Wanaharakati Nchini Ivory Coast walaani Mswada wa Kuruhusu Wanaume kuoa wake wengi

Wanaharakati Nchini Ivory Coast walaani Mswada wa Kuruhusu Wanaume kuoa wake wengi

Wanaharakati ni viumbe wapumbavu sana. Yaan unazuia wanaume kuoa wake wengi wakati ni mpango wa Mungu hata adam alikuwa na wake wawili, ibrahim, sulemani na wengine wengi wanafikia 15
 
Nimecheka kweli yaan....aisee.🙌 yaan hapo unakuwa umekaza mno....mihemko kama yote.Mi hapo wakati nimeizamisha muda najihudumia🙄 ...stress pembeni Kaz kwanza🤸
Wewe unaweza kukaza kwa masaa mangapi kutoliwa?
 
Wanaharakati ni viumbe wapumbavu sana. Yaan unazuia wanaume kuoa wake wengi wakati ni mpango wa Mungu hata adam alikuwa na wake wawili, ibrahim, sulemani na wengine wengi wanafikia 15
Adam alioa binti yake yupi? Fafanua.
 
Wewe unaweza kukaza kwa masaa mangapi kutoliwa?
Ikiwa ndani ya suruali na sijaigusa nitavumilia mpaka kukuche....ikiwa nje ya boksa imesimama vyema ni muda huohuo naanza kukuhemea kama nakunywa chai ya moto 🚴
 
Ikiwa ndani ya suruali na sijaigusa nitavumilia mpaka kukuche....ikiwa nje ya boksa imesimama vyema ni muda huohuo naanza kukuhemea kama nakunywa chai ya moto 🚴
Hahaha kaone kwanza, najuta kukuchokoza... hahahah
 
Ila muswada wa mashoga na wasagaji wataunga mkono

Hiv sis watu weusi tuna shida gan
 
Nimecheka kweli yaan....aisee.[emoji119] yaan hapo unakuwa umekaza mno....mihemko kama yote.Mi hapo wakati nimeizamisha muda najihudumia[emoji849] ...stress pembeni Kaz kwanza[emoji1732]
Npee mimi sitakutangaza
 
sasa kweli mnataka mwanamke awe sawa na mwanaume wakati hata ki'maumbile tu hatufanani ?

mi nahisi hao Wanaharakati ni Mawakala wa Shetani wanaotaka mambo yawe kinyume na asili ya maumbile katika kupinga uumbaji wa Mungu ndio maana hata ndoa za siku hizi hazikaliki maana ndani ya nyumba kila mtu anataka awe na sauti.

ila mi nasema hivi:

kama itatokea Wanawake mkaacha kuingia bleed basi naamini tutakua sawa
 
Npee mimi sitakutangaza
🤣Kuogopa kutangazwa Mbona ni zilipendwa mkuu,sikuhiz unafanya na unasema huyo nimefanya nae....aibu ya nn tena wakati mlichofanya ndo Cha aibu zaidi
.
 
Back
Top Bottom