Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Thank u Tekeri, appreciated
 
Mfumo wetu wa elimu hapa nchini kuna mahali unachanganya sana.
Kama mtu yuko tayari kwenda chuo, aende tu. Isitoshe form 5 & 6, wakati mwingine ni kupoteza muda tu.
Wapewe nafasi ya kuchagua kinachochowafaa
Thank u great thinker Lanlady
 
Mmoja kasema anapenda Sana sanaa ,na mwingine kasema anapenda Sana mifugo ,na wakisoma hata wasipopata kazi watakuwa wamefanya wakipendacho na watamlaumu mtu
huyo wa sanaa hapo shulen anachukua masom9 gani? Alaf Sanaa ni pana awe specific.

Huyo wa mifugo kama ufaulu wake unamruhusu naungana nae naede tu chuo shida ni jinsi ya kuwashawishi wazazi wake wamlipie hio ada ya chuo.

Ni bora kusomea kazi kuliko kukomaa kukalili mavitu ambayo unaweza kujikuta hauyatumii baada ya kumaliza shule
Chuo (kama utakuwa na certificate & diploma then digrer) zinampa mtu uwanja mpana zaidi kwenye kugombania ajira kama atakuwa hajajiajiri
 
Mmoja kasema anapenda Sana sanaa ,na mwingine kasema anapenda Sana mifugo ,na wakisoma hata wasipopata kazi watakuwa wamefanya wakipendacho na watamlaumu mtu
Mmmh, kwa kozi hizo hata ningekuwa mzazi ningekataa kuwasomesha.
Malengo yao nikujiajiri au kuajiriwa.
Kama nikujiari niwaunga mkono na kama nikuajiriwa nisingetoa ada wajisomeshe.
Kwa vyuo vya afya kozi yoyote niwaunga mkono
 
Kua na adabu binti sawa. Tunacomment hapa kukufanyia hisani au unataka uzi udode ka ulivododa mpaka kuwa jitu la parttime . Tuliza hilo komwe kubwa ka baruti.

Na uachege uphaller
Narudia tena #UMETOKA CHUO BILA KUJUA ULICHOSOMEA
 
Hao watakuwa walisoma zile uzi za JF.. FORM 5 ni kupoteza muda. Chapeni fimbo.
 
Wewe ndio ulianza kunipa majibu yasiyo sahihi

Narudia Kama #SIO GREAT THINKER KAA KIMYA
 
Afu watoto wa siku hizi uhuru umepitiliza[emoji28][emoji28][emoji28] sisi selection zikitoka tu unaambiwa jiandae unaripoti hata kabla shule yenyewe hawajafungua [emoji28][emoji28]

Tuna safari ndefu ya kwenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Changamoto ya watoto wengi hasa mabinti wakimaliza kidato cha nne wanaamini wanaweza kwenda chuo wakawa daktari au engineer mwenye degree. Wengi wanasumbuliwa na kukosa ufahamu.
 
Kwani siku hizi zoo hawaendi Tosa boys? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha a

Yani kweli mawazo ya #kidhinzi #yamekutana
 
Changamoto ya watoto wengi hasa mabinti wakimaliza kidato cha nne wanaamini wanaweza kwenda chuo wakawa daktari au engineer mwenye degree. Wengi wanasumbuliwa na kukosa ufahamu.
Hapana Watoto hawa wanajitambua kabisa
 
Mwanangu alikuja na wazo kama hilo alipomaliza o level na nikamkatalia.

1. Kwanza nilimwambia mfumo wa kawaida wa nchi ni kusoma hadi form six ndipo uanze degree na kwa Kuwa lengo ni kupata degree ukimaliza diploma ya miaka 3 ni rahisi ukienda A Level kisha degree kuliko kupitia diploma

2. Pili chuo kuna uhuru ambao akienda kabla ya kufika 18 utamchanya na kumuharibia future kama asipokuwa makini

Alichukua ushauri wangu kwa sasa yuko 1st year Cardiff University UK. Wenzake walienda DIT Diploma ndio wako 3rd year na wakitoka hapo waanze degree. Wastage of time
 
Afu watoto wa siku hizi uhuru umepitiliza😅😅😅 sisi selection zikitoka tu unaambiwa jiandae unaripoti hata kabla shule yenyewe hawajafungua 😅😅

Tuna safari ndefu ya kwenda
na ndio maana wengi wanafanya kaz wasizozipenda (hawana furaha na kazi zao)

Mzazi kazi yako sio mtengenezea mtoto wa umri huo ndoto yake bali ba wajibu wako kumsupport ili afikie ndoto yake as long as haivunji maadili. Na hao ndio wanaomaliza A-level hawajui ata wakasomee kitu gan chuo maana ndoto zake ziliishapotezwa hajui aanzie wap
 
Hapana Watoto hawa wanajitambua kabisa
Si kweli kwamba wanajitambua. Hata ukimuuliza anataka kwenda chuo akasomee nini ili kesho awe nani hawezi kukueleza. Akiweza kidogo atachanganya profession. Mwingine anasema anataka akasomee Mechanical Engineering. Ukasomee Mechanical Engineering wapi na kwa sifa zipi hajui, hajui.
 
Ao wazazi ni vichaa kabisa kwanini wasiwasikilize watoto wao? Ninasfi mtoto wangu akikataa Form five akataka chuo nampeleka haraka maana watoto wakike kuwachelewesha kidogo tu utajuta lakini pia mizazi mingine inadhani mtu asipopipta five na six hawezi kuajiliwa na serkali niujinga kumwazia mtoto ajira bada umwandae ajitegemee.
Nimetoa ushauri kama mzazi mwenye watoto wa umri zaidi ya 25 kwaiyo najua madhara watakayokutana nayo ao watoto na wazazi watajutabila watakuwa wamechelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…