EMANUEL JOHN JOHN
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 502
- 461
At the end## wazazi ndo wanao wasomeshaMmoja kasema anapenda Sana sanaa ,na mwingine kasema anapenda Sana mifugo ,na wakisoma hata wasipopata kazi watakuwa wamefanya wakipendacho na watamlaumu mtu
Ao wazazi ni vichaa kabisa kwanini wasiwasikilize watoto wao? Ninasfi mtoto wangu akikataa Form five akataka chuo nampeleka haraka maana watoto wakike kuwachelewesha kidogo tu utajuta lakini pia mizazi mingine inadhani mtu asipopipta five na six hawezi kuajiliwa na serkali niujinga kumwazia mtoto ajira bada umwandae ajitegemee.
Nimetoa ushauri kama mzazi mwenye watoto wa umri zaidi ya 25 kwaiyo najua madhara watakayokutana nayo ao watoto na wazazi watajutabila watakuwa wamechelewa.
wambagustaswali wewe ndie mazazi kwa hao vijana
Swali jingine je unao ujamaa nao hao vijana
Majibu hapana
Sasa wewe ni Nani ? Ushauri acha nao hao vijana watakuumiza kichwa
Au unadhani sijafika level ya chuo? Au unahisi maisha ya chuo siyajui? Poleeeeeh.Nani kakwambia chuo bata ....acha kuishi na maneno ya mtaani kiongozi
Yaan anaboa mnooo, khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jana na lile baridi itakua hakupewa anakuja kutumalizia stress.
Umemalizaaaaaa, ahsanteeeUkijibiwa ni tag!!?
Nina lundo la visichana vimerudi mtaani viko kama vikichaakichaa..
Vilienda vyuo baada ya kidato cha nne...sijui mipango...sheria..procurement...maji...ifm...na takataka nyingine nyiingii..
Vipo mtaani kazi yao sasa ni kuhudhuria sherehe kucheza singeli na misibani.
Kuna mahali serikali inakosea sana.. chuo laxima kiende maturity ya mtoto. Wengi wanapomaliza form four wanakuwa 17 years, kumpeleka mtoto kama huyu chuo ni kumkatili.
Chuo mtu anakuwa treated as an adult, hakuna sheria kali za malezi ukilinganisha na A level, hivyo basi vitoto vingi huishia kubung'aabung'aa tu na vinakuwa victims vya ngono zembe. Kwani ni vitoto ushamba umevijaa na havina akili.
USHAURI KWA SERIKALI...
Maana hili ni la serikali na haiepuki lawama.. ni vyema watoto waende hivi vyuo baada ya A level..na msiwapangie wazazi.. acheni mzazi apange na mwanae na si kuwaamuru kupitia selection.
Na vyuo vingi mnavyowapeleka hao watoto ni vya hovyoo,havina msaada wowote.
Cocastic nimegundua baada ya kufanya uchunguzi miezi 3. Wewe ni Amos Makala!Au unadhani sijafika level ya chuo? Au unahisi maisha ya chuo siyajui? Poleeeeeh.
Watajua wao na maisha yao.Inawezekana hawawazi Bata, advance imekuwa sio muhimu, pia unaweza kujikuta umepoteza miaka yako 2 Bure tu.
Ila katika Hali hii ya wazazi kushikilia makali basi Hawa wanafunzi hawana namna, wabaki shule tu wamalize then waende chuo. Mipango Yao wataikuta tu, wawe wavumilivu.
Madam Amina68 baadae alasiri tukutane Manyara (karibu na miyomboni pharmacy) tupange namna ya kuwashauri wadogo zetu!
Swali zuri hili.What if wakafeli Diploma?
Umeona nilichomalizia hapo chini? Kaa kwa kutulia.Akili za kitanzania kama si ki africa hizi,mnawazaga chuki na mambo hasi tu,
Kwanini msione jambo waliloamua kufanya ni jema?
Kwa ushauri wangu ni vyema sana wasome A-Level ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele kwa elimu ya juu huko baadae. Wakienda chuo wajue wanenda kusomea taaluma na wakimaliza ikatokea wakapata ajira basi wataajiriwa na kulipwa mshahara wa mtu mwenye elimu ya kidato cha nne. Lakini wajue wao ni watoto wa kike wanakimbizana na muda dhidi ya umri na majukumu wakikosea hapa mwanzo itawawia ngumu sana kurudi shule huko mbeleni wakiwa tayari na majukumu ya kifamilia.Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,
Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,
Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu
Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.
Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,
Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,
Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema
NB: Jenipher baba ake ni komando JW
Caren mama ake ni Moja ya walinzi cruel ya Hangaya
MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16
Caren Ana Div I-14
Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Nwei, watajua wao wenyewe, soma hapo chini nilimalizia vipi.Chuo watu hawasomi??
Kuna tatizo gani katika bata na uhuru wa chuo??
Haswaaaah.Kabisa kabisa...