WanaJF wengi wanaandika maoni yao kwa kuangalia “reply” za mwanzoni ? No critical thinking

WanaJF wengi wanaandika maoni yao kwa kuangalia “reply” za mwanzoni ? No critical thinking

Watu wanajinasibu kua critical thinkers lakini si kweli, wengi ni bendera kufata upepo,

Kwanini mtu anapoona andiko asilifikirie kisha akaandika kile anachokiona? Badala yake anaandika kutokana na mkumbo wa reply za mwanzo?

Mada pekee utaona watu wanatifautiana regardless ya comments za mwanzoni ni zile za dini, simba na yanga au ccm na chadema. Nadhani hizi zinakua rahisi kwakua tayari zimeshawagawa watu katika makundi.

Mwengine anaweza asitilie manani mada au jambo kwa kuangalia “first replies”

Unaweza kuta hata hii maya hapa itachangiwa kwa kuangalia reply za mwanzoni zimeandika nini.

This is sick culture. Engage your senses.
Ajabu ni kuwa hata watu wazima wana act kama watoto wadogo

Tubadilike kwa faida ya jamii na hadhi mtandao wetu

Mtu Ana comment kwa lengo la kupata sifa hajui kama kuna muda Ana umiza hisia za mtoa mada husika.
 
Ukiona unataka kusoma comment zinazohusiana na mada halafu kuna story nyingine tofauti kabisa zinaendelea una wa block hao wapiga story kwanza kisha unajisomea comments kwa raha, halafu utawa unblock ukimaliza.
.......kwa nini wasianzishe mada yao ya kupendana huko chitchat......hii tabia ya kupendana kwe nyuzi za watu sio nzuri, tena Uzi wa kuomba msaada wa matibabu, anyway labda ndo love in first sight......
 
Ulichokisema ni kweli mkuu. Nimebubujikwa machozi.
Je, umeshajiuliza ni mada gani anazozungumzia? Ukweli upi huo?

Ni mada ngapi huyu mleta mada esha zileta hapa Jamvini ambazo alitaka kujadili suala lakini likafuatiwa na posti za aina hizo alizozitaja? Kuna ushahidi wowote ule? Unajua maana ya cognitive flooding?

Umeshajiuliza labda yeye anataka Wanajamvii waamini kwamba humu Jamiiforums hamna watu wenye kufanya Critical thinking and or analysis?

Yaani hufikirri kwamba anaweza kuwa ametumia mbinu ya kuhimiza wasomaji kutilia mashaka uchambuzi unaofanywa na Wachambuzi-Critical thinkers?

Haya lets say, hypothetically anakerwa, lets agree kwamba ana genuine concern, mbona hajawakemea wale walio toa 'replies' za mwanzo? Au ndio yale, Ujumbe umefika?

Kwamba ona sasa hawa ndio Critical analyst

Je, Unawajua wale waliotoa comment zao mwanzoni wa mada hii...tunajuaje hawashirikiani

Manake ni dhahiri wameleta kejeli na dhihaka, sasa kwa msingi huo unafikiri nini kitatokea akija mtu atakaye soma juuu juu- nadhani kama wewe ulichokifanya.?

Je, mada hii ni ya kupima wachangiaji na uelewa wao n.k. n.k

Au ndio ma Bots. manake Ukienda discord unaeza tengeneza haya ma bots ya ku jibu jibu tu miharo. Itashindikana hapa?
 
Yote kwasababu hata miaka hiyo huko Vietnam wakati wazee wapo field kuna kauli ulisema "upepo ulikuwa haupulizi isipokuwa unavuta"..
 
Back
Top Bottom