RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Jirani unakunywa?. π Mie sinywi lkn kilevi changu nikiuangalia mpira na kupiga masikio ya chiniπ π .Jirani mi nalog in nikiwa bar mwenzio ndiomana natype ninachojisikia na sipo kumfanya mwingine ajisikie vile yy anataka kusikia π€£π€£π€£π€£
Sema kwenye kuku umeua, ulijuaje km napenda kwiyoo πππ
Ulijuaje?Watu wanajinasibu kua critical thinkers lakini si kweli, wengi ni bendera kufata upepo,
Kwanini mtu anapoona andiko asilifikirie kisha akaandika kile anachokiona? Badala yake anaandika kutokana na mkumbo wa reply za mwanzo?
Mada pekee utaona watu wanatifautiana regardless ya comments za mwanzoni ni zile za dini, simba na yanga au ccm na chadema. Nadhani hizi zinakua rahisi kwakua tayari zimeshawagawa watu katika makundi.
Mwengine anaweza asitilie manani mada au jambo kwa kuangalia βfirst repliesβ
Unaweza kuta hata hii maya hapa itachangiwa kwa kuangalia reply za mwanzoni zimeandika nini.
This is sick culture. Engage your senses.
Ana utoto, hajapevuka badohii ni kweli kabisa comment za mwanzo zinahamua comments zinazofata
Km kuku anatoka tanga jirani basi ahsante π€£π€£π€£Jirani unakunywa?. π Mie sinywi lkn kilevi changu nikiuangalia mpira na kupiga masikio ya chiniπ π .
Jirani kama unapenda kwio tukutane Kwa Kuku. Au nikuletee zawadi upike Pasaka,nafuga kuku Tanga, saivi wamefika 1400, kwahio nikuletee 2 upike Pasaka.
Jirani lkn ukipika lazima unialike Tena tuwale wote.π π
Huyo ni wapasaka, lkn kama kawaida jirani kijiwe chetu Kiko pale pale pemben ya SAMAKI-SAMKI MLIMANI CITY.Km kuku anatoka tanga jirani basi ahsante π€£π€£π€£
Pesa sio ya kuchezea hiyo 80 hapana aiseee!! π€£π€£π€£π€£Huyo ni wapasaka, lkn kama kawaida jirani kijiwe chetu Kiko pale pale pemben ya SAMAKI-SAMKI MLIMANI CITY.
Au tukale ftari ya Hyatt π , lkn pale ftari ni elfu 80 tu Kwa mtu mmoja, unakula ftari Yako ukimaliza waaondoka. Lkn Kwa wewe mkinga sijui , unaweza kuomba hio elfu 80 ununue viazi upike mwenyewe.π π π
huku ni mazuzu ukiandika kunya ndo wengi wanajaaa!! watu milion 63 wenye akili ao watatu wa mwishoπππWatu wanajinasibu kua critical thinkers lakini si kweli, wengi ni bendera kufata upepo,
Kwanini mtu anapoona andiko asilifikirie kisha akaandika kile anachokiona? Badala yake anaandika kutokana na mkumbo wa reply za mwanzo?
Mada pekee utaona watu wanatifautiana regardless ya comments za mwanzoni ni zile za dini, simba na yanga au ccm na chadema. Nadhani hizi zinakua rahisi kwakua tayari zimeshawagawa watu katika makundi.
Mwengine anaweza asitilie manani mada au jambo kwa kuangalia βfirst repliesβ
Unaweza kuta hata hii maya hapa itachangiwa kwa kuangalia reply za mwanzoni zimeandika nini.
This is sick culture. Engage your senses.
mnajikuta kina nani kwa mfano?Jirani nasubiri unipange π€£π€£π€£
Ww mkorofi ujue..!! Mwenye uzi kasema hataki soga kwenye uzi wake
Hapo jirani unakula ftari ile yenyewe.πPesa sio ya kuchezea hiyo 80 hapana aiseee!! π€£π€£π€£π€£
Ndio hapo mkuu, huyu Lamomy anaharibu thread za watu sijui anajikuta nani?. π π πmnajikuta kina nani kwa mfano?