WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

Tupu pamoja the game is over ...Lissu is the game changer, we have been waiting for the decades and the battle has been worn through lots of tears and blood. Hongera Tundu Lissu.
 
Lissu atashinda kwa kura nyingi sana huoni ccm wanavyoweweseka??
wameacha kushawishi watu wanajipanga namna ya kuiba kura
 
Wafuasi wa Lisu watapata tabu sana baada ya tarehe 28
Hata wewe utapata tabu pia ipo siku raia wote mtalia humu ndani mi nipo miaka mitano ni mingi sana magufuli hana huruma na maisha ya watu labda kama ni mtoto wa wakuu wa nchi
 
Huu ni uongo labda Kama umeongea na wanaCCM wasiojitambua hakuna MTANZANIA anayeweza kumpigia kura Magufuli
 
wazo la kijasili safi kijana
 
Huu ni uongo labda Kama umeongea na wanaCCM wasiojitambua hakuna MTANZANIA anayeweza kumpigia kura Magufuli
Unaishi kwenye ulimwengu wa kusadikika wewe. Ingia mtaani uelewe ulipo
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzani

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Polee sana certified kilaza uliyeshindwa kuonyesha usaliti wa Lissu.
 
Unaishi kwenye ulimwengu wa kusadikika wewe. Ingia mtaani uelewe ulipo
Mimi ni miongoni mwa researchers tuliotumwa kunguka nchi nzima na tukaleta utafti ukazimwa!Trust and take it from uchaguzi ukiwa huru na haki Magufuli hawezi kushinda!
 
Ulijisikiaje alipopigwa risasi msaliti? Au upo programmed kujibu aina ya majibu? Maana majibu yako ni yaleyale.
Wanalumumba wameKalilishwa jinsi ya kujibu, ukiwa-twist kidogo tu ktk hoja, basi tarajia kupewa majibu yale yale.
Sababu Mwalimu wao ni mmoja aliyewashikia akili.
 
Sisi tumeingia magotini tunaomba sasa! Kama kweli ni mpango wa Mungu tuendelee kutawaliwa na kubaguliwa sawa na iwe kama Muumba anavyotaka! Kama ameamua kutukomboa kutoka utumwani hakuna figisu itakayotuweza. SALA= Saidia Lissu Ashinde.
Hakika
 
Nimesha kwambia wewe ni Malaya wa kisiasa huwezi kuolewa .Mimi ni miongoni mwa researchers tuliotumwa kunguka nchi nzima na tukaleta utafti ukazimwa!Trust and take it from uchaguzi ukiwa huru na haki Magufuli hawezi kushinda!

Malaya wa kisiasa ni wewe unayerandaranda hadi ubelgiji. Subiri 28102020
 
Uko sahihi. Mimi siwezi kuwa nakulisha nakulipia ada halafu ukashabikia ccm ambayo inanididimiza.
Mimi Kuna mmoja nime mwambia Ukiendeleza na ujinga wako wa kushabikia CCM ada utajilipia maana hujui ninavyo pata hii pesa kwa maumivu ya kodi kisa CCM !Kwanza ulinyimwa mkopo halafu unabinua midomo CCM !
 
Yan tangu Jana machozi yananitoka, naamini Tundu Lissu anashinda sasa je watamtangaza?
Yan sijui matokeo yakitoka nitakuwa katika hali gani jamani Naomba mniombee
Hayo Ni machozi ya furaha,na furaha Ni ushidi.

Lisu atashinda kwa uwezo wa Mungu Mkuu,Mungu wa miungu,Mungu wa mababu,Mungu Muweza,Muumba wa Mbingu na Dunia na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.

Na wakijaribu kuiba ushindi wake Mungu atawapiga kwa Moto ulao nao watatoweka katika uso wa Dunia kwa aibu.
 
Malaya wa kisiasa ni wewe unayerandaranda hadi ubelgiji. Subiri 28102020
Ona mnavyohangaika wawili tu Mama D na Bia yetu wengine wako wapi?
Tundu Lissu ndiye Rais ,Huyo JIWE anaye mwaga damu za watu hatumtaki period
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…