Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
US Wanawafanya Watu Wapuuzi Sana Na Wanaofanywa Wapuuzi wanadhihirisha upuuzi waoOsama alivyolipua ubalozi wa marekani kwa bomu dogo tu la kwenye gari Dar Nzima ilitikisika, sembuse Ballistic missile zaidi ya 10 zitue sehemu halafu asife mtu hata mmoja kwa mshtuko?
Kiufupi US hawakutarajia kama IRAN Angewapa kipigo walichokipokea Nasijaelewa Kwa nn Wanauficha UkweliHaya ni majeruhi ya kuweweseka, lakini mlisema waliondoka ko hayo majeruhi wameyapata wapi, tunashindwa kuamini huenda hata hao siyo kuweweseka bali majeruhi wa vidonda kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
WEWE HATA UKIMWONA YESU UTASEMA ABDUL N NOMAA UKOJUU KWIKWIYaani source yako ni MpekuziHuru. Dah! Tuna safari ndefu sana kama Taifa.
Aisee...🤔🤔🤔
11 U.S. troops injured in Jan. 8 Iran missile strike
A total of 11 US troops have been medically evacuated to US military hospitals in Kuwait and Germany to be treated for traumatic brain injury
Dah! JF raha sana...😊😊😊Duh! kwa jinsi maayatollah wa Kimanzichana walivyovamia huu uzi angekufa hata koplo mmoja wa kimarekani wallahi ingebidi tukimbie hili jukwaa forever
Mkuu tutasikia MENGI MnooooSi Trump alisema "All is well"? Sasa vipi baada ya siku 8 mnasema kuna majeruhi? Baadae tutaambiwa kulikua na vifo pia!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Makao Makuu ya Jeshi la Marekani imesema Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad nchini Iraq Januari 8
Tehran ilirusha makombora dhidi ya kambi za Ain al-Assad (Magharibi) na Erbil (Kaskazini), ambapo baadhi ya wanajeshi 5,200 wa Marekani wanapiga kambi, kwa kulipiza kisasi kifo cha Jenerali wa Iran, Qassem Soleimani
==============================
Published: 17 Jan 2020 | 04:29 GMT
US Central Command has revealed that 11 personnel stationed at an Iraqi airbase which incurred a retaliatory attack by Tehran earlier in January had to be sent out of the country after displaying concussion symptoms.
“While no US service members were killed in the January 8 Iranian attack on Al Asad airbase, several were treated for concussion symptoms from the blast and are still being assessed,” Navy Captain Bill Urban said in a statement on Thursday.
Upon initial examination, eight troops were flown out of the war-ravaged country to a medical facility in Germany for further checks, while three others were taken to Camp Arifjan, a US Army installation in Kuwait.
The temporary removal of the troops was taken “out of an abundance of caution,” Urban said, refusing to divulge any more details about the condition of the servicemen or the extent of their injuries.
“The health and welfare of our personnel is a top priority and we will not discuss any individual's medical status,” he said, noting that the servicemen are expected to return to duty following additional screening.
The base in Iraqi Kurdistan found itself under fire from two volleys of ballistic missiles launched from Iran after a US drone strike near Baghdad on January 3 killed Iranian Major General Qassem Soleimani, the elite Quds Force commander who played a major role in beating Islamic State terrorists in both Syria and Iraq. His assassination has inflamed tensions between Washington and Tehran, and drew a harsh rebuke from Baghdad, prompting the Iraqi Parliament to pass a resolution ordering US troops to leave the country.
Immediately after the attack by Iran, which was reported to have incurred extensive but pinpointed damage on the facility and resulted in no casualties, US President Donald Trump declared that “all is well,” with the Pentagon likewise saying that early warning systems at the base alerted the troops, who wasted no time in seeking shelter.
Source: Russia Today
Kinachozungumzwa hapa ni kwamba kuna vitu Us anaficha. Me sijui umekwama wapi kuelewa."Concussion symptoms " hata wewe ukipimwa unayo na visababishi ni vingi. Kama hayo ndio matokeo ya kuifanya Iran ishangilie kutimiza lengo; kama hayo ndio matokeo bora kabisa ya jeshi la Iran sawa.
Hawapo watasemaje? Wasingizie watu wamekufa wakati hawajafa? Pili, tunavyoijua Marekani isingewezekana wanajeshi wake wafe halafu shughuli zifanyike kimya kimya haipo hiyo kitu. Ni lazima CNN na vyombo vingine wangeihabarisha dunia na majeneza tungeyaona.
Tafasiri rahisi ya hiyo defn ni "kuweweseka"; in short wanajeshi 11 wa Marekani wameonesha dalili (symptoms) za kuweweseka baada ya ile milipuko halafu watu humu wanashangilia ushindi wa Iran! Ha ha ha!
Mwanzoni walisema hiyo kambi haikuwa na wanajeshi wa USA kabisa walishahama. Hao waliojeruhiwa wametoka wapi tena?
Wamepataje majeraha wakati tuliambiwa kambi hazikuwa na wanajeshi?Tatizo umekomaa na neno majeruhi majeruhi kwa tafsiri ya majeruhi unayoielewa wewe. Umeambiwa "majeraha" waliyopata hawa ni dalili (symptoms) za "concussion"; narudia tena DALILI. Sasa wewe ulitegemea "concussion symptoms" zionekane siku ileile? Ni tatizo linalo-develop taratibu! Ok, basi tuipe ushindi Iran tumalize ubishi.
Waandishi wa habari walizuiwa wasiingie Ile base kwa wiki nzima. Unazani walikua wanaficja Nini kama sio maiti hizo.Hawapo watasemaje? Wasingizie watu wamekufa wakati hawajafa? Pili, tunavyoijua Marekani isingewezekana wanajeshi wake wafe halafu shughuli zifanyike kimya kimya haipo hiyo kitu. Ni lazima CNN na vyombo vingine wangeihabarisha dunia na majeneza tungeyaona.
When Trump was "trumping" his lies the other day, he categorically denied! Trump the liar,Trump the crook.Makao Makuu ya Jeshi la Marekani imesema Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad nchini Iraq Januari 8
Tehran ilirusha makombora dhidi ya kambi za Ain al-Assad (Magharibi) na Erbil (Kaskazini), ambapo baadhi ya wanajeshi 5,200 wa Marekani wanapiga kambi, kwa kulipiza kisasi kifo cha Jenerali wa Iran, Qassem Soleimani
==============================
Published: 17 Jan 2020 | 04:29 GMT
US Central Command has revealed that 11 personnel stationed at an Iraqi airbase which incurred a retaliatory attack by Tehran earlier in January had to be sent out of the country after displaying concussion symptoms.
“While no US service members were killed in the January 8 Iranian attack on Al Asad airbase, several were treated for concussion symptoms from the blast and are still being assessed,” Navy Captain Bill Urban said in a statement on Thursday.
Upon initial examination, eight troops were flown out of the war-ravaged country to a medical facility in Germany for further checks, while three others were taken to Camp Arifjan, a US Army installation in Kuwait.
The temporary removal of the troops was taken “out of an abundance of caution,” Urban said, refusing to divulge any more details about the condition of the servicemen or the extent of their injuries.
“The health and welfare of our personnel is a top priority and we will not discuss any individual's medical status,” he said, noting that the servicemen are expected to return to duty following additional screening.
The base in Iraqi Kurdistan found itself under fire from two volleys of ballistic missiles launched from Iran after a US drone strike near Baghdad on January 3 killed Iranian Major General Qassem Soleimani, the elite Quds Force commander who played a major role in beating Islamic State terrorists in both Syria and Iraq. His assassination has inflamed tensions between Washington and Tehran, and drew a harsh rebuke from Baghdad, prompting the Iraqi Parliament to pass a resolution ordering US troops to leave the country.
Immediately after the attack by Iran, which was reported to have incurred extensive but pinpointed damage on the facility and resulted in no casualties, US President Donald Trump declared that “all is well,” with the Pentagon likewise saying that early warning systems at the base alerted the troops, who wasted no time in seeking shelter.
Source: Russia Today
Tatizo umekomaa na neno majeruhi majeruhi kwa tafsiri ya majeruhi unayoielewa wewe. Umeambiwa "majeraha" waliyopata hawa ni dalili (symptoms) za "concussion"; narudia tena DALILI. Sasa wewe ulitegemea "concussion symptoms" zionekane siku ileile? Ni tatizo linalo-develop taratibu! Ok, basi tuipe ushindi Iran tumalize ubishi.
All is well kumbe alimaanisha kua all is hell!Si Trump alisema "All is well"? Sasa vipi baada ya siku 8 mnasema kuna majeruhi? Baadae tutaambiwa kulikua na vifo pia!!
Sent using Jamii Forums mobile app