WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]

Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji

Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi
Hayakuhusu wanaambiwa wenye akili timamu wewe kakate mauno huko kwenye fiesta zenu
 
If imeumizwa Sana na serikali ya awamu ya tano
Ref.... Kesi za mkurugenzi wa jf Mero
 
Usaliti wa lissu umevuka mstari mwekundu hastahili tena kuitwa Mtanzania

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Hivi wewe robot naona unajibu comments zote hivihivi weka ushahidi acha kumsingizia kipenzi chetu rais mtarajiwa. Anaependa watanzania wote sio yule mpenda wanawake weupe tu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Yan tangu Jana machozi yananitoka, naamini Tundu Lissu anashinda sasa je watamtangaza?
Yan sijui matokeo yakitoka nitakuwa katika hali gani jamani Naomba mniombee
Unalia machozi kwa nadharia ambazo hazitakaa kutokea ni upotevu wa machozi
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Hivi wewe robot naona unajibu comments zote hivihivi weka ushahidi acha kumsingizia kipenzi chetu rais mtarajiwa. Anaependa watanzania wote sio yule mpenda wanawake weupe tu.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Back
Top Bottom