WanaJF tupeane mawazo kwa mtu anayetaka kufanya biashara Kariakoo kwa mtaji wa milioni 50

WanaJF tupeane mawazo kwa mtu anayetaka kufanya biashara Kariakoo kwa mtaji wa milioni 50

Siku hz nimekua mvivu kuandika ila tajitahidi.

Mtu ukiwa unaenda kariakoo mara Moja kufata mahitaji flan na kuondoka anahis kama kariakoo ili ufanye biashara inakutaka uwe na pesa nyingi kitu ambacho so kweli

Kuna watu kariakoo kama mawinga wana update zote za mchina au mchaga atashusha container lini atakachofanya yeye anawahi sample ambazo anaona zinatembea sana anaongea na wahusika anazuia kama katoni 70 au 100 then annapandisha Bei hata jero tu Kwa Kila sample ....hiii inataka uwe na connection nzuri ujue sample kabla haijafika store

Kuna anaingia kkoo anatafuta fremu yake anakua anauza Mali za watu, anachofanya yeye anakua anadesign order book ambayo inaweza kutoa mzigo store anakua analipwa Kwa commission eq kila pisi Moja 200


Kuna mwngn anatafuta tajiri huko china...then anakua anatumiwa mzigo yy anauza analipa taratibu hii wanaaply sana wahaya utakuta frame yake ina TV kapadesign anaweka picha nyingi alizopiga na viongozi wa kitaifa na wanajeshi wakubwa Glenn

Wachache wanaingia kwa akili zao wanapambana mpaka wanatoboa


Kikubwa we fanya research jitose kua makini tafuta watu wakupe mbinu la sivyo utakuta frame yako itajaa leseni na vyeti kibao
Mwambie pia arogeee pale kariakoo kuna kila uchafu.
 
Kwema wakuu,

Kuna mtu kanifata anahitaji ushauri, anataka kujilipua kwenda kariakoo kufanya biashara.... Kwanini Kariakoo? Anaamini Kariakoo ndo hub ya biashara hapa Tanzania.... Mzunguko wa kariakoo si rahisi kuupata mahali pengine popote hata kama unapata faida ndogo

Amekua akifanya biashara ya microfinance muda wote anasema changamoto zimekua nyingi anataka kufanya biashara nyingine, hivyo kiufupi Hana uzoefu na biashara, nimekaa nae anasema ana milioni 50(pesa ya pango na mtaji hapohapo)... Kuhusu mahali pa kukaa yeye na mahitaji yake anasema ana bajeti nyingine tofauti kabisa

Sasa wakuu, JF ni ziwa la maarifa, nimekuja kupokea mawazo yenu, je anaweza kufanya biashara ya aina Gani, he is open minded anapokea ushauri ili ajipime, japo nimemwambia atenge kwanza kama Milioni 30 za biashara 20 aweke kama emergency mambo yakiwa mazuri atazi integrate taratibu bila haraka

Mi biashara nayofanya ni tofauti kabisa na yeye anachotaka so nimeshindwa kumshauri hasa afanye Nini, kwa faida ya Wana jf wote naomba mje na majibu serious maana huu Uzi unaweza kua msaada kwa wengine( samahani wenye mzaha au wanaovamia Uzi za watu kuanza kutongozana Leo mtustahi kwanza)

Karibuni wakuu naamini huu Uzi utakua wa manufaa hata kwa watu wengine hata kama ni miaka ya mbeleni maana jf ni hazina hakipotei kitu
Nenda moshi uza mitumba mkuu chukua pale maimoriaas peleka masokoni ukisikia leo soko la...nenda
tafuta mdada mzuri anaetongozeka utakuja nishukuru mnasaidiana kuuza
 
Kwema wakuu,

Kuna mtu kanifata anahitaji ushauri, anataka kujilipua kwenda kariakoo kufanya biashara.... Kwanini Kariakoo? Anaamini Kariakoo ndo hub ya biashara hapa Tanzania.... Mzunguko wa kariakoo si rahisi kuupata mahali pengine popote hata kama unapata faida ndogo

Amekua akifanya biashara ya microfinance muda wote anasema changamoto zimekua nyingi anataka kufanya biashara nyingine, hivyo kiufupi Hana uzoefu na biashara, nimekaa nae anasema ana milioni 50(pesa ya pango na mtaji hapohapo)... Kuhusu mahali pa kukaa yeye na mahitaji yake anasema ana bajeti nyingine tofauti kabisa

Sasa wakuu, JF ni ziwa la maarifa, nimekuja kupokea mawazo yenu, je anaweza kufanya biashara ya aina Gani, he is open minded anapokea ushauri ili ajipime, japo nimemwambia atenge kwanza kama Milioni 30 za biashara 20 aweke kama emergency mambo yakiwa mazuri atazi integrate taratibu bila haraka

Mi biashara nayofanya ni tofauti kabisa na yeye anachotaka so nimeshindwa kumshauri hasa afanye Nini, kwa faida ya Wana jf wote naomba mje na majibu serious maana huu Uzi unaweza kua msaada kwa wengine( samahani wenye mzaha au wanaovamia Uzi za watu kuanza kutongozana Leo mtustahi kwanza)

Karibuni wakuu naamini huu Uzi utakua wa manufaa hata kwa watu wengine hata kama ni miaka ya mbeleni maana jf ni hazina hakipotei kitu
hiyo pesa ingia mkoani tena ndani ndani ufanye biashara utanishukuru
 
Siku hz nimekua mvivu kuandika ila tajitahidi.

Mtu ukiwa unaenda kariakoo mara Moja kufata mahitaji flan na kuondoka anahis kama kariakoo ili ufanye biashara inakutaka uwe na pesa nyingi kitu ambacho so kweli

Kuna watu kariakoo kama mawinga wana update zote za mchina au mchaga atashusha container lini atakachofanya yeye anawahi sample ambazo anaona zinatembea sana anaongea na wahusika anazuia kama katoni 70 au 100 then annapandisha Bei hata jero tu Kwa Kila sample ....hiii inataka uwe na connection nzuri ujue sample kabla haijafika store

Kuna anaingia kkoo anatafuta fremu yake anakua anauza Mali za watu, anachofanya yeye anakua anadesign order book ambayo inaweza kutoa mzigo store anakua analipwa Kwa commission eq kila pisi Moja 200


Kuna mwngn anatafuta tajiri huko china...then anakua anatumiwa mzigo yy anauza analipa taratibu hii wanaaply sana wahaya utakuta frame yake ina TV kapadesign anaweka picha nyingi alizopiga na viongozi wa kitaifa na wanajeshi wakubwa Glenn

Wachache wanaingia kwa akili zao wanapambana mpaka wanatoboa


Kikubwa we fanya research jitose kua makini tafuta watu wakupe mbinu la sivyo utakuta frame yako itajaa leseni na vyeti kibao
Twende zetu China tukatafute machimbo ya bidhaa kijana wangu
 
Hiyo pesa atafute miji midogo inayokuja kwa kasi itamfaa sana,mfano miji kama Katoro- Geita,ushirombo,ifakara etc
 
Back
Top Bottom