Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Auze vifaa vya simu, electronics au nguo za kike. Aende nje kuchukua mzigo. Kupata fremu fasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu shukrani ngoja ntampa hii ideayes akiweza awe winga kwanza na asiwaambie hao mawinga watakaomkaribisha sokoni kwamba anataka kuingia nkufanya biashara au kama anaweza azunguke mwenyewe kila siku ndani ya mwezi atakua amejifunza vingi
maana mawinga pia wana tabia ya kukuwingia wakikiona mshamba hata uwaambie na wewe ni winga
Kuna mtu aliniambia ukiwekeza kwenye urembo wa kina dada mzunguko ni mkubwa maana wanawaza kupendeza muda woteAuze bidhaa za kike mfano mawigi
China mawigi ya 25-40 huku yanauzwa kuanzia 70- 120.
Handbag china 5000-10000 huku ndio zinauzwa 18000- 25000 yeye alenge wateja wa jumla tu.
Kuna vitenge na Haya malace material Kazi kwake
Ndo maana nikasema aende afanye survey mwenyewemtoa mada anahitaji wazo la biashara gani afanye ... watu wanatoa ushauri ulio nje ya wazo its as if asha pata wazo la biashara
tujitahidi kua specific
with fact mhusika tayari ana exeperience unaanza mshauri biashara akili ... so do u think yeye hana akili na ka shasema katoka microfinance. what he/she need it IDEA
imagine una mshauri mtu akachukue frem wazo litakuja uko uko serious ... what kind of nonsense this is...
biashara ni prospect sio kitu ya kuingia tu inaitaji assessment kubwa mno na in depth unless otherwise atafungua na kesho akafunga
Binafsi sina idea so ntakua kama washaur walio pita ... "nothing beats old dog in his own yard"
Chunguza biashara zinazoongoza kutoka ni zile ambazo wateja wake wakubwa ni wanawake.Kuna mtu aliniambia ukiwekeza kwenye urembo wa kina dada mzunguko ni mkubwa maana wanawaza kupendeza muda wote
Akafanye Survey na pale Mwenge, na haitam cost kama Kariakoo na pale Mwenge akafanya research ya vitu vya urembo, nguo za kina Dada na vile vile mobile banking.Ndo maana nikasema aende afanye survey mwenyewe
Hili la kulipia frem hujajua hata unataka kufanya biashara Gani is a big risk
biashara inataka uthubutu 😂na uvumilivu wa mikikimikiSiku hz nimekua mvivu kuandika ila tajitahidi.
Mtu ukiwa unaenda kariakoo mara Moja kufata mahitaji flan na kuondoka anahis kama kariakoo ili ufanye biashara inakutaka uwe na pesa nyingi kitu ambacho so kweli
Kuna watu kariakoo kama mawinga wana update zote za mchina au mchaga atashusha container lini atakachofanya yeye anawahi sample ambazo anaona zinatembea sana anaongea na wahusika anazuia kama katoni 70 au 100 then annapandisha Bei hata jero tu Kwa Kila sample ....hiii inataka uwe na connection nzuri ujue sample kabla haijafika store
Kuna anaingia kkoo anatafuta fremu yake anakua anauza Mali za watu, anachofanya yeye anakua anadesign order book ambayo inaweza kutoa mzigo store anakua analipwa Kwa commission eq kila pisi Moja 200
Kuna mwngn anatafuta tajiri huko china...then anakua anatumiwa mzigo yy anauza analipa taratibu hii wanaaply sana wahaya utakuta frame yake ina TV kapadesign anaweka picha nyingi alizopiga na viongozi wa kitaifa na wanajeshi wakubwa Glenn
Wachache wanaingia kwa akili zao wanapambana mpaka wanatoboa
Kikubwa we fanya research jitose kua makini tafuta watu wakupe mbinu la sivyo utakuta frame yako itajaa leseni na vyeti kibao
OkHii idea nzuri!
Upo vizuri sana
Uzoefu wangu ni biashara ya nguo tu za kiume. Za kike niliacha 12 years ago biashara yake ni ya kubetiMpaji Mungu Gily Gru reyzzap nimewatag kuna mada za kariakoo niliona mna uzoefu huko wa muda kidogo, wekeni neno msaidie kijiji
Akiwa mjanja itatosha huku kuna mpaka tofari za kuchomaMilioni 50 lazima ataishia njiani
Kwa uzoefu wangu mdogo pale kariakoo watu hawafanyi biashara pale watu wanatega pesa..Kwema wakuu,
Kuna mtu kanifata anahitaji ushauri, anataka kujilipua kwenda kariakoo kufanya biashara.... Kwanini Kariakoo? Anaamini Kariakoo ndo hub ya biashara hapa Tanzania.... Mzunguko wa kariakoo si rahisi kuupata mahali pengine popote hata kama unapata faida ndogo
Amekua akifanya biashara ya microfinance muda wote anasema changamoto zimekua nyingi anataka kufanya biashara nyingine, hivyo kiufupi Hana uzoefu na biashara, nimekaa nae anasema ana milioni 50(pesa ya pango na mtaji hapohapo)... Kuhusu mahali pa kukaa yeye na mahitaji yake anasema ana bajeti nyingine tofauti kabisa
Sasa wakuu, JF ni ziwa la maarifa, nimekuja kupokea mawazo yenu, je anaweza kufanya biashara ya aina Gani, he is open minded anapokea ushauri ili ajipime, japo nimemwambia atenge kwanza kama Milioni 30 za biashara 20 aweke kama emergency mambo yakiwa mazuri atazi integrate taratibu bila haraka
Mi biashara nayofanya ni tofauti kabisa na yeye anachotaka so nimeshindwa kumshauri hasa afanye Nini, kwa faida ya Wana jf wote naomba mje na majibu serious maana huu Uzi unaweza kua msaada kwa wengine( samahani wenye mzaha au wanaovamia Uzi za watu kuanza kutongozana Leo mtustahi kwanza)
Karibuni wakuu naamini huu Uzi utakua wa manufaa hata kwa watu wengine hata kama ni miaka ya mbeleni maana jf ni hazina hakipotei kitu