Ndugu kubali wewe ni mjinga tena mjinga sana,Tanzania hadi leo tunatumia katiba ya 1977 sasa eti wewe act ya mwaka 2003 unajifanya huielewi,
Swala Shule kuunganishwa na mifumo ya ki computer ni jambo moja na wanafunzi kutumia simu shuleni ni jambo jingine kama hata hilo imeshindwa kulitofautisha basi wewe ni tatizo sana
wewe pia inaonekana ni mjinga sana Tena inawezekana ni wale first class,unadhani hizo simu nazozungumzia Mimi ni vitoch vya kuchatia?
Hapa nazungumzia simu zenye devices za internet Ili kuwezesha masomo kiurahisi tatizo lako una fikra za kizamani sana,
Ninao mfano hai wa mdogo Wangu aliyepo mkoani
Yupo kidato Cha 4 now na alianza kumipiki simu yupo kidato Cha pili
Dogo alikua slow Kwenye masomo yake mpaka Kuna muda alitaka aache shule ila alivyojua kutumia smart phone alianza kujifunza vitu vingi vya faida Kwenye masomo kitu kilicho mfanya awe updated sana na Dunia
Hua anakili kabisa Bila simu Kwa nature ya shule za kata zilivyo asingetoboa
Hata Mimi Kuna muda hua najilaumu Kwanini nilikua nyuma ya wakati endepo ningeanza kumiliki device Yenye internet kipindi nasoma ingenisaidia sana
Maana baada ya kuhitimu kidato Cha nne ndani ya miezi michache niliyokua kitaa na simu janja nilijifunza mambo makubwa na chanya ndani ya muda mfupi sana ambayo hata Wewe najua huyajui na huo ukubwa wako!
Grow up dude Dunia ipo Kwenye mabadiliko wewe endelea kutetea ujinga!
Hovyo kabisa halafu Ndio fikra kama zako zisaidie kuifikia Tanzania ya maendeleo ya science na Teknolojia Kwa Akili kama hizo thubutu
Endelea na Marufuku Kwa Kila kitu Cha faida wakati wenzenu wapo hatua mia Moja mbele Yenu!
Shwain!