Wananchi Lushoto warudisha kadi za CCM kukosa imani na viongozi, Tazama video

Wananchi Lushoto warudisha kadi za CCM kukosa imani na viongozi, Tazama video

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.

-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.

Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.

Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...


 
Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.

-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.

Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.

Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Huko kanda ya Serengeti moto wa Chadema umeacha majivu tupu!! Huyu mama kwisha habari yake...
 
Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.

-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.

Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.

Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Mambo yakiendelea kuwa mabaya zaidi tunatengeneza cheo kingine kinaitwa Naibu Makamu wa Rais
 
Mipango ya kupanga ujinga ndio hii sasa, watu wanachapisha makadi wanawapa watu, wanawapanga, ujinga sasa ndio huu....!
"CAN'T DEMORALISES OUR LOVES TO CCM."
 
Hata mkirudisha kadi na kupiga kura kwingine, CCM ndio inaenda kuunda serikali baada ya uchaguzi wa 2025
 
Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.

-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.

Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.

Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...

Ni ujinga kuamini kuwa Lushoto ni ya CCM, hii ndiyo sababu kubwa inayoifanya Tanzania isiendelee kwa kukumbatia vyama.
 
Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.

-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.

Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.

Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...

Itafuata Kilosa
 
Sis wenye akili tunaelewa. Rais Dkt Samia anadanganywa na 2025 atakuwa alone.
 
Huko kanda ya Serengeti moto wa Chadema umeacha majivu tupu!! Huyu mama kwisha habari yake...
Kwa matusi mliyomtukana JPM kanda ya ziwa hamna cheni la mkatubu kwa mama John
 
Ukute hii ni michezo ya special branch. Maana ujasusi ndani ya nchi idara ya siasa kina mambo mengi.
 
Njia pekee ya kuwa ondoa pale mboga mboga ni kuleta jeshi ya Wagner Pmc tofauti na hapo hakuna namna wataondoka pale hata kura ziwe na uwazi kiasi gani na washindwe kwa uwazi kabisa bado wataendelea kung'ang'ania bomba, wanajua wapinzani wakishika kijiti watafia jela, askari ndio hawataki kusikia upinzani kabisa kwa sababu wao na mboga mboga lao moja
 
SGR Dar/Mwanza/Kigoma na Nyerere Dam ni miradi inapaswa kukamilika na kuleta mageuzi ya kiuchumi otherwise kadi zitarudishwa nchi nzima! Hivi Sasa dollar hakuna wengine wanadai na petrol hakuna , bunge limekataa kurekebisha Sheria ya Maliasili Ili ku-favour Mkataba wa bandari DP World 🌍 ambao raia wameukataa katakata! Nguvu ya umma ya kukataa jambo la serikali ni kitu hatari sana kwa usalama wa Taifa!

Chama kwasasa kimeshawachosha raia wengi ambao wanaona na kuchukia magari ya kifahari ya chama huku wao raia wanakufa njaa, barabara za vumbi zimejaa vijijini kwa wapiga kura, maji ni shida sana hasa vijijini, ajira ni shida hasa mijini, ila sasa ni wazi watu wa itikadi na uenezi wa chama kazi imewashinda!

Nchi ni ya Madalali, kwasasa wako kazini!

Halafu raia kurudisha kadi kwa makundi ni mpango uliandaliwa sasa mashushushu wa chama vipi hawapo kazini? Hizi mambo huwa zinafahamika mapema na zinatibuliwa kabla ya kuja public!

Itapendeza kadi zikirudishwa nchi nzima Ili kuleta shinikizo na kusaidia miradi ya kimkakati kukamilika!
 
Back
Top Bottom