Wanafamilia 5 waliokufa uwanja wa Uhuru kuzikwa leo. Mchungaji Mastah aongoza ibada

Wanafamilia 5 waliokufa uwanja wa Uhuru kuzikwa leo. Mchungaji Mastah aongoza ibada

Huyu Mama alikua mjinga sana amesababisha watoto wafe kifo kibaya mno, na inaonekana walidondoka wote kwa pamoja na watu wakawalalia.
kwanini familia moja na kwa pamoja???
 
Nilikwepo msibani.inauma.ni familia inayojiweza kiasi.baba msomi na huyu mama aliyekufa ni msomi ana masters ya uhasibu toka udsm na ana CPA kazaliwa 1987 so mswahili kama mnavyodhani ni roho ya mauti ilimvuta
 
Nilikwepo msibani.inauma.ni familia inayojiweza kiasi.baba msomi na huyu mama aliyekufa ni msomi ana masters ya uhasibu toka udsm na ana CPA kazaliwa 1987 so mswahili kama mnavyodhani ni roho ya mauti ilimvuta

Inasikitisha sana kwa binti wa 1987 kuondoka mapema namna hiyo na watoto wake.
 
Kuna anayejua kilichotokea. Ni kwamba hilo eneo walilokuwepo lilikuwa na nini hasa?
 
Nadhani kukosekana kwa tamko au hata salamu za rambirambi kwenye misiba iliyotokana na kumuaga Hayati JPM kunatia doa shughuli hii ya kitaifa.

Natamani viongozi wetu wawe na macho ya rohoni yakuona wapo watu wamepoteza wapendwa wao kuliko kuona tumepoteza mpendwa mmoja tu.

Wawakumbuke watoto, wamama na wazee waliotwaliwa uwanja wa uhuru na wawe sehemu ya hotuba zao.
 
Hawa ni wa Kimara, Tabata kuna mama na mtoto

fc84439582904bbbb9dd583d73f02782.jpg
 
Mwili mfu unapewa ulinz mkali kuliko walio hai
 
Pamoja na lawama kwa serikali, nadhani watanzania tuna ushamba au ulimbukeni juu ya mambo, dunia kwa sasa ni kama kijiji, kuna matukio tunaweza kuyaangalia tukiwa majumba i mwetu lakini myu mwenye akili timamu anabeba watoto na kuwapeleka kwenye mazingira hatarishi kama yale
Mihemko dada ni tatizo la nchi hii kuanzia viongozi mpaka raia wao.

Wapumzike kwa amani.
 
Wanafamilia 5 waliokufa wakati wa kumuaga hayati Magufuli uwanja wa uhuru wanazikwa leo nyumbani kwao Kimara.


Ibada ya kuwaombea marehemu inafanyika katika Kanisa la KKKT Kimara na inaongozwa na mchungaji kiongozi wa Kanisa hilo.

Mkuu wa wilaya ya Ubungo na mbunge wa Kibamba wamehudhuria ibada ya mazishi.

Mbunge wa Kibamba mh Mtemvu amesema leo alitakiwa kuwa Chato kwenye mazishi ya hayati Magufuli lakini ameahirisha ili aweze kushiriki msiba wa wapiga kura wake.

Imeelezwa Kanisani hapo hata yule house girl " dada" ambaye naye alikuwa hajulikani alipo naye amepatikana akiwa amekufa.

Hivyo jumla ya wanafamilia waliofariki katika tukio hilo ni 6.

RIP Magufuli
Yule mwanamke alikuwa pumbavu sana
 
WTF!!Kwa nini wanazungumziwa tu hawa watano wakati walikufa watu zaidi ya mia moja?!Ni ujanja ujanja wa kuficha uzembe uliofanywa na serekali?
 
Sio ujinga ndugu,hicho kifo sio cha kawaida kuna kitu kilikuwa kinamsukuma huyo mama aende huko tena na familia yote can u imagine?....muulize ndugu Mshana Jr sema hawez kuelezea hili anaogopa wanakijani watamvamiaa[emoji23]
roho ya mauti ilimzidi nguvu!
 
Back
Top Bottom