katika "pepo ya dunia"....si Afrika pekee.....

Halafu ni ujinga mkubwa kulinganisha maisha ya watu wa tamaduni tofauti kwa kudhani KINACHOTUTOFAUTISHA ni siasa pekee..... maendeleo yao unayoyalilia ni zaidi ya "siasa" unazofikiria.......

Mimi siitaji kuwa kama mjerumani na kuishi kama wao kwa kuwa wao na mimi ni watu tofauti....tofauti kabisa.....

Hivi shule ulikwenda kusomea "kukariri"?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sa hivi Tanzania kuna kizazi cha Hovyo karibu kila idara.

Wengi wa watu ni Machawa, wanachoweza ni kusifu na kuabudu.

Sasa kwa kizazi hiki sidhani kama kuna mwana diplomasia Nguli, Anaweza kutokea.

Type ya watu kama
Lucas mwashambwa,ndio wame jazana kila sehemu kazi yao kuu, Ni kusifia hata makosa ya viongozi.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kila idara?!!

Si kweli....

Umeamua kufanya "generalization"...

Yaani uwe CHAWA tu ndio upewe nafasi ya kupasua "mioyo" pale JKCI ya akina Prof.Janabi na Dr.Mayalla ?!![emoji15]

Yaani uwe CHAWA tu upewe nafasi za "think tanking" wa UCHUMI pale BOT na Ikulu ?!!! [emoji15][emoji15]

Mentality gani hii ?!! [emoji15]

Chawa uwanda wao ni katika nafasi za KISIASA.....

UCHAWA haswaa ni VAZI la kisiasa....na wala hawakosei kuwa na "Machawa" kwani siasa za KUONEKANA* ni maneno matamu ya USHAWISHI....

Siasa zisionekana nasi raia hazie deshwi na hao MACHAWA [emoji1787][emoji1787]

#Karibu Komoni Hapa Kwa baba Musa Majohe Rada[emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona hivyo mambo yamekuwa juu chini, aka. yamekorogana........kwa kimombo tunasema 'amang'ana gasarikire' au kwa kilugha chetu kule nyamongo tunasema 'Things fall apart'
Wala hayajakorogana....

Sababu za kidiplomasia zinabadilika kila uchao.....

Tuliwekeza kupigania UHURU wa afrika.....leo hatuko huko....

Tulisigana na ISRAEL kwa sababu ya kuwaunga mkono makaburu wa "bondeni" na ya kule PALESTINA leo hatuko huko....tuna uhusiano nao mzuri wa kidiplomasia.....

Ya SAHRAWI?!![emoji15]

Tumewasaidia Morocco kutofutiwa uanachama nao "wametutolea mkono wa Takrima" [emoji1787][emoji1787]

Tanzania bado ni taifa bora kidiplomasia [emoji120][emoji120]

#Siempre JMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye hii orodha yako mkuu Hayati Balozi Mahiga na Dk. Salim Ahmed Salim ndio wanadiplomasia wa kweli wa viwango vya juu kabisa kutoka Tanzania lkn Mkuu kwanini umemsahau Mzee Mkapa?.
Hakika...

Hayati Mzee Mkapa anastahili....kile kilikuwa ni CHUMA CHA PUA [emoji120][emoji120]

Aaaagh "wazuri hawadumu"[emoji45][emoji45]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kila idara?!!
"Karibu kila idara" sio idara zote.
Si kweli....

Umeamua kufanya "generalization"...
Sijafanya generalization, nimetumia neno "Karibu" kila idara si idara zote.
Yaani uwe CHAWA tu ndio upewe nafasi ya kupasua "mioyo" pale JKCI ya akina Prof.Janabi na Dr.Mayalla ?!![emoji15]

Yaani uwe CHAWA tu upewe nafasi za "think tanking" wa UCHUMI pale BOT na Ikulu ?!!! [emoji15][emoji15]

Mentality gani hii ?!! [emoji15]

Chawa uwanda wao ni katika nafasi za KISIASA.....

UCHAWA haswaa ni VAZI la kisiasa....na wala hawakosei kuwa na "Machawa" kwani siasa za KUONEKANA* ni maneno matamu ya USHAWISHI....

Siasa zisionekana nasi raia hazie deshwi na hao MACHAWA [emoji1787][emoji1787]

#Karibu Komoni Hapa Kwa baba Musa Majohe Rada[emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mawazo ya kitumwa kabisa....

Inaonekana hujui ni nini maana ya UHURU.....

Tuko huru na tunafanya mambo yetu....

Tatizo tunapenda kuyaangalia maisha ya ukwasi wa wanasiasa na viongozi.....duniani kote hao ndio wanaoishi katika "pepo ya dunia"....si Afrika pekee.....

Halafu ni ujinga mkubwa kulinganisha maisha ya watu wa tamaduni tofauti kwa kudhani KINACHOTUTOFAUTISHA ni siasa pekee..... maendeleo yao unayoyalilia ni zaidi ya "siasa" unazofikiria.......

Mimi siitaji kuwa kama mjerumani na kuishi kama wao kwa kuwa wao na mimi ni watu tofauti....tofauti kabisa.....

Hivi shule ulikwenda kusomea "kukariri"?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mjinga sana.

Bila shaka ni chawa.
 
Kwenye hii orodha yako mkuu Hayati Balozi Mahiga na Dk. Salim Ahmed Salim ndio wanadiplomasia wa kweli wa viwango vya juu kabisa kutoka Tanzania lkn Mkuu kwanini umemsahau Mzee Mkapa?.
Ni kweli Mzee Mkapa alikuwa Foreign Service lakini impact yake haikuwa kubwa sana kama wengine.
Sijui naweza kuwa nimekosea.
 
Kuna wakati Tanzania tulikuwa na hazina kubwa ya wanadiplomasia waliokubuhu kutetea maslahi ya nchi na Afrika kwa ujumla.

Kizazi hicho sasa kimeanza kutoweka kwa kasi.

Hawa ndiyo wenye uzalendo wa kweli ila waliobakia pale sijaona kama wanaguswa na Tanzania na hasa huyo mwenye bilauri mkononi hovyo kabisa
1696413145025.png
1696413239599.png
1696413273188.png
1696413192529.png
 
Mkuu kubebwa kwa vipi tena?
Kuwa trained ,yes.
Mwanadiplomasia mbonevu anapikwa na kupikika.
Wainhereza wanasema a diplomat is a foreign service officer sent to lie gracefully for his country.
In so doing anaiokoa nchi yake kimahusiano na nchi nyingine.

..Rais wa Tz ndiye mwanadiplomasia namba wani.

..Sasa Rais akipwaya na akiwa hana maono kama mwanadiplomasia basi hawa wa chini yake mwanapwaya.

..Hivi unafikiri Salim Salim angefanya kazi ktk awamu ya Magufuli angejulikana kwa kiwango alichofikia?
 
Back
Top Bottom