Wanajeshi wa Israel wapo Gaza mjini kati sasa

Ni kweli, nimeiona Aljazeera pia...huwa hawako biased.
Hamas wamebakiza nguvu kidoogo za kukata gogo tu🤣🤣

Hayo mbona yako siku zote au hujui kuwa Gaza imezingirwa hata kabla Oktober 7 ?
 
FAIZA FOX 😂🤣🤣🤣
 
Mbona kichapo kiko siku zote au hujui na ndio ilifanya wavamie au chuki zako Za siku zote kwa waislamu unazodhihirisha
SASA MIMI NA WAISLAMU NANI ANA CHUKI KWA WAYAHUDI
NB: MIMI SINA CHUKI KWA WAISLAMU ILA SIUNGI MKONO CHUKI ZAO DHIDI YA WENGINE
Qur'an 2:191
Qur'an 3:85
Qur'an 9:30
Qur'an 8:12
 
Umekuja kwa id hii Sasa umechoka na zile mbili
Mkuu katika watu wqchache JF ambao hawabadilishi ID na wameweka majina ya ukweli na picha za ukweli ni mimi Nelson Jacob lushatsi,,,ila sasa natumia ubini wa Kagame.
 
Wafia dini si walisema Israel haiwezi kuingiza jeshi la ardhini Gaza yatarudi majeneza yao mbona nimewaona wanajeshi waisrael Gaza wanapeperusha bendera zao hadi HQ ya Hamas

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu katika watu wqchache JF ambao hawabadilishi ID na wameweka majina ya ukweli na picha za ukweli ni mimi Nelson Jacob lushatsi,,,ila sasa natumia ubini wa Kagame.
Nakuona unajijibu mwenyewe 😝😝😝
 
WAARABU TOKA KALE WAMESHINDWA KUWAMALIZA WAYAHUDI
QUR'AN 9:30
Waarabu wapi ? Mbona umeweka Qurani hujaweka na biblia au waarabu hakuna wakristo ? Kwa taarifa yako watu wa kwanza kupigania Palestina ni wakristo tena wanawake . Tena walijilipua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…