Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Kwanini Kilosa mkuu
Itafuata Kilosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itafuata Kilosa
jaribuni na mamayenu kuiba kura 2025 kama ataendelea kuishi.Hata mkirudisha kadi na kupiga kura kwingine, CCM ndio inaenda kuunda serikali baada ya uchaguzi wa 2025
kwa hio huyo aliyesema ni mwenyekiti wa kijiji ni mchongo? basi mlete mwenyekiti wa hicho kijiji ambaye sio wa mchongo. Tatizo lenu nyie makuwadi ya warabu dpworld ni wapumbavu hata reasoning capacity hamna.Wana Lushoto ni waelewa hizo kadi ni mchongo
makuwadi ya warabu 2025 mtahamia kwa mabwana zenuKwa matusi mliyomtukana JPM kanda ya ziwa hamna cheni la mkatubu kwa mama John
maslahi ya chama dola. Kwamba ccm aikubaliki ili kupumbaza upinzani .Itakuwa wanafanya haya kwa maslahi yepi mkuu
Nyie ndo makuhadi wa mafisadi mliohongwa kumchafua JPM mtetezi wa watanzania akiwa hawezi kujitetea Sasa mnatafuta huruma yaomakuwadi ya warabu 2025 mtahamia kwa mabwana zenu
Tayari mmeshamhabribia DC na RC wa Lushoto.Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Unajipa moyo tuUkute hii ni michezo ya special branch. Maana ujasusi ndani ya nchi idara ya siasa kina mambo mengi.
Heheehe kumbe ni kadiri ya mambo yanavyokuwa kombo?Mambo yakiendelea kuwa mabaya zaidi tunatengeneza cheo kingine kinaitwa Naibu Makamu wa Rais
HeheheNjia pekee ya kuwa ondoa pale mboga mboga ni kuleta jeshi ya Wagner Pmc tofauti na hapo hakuna namna wataondoka pale hata kura ziwe na uwazi kiasi gani na washindwe kwa uwazi kabisa bado wataendelea kung'ang'ania bomba, wanajua wapinzani wakishika kijiti watafia jela, askari ndio hawataki kusikia upinzani kabisa kwa sababu wao na mboga mboga lao moja
Na BadoKatika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Kwamba mwenyekiti wa kijiji anatumia ladi feki au?Mipango ya kupanga ujinga ndio hii sasa, watu wanachapisha makadi wanawapa watu, wanawapanga, ujinga sasa ndio huu....!
"CAN'T DEMORALISES OUR LIVES TO CCM."
Wakiendelea kutuma vijana wao kutukana Wazee watabarikiwa sana 😅🙏CCM jehanamu inawajia soon.
Safi saaana,huko mkoani Tanga ndiyo ngome ya CCM ndiyo maana wamehongwa mawaziri kibao ambao hawana msaada wowote kwa maendeleo ya mkoa huo. Wasambaa hawa wamenifurahisha sana.Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Hehee tz ina watu na viatu. Huyo dogo ana shida kubwa sanaKwamba mwenyekiti wa kijiji anatumia ladi feki au?
Upofu wako ni wa hali ya juu na ninadhani wewe Dunia Tanzania unayoiishi ni tofauti na hii tunayoioshi sisi.
Hujui hali halisi ya kinachoendelea kwa sasa.
Deep world itageuka na kuwa Deep- CCM!
Muda ni shahidi mzuri sana.
Ni waelewa sana ndiyo maana wameamua kuikataa CCM hadharani. CCM imewatumia kiasi cha kutosha sasa wameamua kuamka.Wana Lushoto ni waelewa hizo kadi ni mchongo
Wewe Mbwiga Nani anatafuta hurumaNyie ndo makuhadi wa mafisadi mliohongwa kumchafua JPM mtetezi wa watanzania akiwa hawezi kujitetea Sasa mnatafuta huruma yao
Watu wengi vijiji vya Dakawa Mbigiri nk wameporwa ardhi na wenye pesa wakishirikiana na hao maDC na maDEDKwanini Kilosa mkuu