Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,869
- 14,501
Kwema wakuu,
Kuna mtu kanifata anahitaji ushauri, anataka kujilipua kwenda kariakoo kufanya biashara.... Kwanini Kariakoo? Anaamini Kariakoo ndo hub ya biashara hapa Tanzania.... Mzunguko wa kariakoo si rahisi kuupata mahali pengine popote hata kama unapata faida ndogo
Amekua akifanya biashara ya microfinance muda wote anasema changamoto zimekua nyingi anataka kufanya biashara nyingine, hivyo kiufupi Hana uzoefu na biashara, nimekaa nae anasema ana milioni 50(pesa ya pango na mtaji hapohapo)... Kuhusu mahali pa kukaa yeye na mahitaji yake anasema ana bajeti nyingine tofauti kabisa
Sasa wakuu, JF ni ziwa la maarifa, nimekuja kupokea mawazo yenu, je anaweza kufanya biashara ya aina Gani, he is open minded anapokea ushauri ili ajipime, japo nimemwambia atenge kwanza kama Milioni 30 za biashara 20 aweke kama emergency mambo yakiwa mazuri atazi integrate taratibu bila haraka
Mi biashara nayofanya ni tofauti kabisa na yeye anachotaka so nimeshindwa kumshauri hasa afanye Nini, kwa faida ya Wana jf wote naomba mje na majibu serious maana huu Uzi unaweza kua msaada kwa wengine( samahani wenye mzaha au wanaovamia Uzi za watu kuanza kutongozana Leo mtustahi kwanza)
Karibuni wakuu naamini huu Uzi utakua wa manufaa hata kwa watu wengine hata kama ni miaka ya mbeleni maana jf ni hazina hakipotei kitu
Kuna mtu kanifata anahitaji ushauri, anataka kujilipua kwenda kariakoo kufanya biashara.... Kwanini Kariakoo? Anaamini Kariakoo ndo hub ya biashara hapa Tanzania.... Mzunguko wa kariakoo si rahisi kuupata mahali pengine popote hata kama unapata faida ndogo
Amekua akifanya biashara ya microfinance muda wote anasema changamoto zimekua nyingi anataka kufanya biashara nyingine, hivyo kiufupi Hana uzoefu na biashara, nimekaa nae anasema ana milioni 50(pesa ya pango na mtaji hapohapo)... Kuhusu mahali pa kukaa yeye na mahitaji yake anasema ana bajeti nyingine tofauti kabisa
Sasa wakuu, JF ni ziwa la maarifa, nimekuja kupokea mawazo yenu, je anaweza kufanya biashara ya aina Gani, he is open minded anapokea ushauri ili ajipime, japo nimemwambia atenge kwanza kama Milioni 30 za biashara 20 aweke kama emergency mambo yakiwa mazuri atazi integrate taratibu bila haraka
Mi biashara nayofanya ni tofauti kabisa na yeye anachotaka so nimeshindwa kumshauri hasa afanye Nini, kwa faida ya Wana jf wote naomba mje na majibu serious maana huu Uzi unaweza kua msaada kwa wengine( samahani wenye mzaha au wanaovamia Uzi za watu kuanza kutongozana Leo mtustahi kwanza)
Karibuni wakuu naamini huu Uzi utakua wa manufaa hata kwa watu wengine hata kama ni miaka ya mbeleni maana jf ni hazina hakipotei kitu